Chuo Kikuu cha Iringa chawafukuza wanafunzi zaidi ya 50 kwa kudukua Mfumo wa Malipo ya Ada

Wamefaulu vitendo
 
Vijana wameiva sasa katika course yao ya IT.

Nashauri, Serikali iwachukue katika kutengeneza mifumo mipya ya ubunifu wa teknolojia mbalimbali na usalama. Watasaidia sana.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…