Chuo Kikuu cha Iringa chawafukuza wanafunzi zaidi ya 50 kwa kudukua Mfumo wa Malipo ya Ada

Chuo Kikuu cha Iringa chawafukuza wanafunzi zaidi ya 50 kwa kudukua Mfumo wa Malipo ya Ada

TZ tunavyokuza mambo apo utakuta wamepeleka risti fek zenye mhur wa wakala wa huduma za kibenk kua wamelipa mhasbu kajaza kuja kupga hesabu ndio wamejua hawa walifoj rst lakin utasikia wamedukua.. miaka hiyo tulikua tunakula hela za hostel tunaenda kufoj rest na tukasoma had tukamaliza wajinga wakaiga kwenye ada wakafukzwa
Inaweza kuwa...
 
hakuna cha Practical wala nini hapo, mfumo huenda ulioneakana una shida mahala.. madogo wakatumia mwanya ndio maana unaona kundi kubwaa la watu.. Mifumo mingi ya vyou ni mibovu sana,
Mifumo hata ukiingia SIMS na OSIM za vyuo unaona zilivyokaa kipuuzi kama za vyama vya kilimo uko Uyui.

Hapo hakuna utaalamu wowote, ni mtu mmoja au wawili tena yawezekana kwenye staff wamegundua na wakalipisha hao wengine wote. Watu 250+ wana uwezo gani wa kuingia mfumo na kujiandikia wamelipa.
Ni wataalamu wa IT wa kawaida sana hata sasa ukitaka nikutafute mtaani dakika moja nawaleta, na ni haohao wanakosa hata ajira ya 1M kwenye taasisi au kampuni zinazojua maana ya IT.
Kuna jamaa chuo alikuwa anajipa A na B+ akaja gundulika na department yake hakuna lecturer yeyote anayemjua kama kipanga ila GPA yake inasimama vizuri, walipojisumbua kukagua muda huohuo hata hajaondoka department wakajua anawahujumu.

Na mwingine jamaa kazi yake ilikuwa kufaulisha wanafunzi, systems za vyuo zinafanana ziko mbili au tatu. Anadai system nyepesi zaidi ni ya Mwalimu Nyerere, kazi yake kujazia watu B+, B. Ni uzembe wa vyuo na kudharau ulinzi wa mtandao
 
Kwa hiyo ulivyosoma wewe ndiyo umeelewa kuwa kaiba?

Hivi hizo shule mlienda kusomea ujinga?
Nimezungumza swala la kuiba au kupata kazi!!? Unajua maana ya jail breaking mkuu!!? Unajua hasara unayoipata wewe kama manufacturer au mmiliki!!? Kumbe ukizeeka ndo akili zinawahi kuisha hivi
 
Huyo alifoji malipo? Kwani hujui Apple, makampuni makubwa mengine na serikali nyingine duniani hufanya mashindano ya ethical hacking. Huyo alionyesha security weakness akatoa evidence, hawa wameiba ni fraud kesi kubwa kabisa mahakamani
 
Nimezungumza swala la kuiba au kupata kazi!!? Unajua maana ya jail breaking mkuu!!? Unajua hasara unayoipata wewe kama manufacturer au mmiliki!!? Kumbe ukizeeka ndo akili zinawahi kuisha hivi
Kaanzie uliponijibu niliandika nini.

Wewe unaonesha una akili za samaki.
 
Kwanini wawafukuze hao wabobezi wa IT [emoji26][emoji26][emoji26]
Hata uwe mjuzi, kiasi gani ukitumia gizanini huo ujuzi wako, hautakusaidia kwenye mwanga.
Hivyo walichofanya ni wizi, kama wizi mwingine kwanza udukuzu, ni kosa kisheria.
 
Nilimvulia kofia yule IT mwanafunzi kutoka Zambia ambae aliingiza jina lake kwenye mfumo wa mshahara SA na wasingemkamata walikuja kugundua maana hakuingiza jina kwenye Taasisi ya mafao ila alilipwa miezi ya kutosha tuu...
 
Hata uwe mjuzi, kiasi gani ukitumia gizanini huo ujuzi wako, hautakusaidia kwenye mwanga.
Hivyo walichofanya ni wizi, kama wizi mwingine kwanza udukuzu, ni kosa kisheria.
Ndiyo ulipoishia kufikili au kunanyongeza
 
Kaanzie uliponijibu niliandika nini.

