Chuo Kikuu Mzumbe chamtunukia Rais Samia Shahada ya Udaktari wa Heshima katika Uongozi
Samia anatakiwa apewe phd na hata full professor tittle kutoka vyuo vikuu vyote Tanzania ambavyo wiko zaidi ya 30. Wampe hizo phd kadri anavyotaka, wampe tu za kutosha, wampe hata phd tatu tatu kila chuo.

Inatakiwa kila ndaki ama college ya chuo impe samia phd, mfano UD tuanze na udbs, coet na kadhalika wampe phd same na kwa vyuo vyote.

Maprofesa njaa unategemea watafanya nini zaidi ya hicho?
Apewe PhD for what??
 

Jiulize kwa nini vyuo vikuu vya China au India haviwatunuku viongozi wao shahada za heshima? India mwakani inaipiku Japana na kuwa Taifa la Tatu lenye uchumi mkubwa Duniki ila hayujawahi sikia Chuo kikuu chochote India kina mtunuku Wazori mkuu wa India.

Hayo majengo ndio maendeleo? Nchi hii imejaaa wajinga sana, nenda vijijini uone majengo ya Madarasa
 
Jiulize kwa nini vyuo vikuu vya China au India haviwatunuku viongozi wao shahada za heshima? India mwakani inaipiku Japana na kuwa Taifa la Tatu lenye uchumi mkubwa Duniki ila hayujawahi sikia Chuo kikuu chochote India kina mtunuku Wazori mkuu wa India.

Hayo majengo ndio maendeleo? Nchi hii imejaaa wajinga sana, nenda vijijini uone majengo ya Madarasa
Umewahi fuatilia ukakuta haviwatunuku au unaropoka tuu?
 
Mambo ya kuisha unategemea pesa,nimeshamjibu mwenzio hapo Juu,Mimi najua sifanyi propaganda Wala siandiki mada ambayo Sina facts au ushahidi.
Unafanya nini? Vipi picha za raia wanao shinda njaa, hawawezi mudu ghrama za matibabu kwenye hospitali za umma tunazipataje? au tuna dili na picha za majengo?

Majengo kwani wakoloni hawakujenga? Jiji la Cape town limejengwa na wakoloni na ni moja ya jiji bora Ulimwenguni, wadanganyeni wajinga wa hili taifa na propaganda hizo.
 
Back
Top Bottom