cocastic
JF-Expert Member
- Nov 30, 2019
- 96,456
- 156,324
Nashangaa hapo na mie.Kwanini wawafukuze hao wabobezi wa IT [emoji26][emoji26][emoji26]
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nashangaa hapo na mie.Kwanini wawafukuze hao wabobezi wa IT [emoji26][emoji26][emoji26]
Wamefaulu vitendo
Chuo Kikuu cha Iringa kimelazimika kuwafukuza wanafunzi zaidi ya 50 baada ya kudukua mfumo wa malipo ya ada na kugoma kulipa ada ya kozi ya teknolojia ya habari (IT).
Makamu Mkuu wa Chuo, Prof. Ndilirio Urio amesema wanafunzi 256 walifanya udanganyifu wa malipo na Chuo kiliagiza matokeo ya wanafunzi wote yafutwe. “Seneti ilikaa jana wale ambao wamekubali kulipa ada, kukiri na kuomba msamaha tumewasamehe,” amesema wakati wa mahojiano na waandishi wa habari. “Wale wachache waliokaidi kulipa wamefukuzwa.”
Habari leo
Pia soma > Wanafunzi wa Chuo Kikuu cha Iringa wadaiwa kuingilia Mfumo na kuonekana kama Wamelipa Ada
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]SAUT ndio chuo cha nchi ya wenzetu?
hakuna cha Practical wala nini hapo, mfumo huenda ulioneakana una shida mahala.. madogo wakatumia mwanya ndio maana unaona kundi kubwaa la watu.. Mifumo mingi ya vyou ni mibovu sana,Wamefanya practical sasa
Ukiona mtu anakwepa kutaja jina ujue ni story tu za vijiweni,hakuna nchi popote pale inayolea wahalifu eti uendelezwe.Nchi gani
Hao ni Vijana wa ovyo sanaUkiona mtu anakwepa kutaja jina ujue ni story tu za vijiweni,hakuna nchi popote pale inayolea wahalifu eti uendelezwe.
Google yenyewe imewaajiri ma hackers kibao na wamejaa hukoNchi gani
Naamini watatafutwa wenye hivyo vipaji, inaenda kimya kimya haiwezi kutangazwaNchi za wenzetu hawa ndo wanaendelezwa na kupewa ajira ya kulinda mfumo
Hata wakitafutwa kimya kimya hatuwezi kujuaHaipo hiyo usipotoshe.
Mwanzoni mwa 2010 SAUT napo mfumo ulidukuliwa ada unayo takiwa kulipa mfa 1.3m unamlipa mdukuaji 500k ye ana ingiza taarifa kuwa umekamilisha.ila wahusika wote walifukuzwa.
Mifumo ipi tena mtaani wasije sababisha yowe kwa wengiWaje mtaani wadukue mifumo ilee
Ova
Wezi wanafanywa walinzi?Nchi za wenzetu hawa ndo wanaendelezwa na kupewa ajira ya kulinda mfumo
Ubobezi wa crime?Nashangaa hapo na mie.