Ulimakafu
JF-Expert Member
- Mar 18, 2011
- 31,248
- 13,244
Inaweza kuwa...TZ tunavyokuza mambo apo utakuta wamepeleka risti fek zenye mhur wa wakala wa huduma za kibenk kua wamelipa mhasbu kajaza kuja kupga hesabu ndio wamejua hawa walifoj rst lakin utasikia wamedukua.. miaka hiyo tulikua tunakula hela za hostel tunaenda kufoj rest na tukasoma had tukamaliza wajinga wakaiga kwenye ada wakafukzwa