Chuo Kikuu Mzumbe chamtunukia Rais Samia Shahada ya Udaktari wa Heshima katika Uongozi
Raia wanapigana na umasikini mkubwa sana, juzi nilikuwa janda ya Ziwa, Mara, SImiyu na Shinyanga, kule Mara kuna Umasikini wa kutisha kabisa wa kuuona kwa macho, ila hakuna anaye jali. Kuna umasikini mkubwa wa vipato kule.

Nenda kule Musoma Vijijini hadi kwa Baba wa Taifa Butiama kuna Poverty sana now day.

Kilimo cha pamba ndicho walikuwa wanategemea ila kimekufa na hakuna dalili za kufufua tena, raia wamebakia masikini. CCM kutwa nzima wanaenda na Project za vitu kule.
Hawa wajinga wanacho jua ni propaganda za majengo,
Umaskini kuondolewa jukumu la kwanza linawahusu wenyeji wa mahali husika. Ni miaka ya karibuni tunaiona michango ya aina nyingi kwenye makundi ya whatsapp inayojikita katika ujenzi wa shule za msingi, sekondari na vyuo.

Huwezi kulinganisha maendeleo ya wilaya za mkoa wa Kilimanjaro na hizo za mkoa wa Mara. Sababu ni uchangamfu wa wenyeji wa wilaya hizo ulioanza miaka ya sitini.

Hata hizi hulka za kuweka picha zinazodhalilisha maeneo, zinawahusu kwanza wenyeji wa maeneo husika kabla hazijalihusu taifa zima.
 
Great Thinkers,
Leo tarehe 24 Novemba 2024, Chuo Kikuu Mzumbe kimeandika historia mpya kwa kumtunuku Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan, shahada ya heshima ya Doctor of Philosophy (Honoris Causa) katika masuala ya uongozi. Tukio hili limefanyika katika viunga vya Chuo Kikuu Mzumbe, Morogoro, likishuhudiwa na viongozi wa kitaifa, jumuiya ya wanataaluma, na wageni mashuhuri kutoka sekta mbalimbali ndani na nje ya nchi.

1732447095485.png


Shahada hii ya heshima ni utambuzi wa mchango mkubwa wa Rais Samia katika kuimarisha uongozi wa kipekee, utawala bora, na maendeleo ya kijamii na kiuchumi hapa Tanzania. Kwa kipindi cha uongozi wake, Dkt. Samia ameonyesha uthubutu wa kipekee katika kuleta mageuzi, kuimarisha mshikamano wa kitaifa, na kuendeleza mahusiano mazuri ya kimataifa ambayo yameleta fursa mpya za uwekezaji na maendeleo kwa nchi yetu.

Katika hotuba yake ya kupokea shahada hiyo, Mhe. Dkt. Samia alishukuru Chuo Kikuu Mzumbe kwa heshima kubwa waliyoitoa kwake. Alisisitiza kuwa mafanikio yake hayajatokana na juhudi zake binafsi pekee, bali ni matokeo ya ushirikiano wa viongozi wenzake, wananchi wa Tanzania, na taasisi mbalimbali zinazoshirikiana kwa ajili ya maendeleo ya taifa.

Kwa upande wake, Makamu Mkuu wa Chuo Kikuu Mzumbe alieleza kuwa uamuzi wa kumtunuku Mhe. Dkt. Samia shahada hii unatokana na rekodi yake ya kipekee kama kiongozi mwenye maono, asiyechoka kutafuta masuluhisho ya changamoto za kitaifa, na mwenye dhamira ya dhati ya kuimarisha maisha ya Watanzania.

Hili ni tukio la kihistoria linaloonyesha jinsi taifa linavyothamini juhudi za viongozi wake. Tunampongeza sana Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan kwa heshima hii ya kipekee, na tunamtakia kila la heri katika kuendelea kuliongoza taifa kwa hekima na busara.

Hakika Dkt Samia anastahili! Tuungane wote kumpongeza kwa mafanikio haya makubwa.
 
DKT. SAMIA ATUNUKIWA SHAHADA YA UDAKTARI WA HESHIMA YA UONGOZI

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan ametunukiwa Shahada ya Udaktari ya Heshima (PhD) katika uongozi, leo tarehe 24 Novemba 2024, kwenye mahafali ya 23 ya Chuo Kikuu cha Mzumbe, yaliyifanyika Kampasi Kuu ya Morogoro.

