Chuo Kikuu Mzumbe chamtunukia Rais Samia Shahada ya Udaktari wa Heshima katika Uongozi
Wewe ndio mjinga zaidi ya kujikomba kuna lingine unajua hebu niambie unacho kijua nje ya kujikomba komba.
Nijikombe Ili nivumbue nini? Wanaojikomba Huwa wanafika mahala wanachoka,Niko hapa Toka 2021 Hadi Leo naendelea Hadi Samia atakapoishia.

Punguza upumbavu na chuki
 
Raia wanapigana na umasikini mkubwa sana, juzi nilikuwa janda ya Ziwa, Mara, SImiyu na Shinyanga, kule Mara kuna Umasikini wa kutisha kabisa wa kuuona kwa macho, ila hakuna anaye jali. Kuna umasikini mkubwa wa vipato kule.

Nenda kule Musoma Vijijini hadi kwa Baba wa Taifa Butiama kuna Poverty sana now day.

Kilimo cha pamba ndicho walikuwa wanategemea ila kimekufa na hakuna dalili za kufufua tena, raia wamebakia masikini. CCM kutwa nzima wanaenda na Project za vitu kule.
Hawa wajinga wanacho jua ni propaganda za majengo,
 
Raia wanapigana na umasikini mkubwa sana, juzi nilikuwa janda ya Ziwa, Mara, SImiyu na Shinyanga, kule Mara kuna Umasikini wa kutisha kabisa wa kuuona kwa macho, ila hakuna anaye jali. Kuna umasikini mkubwa wa vipato kule.

Nenda kule Musoma Vijijini hadi kwa Baba wa Taifa Butiama kuna Poverty sana now day.

Kilimo cha pamba ndicho walikuwa wanategemea ila kimekufa na hakuna dalili za kufufua tena, raia wamebakia masikini. CCM kutwa nzima wanaenda na Project za vitu kule.
Hawa wajinga wanacho jua ni propaganda za majengo,
Unaposema hakuna anaejali una maanisha nini? Je Serikali inagawa hela?
 
We chawa una majibu ya kiburi .

Uzuri ni kwamba mwisho wenu umekaribia .
Jibu swali,unaposema unaona umaskini Kwa macho then unasema hakuna anaejali unamaanisha nini?

Usijifiche kwenye ujinga wako wa neno chawa
 
Mbona mzumbe wamechelewa sana kumpatia Bi Kizimkazi hiyo degree yake ya heshima!!!! Hawana adabu kabisa🤔😠🤨, msheshimiwa Rais anastahili kupewa shahada za heshima na vyuo vikuu vyote Tanzania.
 
Chuo Kikuu Mzumbe kinatarajia Kumtunuku Rais Samia Shahada ya Udakatri wa Heshima katika Uongozi wa Chuo kama ishara ya kutambua jitihada zake katika kuboresha Elimu ya Juu Nchini hasa miundombinu,Utafiti na kuongeza idadi ya udahili.

Hiyo itakuwa ni Shahada ya 5 Kwa Rais Samia na Shahada ya 1 kutolewa na Chuo Kikuu Mzumbe.

Ikumbukwe Rais Samia ni alumni wa Mzumbe Hongera Rais Samia,jitihada zako zitambuliwe Sasa Ukiwa hai na Kila mtu anaona.👇👇

View: https://www.instagram.com/p/DCvjacQtUGw/?igsh=dnc4ZXRmN3drN2c=

View: https://youtu.be/TrtUv3f9Vqw?si=AL1WHw-cSlXDFJ62

My Take
Hata hili Chadema watapinga ila Sasa data za takwimu zinawakataa.

Mfano mzuri ni mradi huu wa kupanua Elimu ya Juu Nchini ambapo taasisi 23 za Elimu ya Juu zinaendelea na kazi ya Ujenzi wa Miundombinu ya Kujifunzia.

Aidha Mikoa 15 ambayo hakikuwahi kuwa na Vyuo Vikuu au Matawi ujenzi unaendelea.Hii ni kazi ya Kutukuka ya Rais Samia. Haya yote yanatokea Chini ya Samia 👇👇

View: https://www.instagram.com/reel/DCr7oyLOtS4/?igsh=MWF5NWIzNHVhcm1mOQ==

Mashallah. Rais hijab imetulia
 
Back
Top Bottom