Mkweche II
JF-Expert Member
- Aug 11, 2018
- 4,160
- 5,793
Big up kwa hao majanki
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wamesoma na kuelewa kwa vitendo. Kudos vijana.
Chuo Kikuu cha Iringa kimelazimika kuwafukuza wanafunzi zaidi ya 50 baada ya kudukua mfumo wa malipo ya ada na kugoma kulipa ada ya kozi ya teknolojia ya habari (IT).
Makamu Mkuu wa Chuo, Prof. Ndilirio Urio amesema wanafunzi 256 walifanya udanganyifu wa malipo na Chuo kiliagiza matokeo ya wanafunzi wote yafutwe. “Seneti ilikaa jana wale ambao wamekubali kulipa ada, kukiri na kuomba msamaha tumewasamehe,” amesema wakati wa mahojiano na waandishi wa habari. “Wale wachache waliokaidi kulipa wamefukuzwa.”
Habari leo
Pia soma > Wanafunzi wa Chuo Kikuu cha Iringa wadaiwa kuingilia Mfumo na kuonekana kama Wamelipa Ada
Sio kwa issue cheap cheap kama hizi.Nchi za wenzetu hawa ndo wanaendelezwa na kupewa ajira ya kulinda mfumo
Sasa SAUT ndo nchi za wenzetu?Haipo hiyo usipotoshe.
Mwanzoni mwa 2010 SAUT napo mfumo ulidukuliwa ada unayo takiwa kulipa mfa 1.3m unamlipa mdukuaji 500k ye ana ingiza taarifa kuwa umekamilisha.ila wahusika wote walifukuzwa.
mbona unawashwa sana mzee!!? Au na wewe na wewe ndo wale wale!!?afuatilie kwa mamako? acha kuandika uchafu km huu. We umewahi kufika nchi gani inayoruhusu mambo km hayo. watu wengine mbona hamuoni hata haya?
Mzee ndukumu ina matatizo sana naona ungeenda mcheki daktari yan bando langu na nimezungumza kitu ambacho kimetokea sweden still unanipangia!!? Unawashwa sana mkuu.nchi za wenzetu zipi hizo? mbona unaandika km unaharisha? pumbav
Mpaka mtu anahack system anabadilisha matokeo wenzetu wanachukulia hii kama positive kuda dogo wa chuo sweden alikula ajira kupitia hili swalaNchi za wenzenu wapi?
Sasa ukiwapromote hao wezi, huoni ndio unahamasisha na wengine.
Mwisho wa siku utapata hasara.
Nchi gani hiyo?
Hebu acheni kutuona wote humu JF ni malimbukeni tusiojua kitu.
Nashangaa watu wanakataa hili swala, wakati limetoea zaid ya mara mbili canadaNaamini watatafutwa wenye hivyo vipaji, inaenda kimya kimya haiwezi kutangazwa
Canada na marekani kwa nnazofahamu mimi ila ni zaid ya hapo hapo, hata makampuni mengi tame hire jail breakers waoNchi gani
Hakuna aneendeleza mwizi. Usidanganye watu.Nchi za wenzetu hawa ndo wanaendelezwa na kupewa ajira ya kulinda mfumo
Plutnum member naheshimu mawazo yako ila itoshe kukwambia hujui habari za nje kuhusiana mostly famous it jobsHakuna aneendeleza mwizi. Usidanganye watu.
Habari unazofuatilia usiache maana huku hakukuhusu mkuu🙏🙏Hakuna aneendeleza mwizi. Usidanganye watu.
Habari unazofuatilia usiache maana huku hakukuhusu mkuu🙏🙏
Nchi za wenzetu hao wanafunzi hawafukuzwi bali wanafungwa jela au wanalipa faini kubwa mno wakiwezaNchi za wenzetu hawa ndo wanaendelezwa na kupewa ajira ya kulinda mfumo