Utajuaje hawatakudukua?Vijana wameiva sasa katika course yao ya IT.
Nashauri, Serikali iwachukue katika kutengeneza mifumo mipya ya ubunifu wa teknolojia mbalimbali na usalama. Watasaidia sana.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Utajuaje hawatakudukua?Vijana wameiva sasa katika course yao ya IT.
Nashauri, Serikali iwachukue katika kutengeneza mifumo mipya ya ubunifu wa teknolojia mbalimbali na usalama. Watasaidia sana.
Saut hawakudukua mkuu,walikua wanatoa receipt fake akiwemo yule jamaa alogombea uspka pale DodomaHaipo hiyo usipotoshe.
Mwanzoni mwa 2010 SAUT napo mfumo ulidukuliwa ada unayo takiwa kulipa mfa 1.3m unamlipa mdukuaji 500k ye ana ingiza taarifa kuwa umekamilisha.ila wahusika wote walifukuzwa.
Nchi gani hiyo?Nchi za wenzetu hawa ndo wanaendelezwa na kupewa ajira ya kulinda mfumo
Nchi za wenzenu wapi?Nchi za wenzetu hawa ndo wanaendelezwa na kupewa ajira ya kulinda mfumo
Jamii ya Tz na wizi! Hili taifa, sijui!!
Chuo Kikuu cha Iringa kimelazimika kuwafukuza wanafunzi zaidi ya 50 baada ya kudukua mfumo wa malipo ya ada na kugoma kulipa ada ya kozi ya teknolojia ya habari (IT).
Makamu Mkuu wa Chuo, Prof. Ndilirio Urio amesema wanafunzi 256 walifanya udanganyifu wa malipo na Chuo kiliagiza matokeo ya wanafunzi wote yafutwe. “Seneti ilikaa jana wale ambao wamekubali kulipa ada, kukiri na kuomba msamaha tumewasamehe,” amesema wakati wa mahojiano na waandishi wa habari. “Wale wachache waliokaidi kulipa wamefukuzwa.”
Habari leo
Pia soma > Wanafunzi wa Chuo Kikuu cha Iringa wadaiwa kuingilia Mfumo na kuonekana kama Wamelipa Ada
Bali hamjamuelewa analomaanisha. Kama hawa wanafunzi wana uelewa wa kiasi hiki, wangetumiwa katika kuimarisha ulinzi wa mfumo wa malipo ili kuzuia wizi. Maana inaonekana mfumo umezidiwa maarifa.Alichokuambia ndicho kinachofanyika vyuo vingi, hata chuoni kwetu washawahi kufukuzwa wanafunzi kwa mtindo huo.
NdiwoooooUbobezi wa crime?
Majambazi yafanywe askari😂Ndiwooooo
Siyo kweli wanafunzi 256 hawawezi wote kudukua mfumo. Kuna mmoja alidukua helafu hao wakawa wanamlipa awafojie taarifa zao za kwamba wamelipa.WAMEFANYA KAZI NZURI JAPO WALIFANYA MAKOSA MADOGO LAKINI NAAMINI MARA NYINGINE VIJANA WAWE MAKINI
Yeaaaah!!! [emoji23][emoji23][emoji23]Majambazi yafanywe askari[emoji23]
Haijabidi badoYeaaaah!!! [emoji23][emoji23][emoji23]
Pale inaobidii
Hata we unakurupuka wote mmejibu tofautiAlichokuambia ndicho kinachofanyika vyuo vingi, hata chuoni kwetu washawahi kufukuzwa wanafunzi kwa mtindo huo.
Duh! Jamaa hapo juu kasema nchi za wenzetu. Afu wewe unasema asipotoshe kwa kutoa mfano wa SAUT. Toa mfano wa nchi za wenzetu alizozungumzia yeye.Haipo hiyo usipotoshe.
Mwanzoni mwa 2010 SAUT napo mfumo ulidukuliwa ada unayo takiwa kulipa mfa 1.3m unamlipa mdukuaji 500k ye ana ingiza taarifa kuwa umekamilisha.ila wahusika wote walifukuzwa.
Muwe mnasoma mnaelewa kwanza basi kabla ya kuanza kukosoa. Jamaa alisema nchi za wenzetu akimaanisha nje ya Tanzania, ila ninyi mnakosoa kwa kutoa mifano ambayo haihusiani kabisa.Alichokuambia ndicho kinachofanyika vyuo vingi, hata chuoni kwetu washawahi kufukuzwa wanafunzi kwa mtindo huo.
nchi za wenzetu zipi hizo? mbona unaandika km unaharisha? pumbavNchi za wenzetu hawa ndo wanaendelezwa na kupewa ajira ya kulinda mfumo
afuatilie kwa mamako? acha kuandika uchafu km huu. We umewahi kufika nchi gani inayoruhusu mambo km hayo. watu wengine mbona hamuoni hata haya?Fuatilia sio unakurupuka tu