Chuo Kikuu cha Iringa chawafukuza wanafunzi zaidi ya 50 kwa kudukua Mfumo wa Malipo ya Ada

Chuo Kikuu cha Iringa chawafukuza wanafunzi zaidi ya 50 kwa kudukua Mfumo wa Malipo ya Ada


Chuo Kikuu cha Iringa kimelazimika kuwafukuza wanafunzi zaidi ya 50 baada ya kudukua mfumo wa malipo ya ada na kugoma kulipa ada ya kozi ya teknolojia ya habari (IT).

Makamu Mkuu wa Chuo, Prof. Ndilirio Urio amesema wanafunzi 256 walifanya udanganyifu wa malipo na Chuo kiliagiza matokeo ya wanafunzi wote yafutwe. “Seneti ilikaa jana wale ambao wamekubali kulipa ada, kukiri na kuomba msamaha tumewasamehe,” amesema wakati wa mahojiano na waandishi wa habari. “Wale wachache waliokaidi kulipa wamefukuzwa.”

Habari leo

Pia soma >
Wanafunzi wa Chuo Kikuu cha Iringa wadaiwa kuingilia Mfumo na kuonekana kama Wamelipa Ada
Wamesoma na kuelewa kwa vitendo. Kudos vijana.
 
Haipo hiyo usipotoshe.
Mwanzoni mwa 2010 SAUT napo mfumo ulidukuliwa ada unayo takiwa kulipa mfa 1.3m unamlipa mdukuaji 500k ye ana ingiza taarifa kuwa umekamilisha.ila wahusika wote walifukuzwa.
Sasa SAUT ndo nchi za wenzetu?
 
nchi za wenzetu zipi hizo? mbona unaandika km unaharisha? pumbav
Mzee ndukumu ina matatizo sana naona ungeenda mcheki daktari yan bando langu na nimezungumza kitu ambacho kimetokea sweden still unanipangia!!? Unawashwa sana mkuu.
 
Nchi za wenzenu wapi?

Sasa ukiwapromote hao wezi, huoni ndio unahamasisha na wengine.
Mwisho wa siku utapata hasara.
Mpaka mtu anahack system anabadilisha matokeo wenzetu wanachukulia hii kama positive kuda dogo wa chuo sweden alikula ajira kupitia hili swala
 

Attachments

  • Screenshot_20230525-173614_Chrome.jpg
    Screenshot_20230525-173614_Chrome.jpg
    108.1 KB · Views: 7
TZ tunavyokuza mambo apo utakuta wamepeleka risti fek zenye mhur wa wakala wa huduma za kibenk kua wamelipa mhasbu kajaza kuja kupga hesabu ndio wamejua hawa walifoj rst lakin utasikia wamedukua.. miaka hiyo tulikua tunakula hela za hostel tunaenda kufoj rest na tukasoma had tukamaliza wajinga wakaiga kwenye ada wakafukzwa
 
Mtaani kwetu kuna wezi walivamia shambani kwa mmoja wa jenerali wa jeshi na kuiba KG 630+ za maharage lkn walipofuatiliwa njiani walikutwa wamejitwishwa kichwani maana walikua wawili hivyo hizo kg waligawa nusu,walivyokamatwa ilibidi meja awape ajira ya kudumu ktk moja ghala zake...
 
Nimemaliza chuo nilifanikiwa kulipa mwaka MMOJA TU nyingine zote ongeaa na watu vzr [emoji3][emoji3]
 
Back
Top Bottom