Wewe unaonesha una akili za samaki.
"Hakuna anayeendeleza mwizi" kampuni kubwa tu zaidi ya tayu zimewaajiri watu ambao walidukua mifumo yao choice ni moja umuajiri kuziba loopholes au umuache upate hasara zaidi... this case nchi nyingine wanakuchukulia kama genuine product katika market lazima wakuendeleze na hata kama sio wao basi sehemu zingine zenye reputations kubwa tu watakuchukua....
Shida nabishana na mtu mzima lakini akili zimeshaanza kufa
 
Huyo alifoji malipo? Kwani hujui Apple, makampuni makubwa mengine na serikali nyingine duniani hufanya mashindano ya ethical hacking. Huyo alionyesha security weakness akatoa evidence, hawa wameiba ni fraud kesi kubwa kabisa mahakamani
Nashindwa kuchangia mada yako sababu ya wewe mwenyewe kutokuwa na msimamo na unachokiongea... mara wameshirikiana na It wa chuo mara fraud...
Kwenye kesi ya fraud nakubaliana na wewe ni sahihi ila hili pia limefanyika na kwetu na matokeo yake ndo hayo nnayosema, unadhani Apple walipata strong security katika device zao kirahisi tu
 
Halafu hao ndo wanaingia mitandaoni kulaumu serikali na kudai katiba mpya
 
Ilinikuta hii Udsm toka 1st yr nilikua nalipa nusu ada kwa wahuni afu ada inaonekana nimelipa full semester. Brother wangu ndo alinipa hii mbinu yeye alinitangulia mwaka mmoja mbele alimaliza freshy. Sasa mwaka wetu walishtuka walifanya audit hata sijui nilijikuta nalipa ada za 3yrs [emoji23][emoji23][emoji23][emoji119][emoji119][emoji119].

Na jamaa angu mpaka leo hajachukua cheti asee[emoji119]
 
Kwanini wasiwape Distinction kwa Kazi nzuri ya IT (kuweza kudukua mfumo wa Taasisi ambayo ni so called inafundisha mfumo ambao unaonyesha jinsi ya kujikinga na mambo kama haya)...

Wawape Distinction for a Job well Done na sababu wameshikwa basi walipe na ikibidi hata walipe fine kwa kushikwa na fundisho kwa wengine wasijaribu - Ila kama ni kufukuzwa na Chuo kijifukuze
Amen!!tunazinguaga hapo tu hao ilibidi hata serikali iwatengee fungu zito la kuwasomesha na kuwafadhili kwenye practiko zao na kisha kuwaajili vyuoni huko wakawapike wengine zaidi labda kwa kila mmoja katika hao hamsini anatakiwa awapike vijana 30 katika fani hiyo ya IT,,,unadhani tukianza kwa malengo hayo baada ya miaka kumi tunakuwa angalau na vijana safii wa kwenye mifumo yetu na wenye ubora pia dunia kwa sasa inakimbizwa na teknolojia uwekezaji unahitajika sana eneo hilo kuliko serikali inavyodhani,,,, lakini shida ya sisi ngozi nyeusi ni kudidimizana tuu badala ya kunyanyuana hata kwenye wrong ways ambazo ukiwa na fikra na maono zina faida ukiziturn into Right Ways!!
 
Kwanini wasiwape Distinction kwa Kazi nzuri ya IT (kuweza kudukua mfumo wa Taasisi ambayo ni so called inafundisha mfumo ambao unaonyesha jinsi ya kujikinga na mambo kama haya)...

Wawape Distinction for a Job well Done na sababu wameshikwa basi walipe na ikibidi hata walipe fine kwa kushikwa na fundisho kwa wengine wasijaribu - Ila kama ni kufukuzwa na Chuo kijifukuze

Wangefanya kwa kuonyesha weakness ya mfumo taarifa ingekuwa tofauti. Ila bda intention waliyokuwa nayo ndio ime overshadow everything
 
Nashindwa kuchangia mada yako sababu ya wewe mwenyewe kutokuwa na msimamo na unachokiongea... mara wameshirikiana na It wa chuo mara fraud...
Kwenye kesi ya fraud nakubaliana na wewe ni sahihi ila hili pia limefanyika na kwetu na matokeo yake ndo hayo nnayosema, unadhani Apple walipata strong security katika device zao kirahisi tu
Apple wakishatoa security feature huwa wanaalika mwenye uwezo wa kuikwepa aje na wanatangaza dau, akifanikiwa anawaeleza tatizo liko wapi wanampa hela yake.
Hawakutuma watu waibe, kesi zipo nyingi Ulaya hata za kutumia airtags tu kwenye gari kumtrack yeyote awe mke/mume sembuse kuiba hela.
 
Kwanini wasiwape Distinction kwa Kazi nzuri ya IT (kuweza kudukua mfumo wa Taasisi ambayo ni so called inafundisha mfumo ambao unaonyesha jinsi ya kujikinga na mambo kama haya)...

Wawape Distinction for a Job well Done na sababu wameshikwa basi walipe na ikibidi hata walipe fine kwa kushikwa na fundisho kwa wengine wasijaribu - Ila kama ni kufukuzwa na Chuo kijifukuze
Mar nyingi kesi za hivi wala sio udukuzi wala nini…Unakuta ni mfanyakazi anayehusika na system ya ada chuoni ndo anakula dili na mwanafunzi mmoja amtafutie wateja wa hivo wanagawana malipo…likisanuka huyo mfanyakazi anamkana huyo mwanafunzi aliyetumika kama chambo
 
Back
Top Bottom