Shahada hiyo aliyotunukiwa Mhe. Rais Dkt. Samia, imetokana na umahiri na uwezo aliouonesha kwenye uongozi katika nafasi mbalimbali alizotumikia taifa, kupitia Chama na Serikali na nje ya hapo. Pia Dkt. Samia leo ni mgeni maalum kwenye mahafali hayo yanayofanyika katika Viwanja vya Maekani.
 

Attachments

  • IMG-20241124-WA0027.jpg
    IMG-20241124-WA0027.jpg
    184.7 KB · Views: 6
  • IMG-20241124-WA0026.jpg
    IMG-20241124-WA0026.jpg
    214.5 KB · Views: 6
Hovi kigaila juzijuzi lasemaje.vile kuhusu.miradi. anyway hongera.sana. H.E.Ssh chonde.usilubali.wakuite. Dr.

Kule.G20 kulikuwa na Phd holders waliosomea.na.kuchapisha lakini.hawaitwi dr. Dr mwachie mchungaji chakwera wa malawi.anamuiga. mugabe
 
Vyuo vinaajiri wao wenyewe na sio Serikali,hayo uliyoandika ni hisia zako binafsi,jikite kwenye mada
Vyuo vinaajiri lakini kunakua na muwakilishi kutoka PSRS. Mfano TRA huwa wanaajiri wenyewe, polisi huwa wanaajiri wenyewe lakini huwezi kusema serikali haijaajiri Ila polisi ndio imeaajiri.
 
Kila siku mengi unaandika ni uongo

Mfano Leo umesema Kuna mikoa 15 haikua na chuo kikuu, taja hiyo mikoa
Wewe ni mwehu kweli ,Mikoa ifuatayo haijawahi kuwa na Chuo Kikuu au Tawi la Chuo Cha Umma au taasisi ya Elimu ya Juu ya Serikali 👇👇
-Rukwa
-Njombe
-Kigoma
-Ruvuma
-Simiyu
-Lindi
-Kigoma
-Songwe
-Mtwara
-Kagera
-Singida
-Tabora
-Mwanza
-Tanga
-Manyara
-Mwanza
 
Wewe ni mwehu kweli ,Mikoa ifuatayo haijawahi kuwa na Chuo Kikuu au Tawi la Chuo Cha Umma au taasisi ya Elimu ya Juu ya Serikali 👇👇
-Rukwa
-Njombe
-Kigoma
-Ruvuma
-Simiyu
-Lindi
-Kigoma
-Songwe
-Mtwara
-Kagera
-Singida
-Tabora
-Mwanza
-Tanga
-Manyara
-Mwanza
Haya si mambo ya kubishana bali ni facts. Kwanza mwanza na kigoma umerudia mara mbili mbili pili umerudia tena kuandika uongo kwa confidence.

Wewe ulisema mikoa ambayo haina universities, hapa unasema universities za umma tu. Kwani zikiwa private sio universities?? Na Kama lengo ilikua ni kumaanisha vyuo vya umma tu usingesema"mikoa ambayo haina vyuo vikuu", ungesema mikoa ambayo haina vyuo vikuu vya umma(of which sio kama ni big deal)

Pili, nikuulize open University unaiweka kwenye kundi gani? Maana hiyo mikoa Kuna open University
 
Haya si mambo ya kubishana bali ni facts. Kwanza mwanza na kigoma umerudia mara mbili mbili pili umerudia tena kuandika uongo kwa confidence.

Wewe ulisema mikoa ambayo haina universities, hapa unasema universities za umma tu. Kwani zikiwa private sio universities?? Na Kama lengo ilikua ni kumaanisha vyuo vya umma tu usingesema"mikoa ambayo haina vyuo vikuu", ungesema mikoa ambayo haina vyuo vikuu vya umma(of which sio kama ni big deal)

Pili, nikuulize open University unaiweka kwenye kundi gani? Maana hiyo mikoa Kuna open University
Wewe ni mpuuzi unapendaga sana Ligi za kijinga na ujuaji mavi.Hoja yangu inahusi public Universities na Higher education Institutions na sio Vyuo vya Private.

Futa hiyo Mikoa niliyorudia mara 2 ongeza harafu leta hesabu.

-Mtwara
-Mara
-Katavi
 
Back
Top Bottom