Mlamba Chumvi
JF-Expert Member
- Oct 29, 2016
- 408
- 409
Mwaka gani maana kwa Technologia ilipofikia sijui kama itakuwa rahisi jivyoNimemaliza chuo nilifanikiwa kulipa mwaka MMOJA TU nyingine zote ongeaa na watu vzr [emoji3][emoji3]
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mwaka gani maana kwa Technologia ilipofikia sijui kama itakuwa rahisi jivyoNimemaliza chuo nilifanikiwa kulipa mwaka MMOJA TU nyingine zote ongeaa na watu vzr [emoji3][emoji3]
Hao ni wahalifu,hakuna nchi duniani inalea uhalifu,nioneshe ni mhalifu yupi alipewa kazi baada ya kuiba,na unqfundisha kitu gani kwa watoto?? Kuwa ukitaka kazi jaribu kwanza kuiibia tasisi then itakuajiri??Kwanini wasiwape Distinction kwa Kazi nzuri ya IT (kuweza kudukua mfumo wa Taasisi ambayo ni so called inafundisha mfumo ambao unaonyesha jinsi ya kujikinga na mambo kama haya)...
Wawape Distinction for a Job well Done na sababu wameshikwa basi walipe na ikibidi hata walipe fine kwa kushikwa na fundisho kwa wengine wasijaribu - Ila kama ni kufukuzwa na Chuo kijifukuze
Nani kasema wapewe ajira ?, Nimesema wapewe distinction kama unafundisha kuongelea alafu mtu akaongelea kushinda wewe mwalimu, hata kama alivunja sheria wakati anaanza haiondoi umahili wako katika kuongelea...Hao ni wahalifu,hakuna nchi duniani inalea uhalifu,nioneshe ni mhalifu yupi alipewa kazi baada ya kuiba,na unqfundisha kitu gani kwa watoto?? Kuwa ukitaka kazi jaribu kwanza kuiibia tasisi then itakuajiri??
Sio kwamba kuna baadhi ya watumishi hapo chuoni wanashirikiana na hao wanafunzi?Huu mchezo unafanywa mpaka kesho
mkuu naomba nicheki 0657584233Kuna upenyo kwenye system uligundulika wakaona wautumie.. kama ikifanyika forensic investigation.. unaweza kuta wala hakuna alie toboa bali delevoper wao ndio mwenye makosa
Think good.Vijana wameiva kwaajili ya kazi.