Prince Luanda
JF-Expert Member
- Oct 17, 2016
- 2,255
- 2,825
Mwenzio kadanganya na wewe umeingia kingi mwambie ataje incident moja hapaNaunga mkono hoja.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mwenzio kadanganya na wewe umeingia kingi mwambie ataje incident moja hapaNaunga mkono hoja.
Huko huko Marekani. Tapeli maarufu aligewa kazi ya kushauri mabenki na askari juu ya hundi bandia.Usijidanganye, hakuna nchi wanalea wahalifu. Ingekuwa hivyo basi majambazi wangepewa kazi ya kulinda benki.
📌🔨Kwanini wawafukuze hao wabobezi wa IT 😥😥😥
Unazijua miiko ya ITNchi za wenzetu hawa ndo wanaendelezwa na kupewa ajira ya kulinda mfumo
Nchi za wenzetu hawa ndo wanaendelezwa na kupewa ajira ya kulinda mfumo
Kwanini wawafukuze hao wabobezi wa IT 😥😥😥
Msipotoshe.Utakuta hapo mdukuaji ni mmoja,halafu anawauzia fursa wanafunzi wengine.Hivyo wengi hapo wameshiriki wizi na kujinufaisha bila kujua hata huo udukuaji ulifanyikaje.Hawa wadukuzi ndo wanatakiwa kwenye enzi hizi za sayansi na teknolojia kwenye mambo ya ukachero
Hawa wadukuzi ndo wanatakiwa kwenye enzi hizi za sayansi na teknolojia kwenye mambo ya ukachero
Kwanini wasiwape Distinction kwa Kazi nzuri ya IT (kuweza kudukua mfumo wa Taasisi ambayo ni so called inafundisha mfumo ambao unaonyesha jinsi ya kujikinga na mambo kama haya)...
Wawape Distinction for a Job well Done na sababu wameshikwa basi walipe na ikibidi hata walipe fine kwa kushikwa na fundisho kwa wengine wasijaribu - Ila kama ni kufukuzwa na Chuo kijifukuze
Ndiyo umeona hicho tu?Wamefanya kosa la kimtandao na utapeli.
Kwa nini mnahangaika na msivyonavyo kupata msichonacho na kuacha kutumia milichonacho kupata msichonacho?Sasa SAUT ndo nchi za wenzetu?
Wakati mwingine taarifa sio kwa faida ya ninyi kufahamu tu ila ni kwa ajili ya funzo, onyo na justification ya kilicho amuliwa.Hata wakitafutwa kimya kimya hatuwezi kujua
Naona 'antenna' imesimama. Mwenzangu umebakia kuchekacheka tu. Its wet its wet! Maamaee![emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Mwisho ilikuja kuweje baada ya kusanukiwa.Imenikumbusha RUCO mwaka fulani,tulikuwa tunafoji bank slip zikiwa na mihuri ya benki.. baadae ikaja kusanuka.