Kiranga
Platinum Member
- Jan 29, 2009
- 78,790
- 128,275
Anapewa shahada za heshima tu, wakati kichwani hana kitu, hata kuongea anajiharishia verbal diarrhea.Kwa hiyo kama hajui?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Anapewa shahada za heshima tu, wakati kichwani hana kitu, hata kuongea anajiharishia verbal diarrhea.Kwa hiyo kama hajui?
Wapi ulisema unamaanisha vyuo vya umma tu? Ndio nakuuliza tena kwani vya private vikiwa private vinakua sio vyuo vikuu?Wewe ni mpuuzi unapendaga sana Ligi za kijinga na ujuaji mavi.Hoja yangu inahusi public Universities na Higher education Institutions na sio Vyuo vya Private.
Futa hiyo Mikoa niliyorudia mara 2 ongeza harafu leta hesabu.
-Mtwara
-Mara
-Katavi
Jamaa anaandika bila data, hafanyi tafiti, Open University ni chuoWapi ulisema unamaanisha vyuo vya umma tu? Ndio nakuuliza tena kwani vya private vikiwa private vinakua sio vyuo vikuu?
Pili nimekuuliza open University sio Cha umma? Kwenye hiyo mikoa kuna open University.
Tatu ni nani alikuambia hiyo mikoa umeiongeza haina vyuo vya umma?
Mtwara Kuna TIA
Mara kuna MJNUAT
Katavi kuna branch ya SUA, ipo kule kibaoni.
Unataja tu mikoa hata huelewi chochote
Ni muongo kinoma. Hajui hata mkoa wa katavi kuna katavi UniversityJamaa anaandika bila data, hafanyi tafiti, Open University ni chuo
Cha Umma kipo mikoa yote na hata baadhi ya wilaya nchini na watu
wengi wanahitimu kwenye hiyo mikoa.
Achana na mambo ya Open university,huko wanasoma wazee hakuna fresher anaenda kusomea bachela hapo.Jamaa anaandika bila data, hafanyi tafiti, Open University ni chuo
Cha Umma kipo mikoa yote na hata baadhi ya wilaya nchini na watu
wengi wanahitimu kwenye hiyo mikoa.
Ona Sasa ulivyo nyumbu,Branch ya SUA Kibaoni inatoa Undergraduate Degree?Wapi ulisema unamaanisha vyuo vya umma tu? Ndio nakuuliza tena kwani vya private vikiwa private vinakua sio vyuo vikuu?
Pili nimekuuliza open University sio Cha umma? Kwenye hiyo mikoa kuna open University.
Tatu ni nani alikuambia hiyo mikoa umeiongeza haina vyuo vya umma?
Mtwara Kuna TIA
Mara kuna MJNUAT
Katavi kuna branch ya SUA, ipo kule kibaoni.
Unataja tu mikoa hata huelewi chochote
Na wewe nenda upewe 😆😆👇👇Huyo kilaza nae kapewa PhD nyingine ya bure?
SUA katavi kibaoni wanatoa undergrauate courses. Bsc resources management.Ona Sasa ulivyo nyumbu,Branch ya SUA Kibaoni inatoa Undergraduate Degree?
Unajua Chuo Cha Kilimo na Teknolojia Cha Mwl.Nyererw Butiama kimefufuliwa mwaka gani? Au umewahi kusikia wanafanya mahafafi ya undergraduate degree kabla ya Samia?
Nafahamu kwamba TIA Mtwara branch ipo ila haitoi degree,labda kama imeanza miaka ya saizi.
By the way nimeitaja Mtwara makusudi kabisa Kwa sababu MUST wameanzisha Tawi Mtwara Tech makusudi kabisa Kwa Ajili ya walimu wa Ufundi watakaofundisha kwenye mitaala mipya.
Chuo Kikuu Mzumbe kinatarajia Kumtunuku Rais Samia Shahada ya Udakatri wa Heshima katika Uongozi wa Chuo kama ishara ya kutambua jitihada zake katika kuboresha Elimu ya Juu Nchini hasa miundombinu,Utafiti na kuongeza idadi ya udahili.
Hiyo itakuwa ni Shahada ya 5 Kwa Rais Samia na Shahada ya 1 kutolewa na Chuo Kikuu Mzumbe.
Ikumbukwe Rais Samia ni alumni wa Mzumbe Hongera Rais Samia, jitihada zako zitambuliwe Sasa Ukiwa hai na Kila mtu anaona.👇👇
Leo Jumapili, Novemba 24, 2024 ni mahafali ya 23 ya Chuo Kikuu cha Mzumbe, Mkoa wa Morogoro.
Katika mahafali hayo yatakayofanyikia chuoni hapo,
Rais wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan atatunukiwa Shahada ya Udaktari wa Heshima katika Uongozi ya Chuo Kikuu Mzumbe.
Makamu Mkuu wa Chuo hicho, Profesa William Mwegoha amesema hiyo itakuwa shahada ya kwanza ya heshima kutolewa na chuo hicho tangu kuanzishwa kwake.
Shahada hiyo ya udaktari wa heshima itakuwa ya tano Rais Samia kuoewa tangu alipoingia madarakani Machi 19, 2021 akichukua kijiti cha mtangulizi wake, hayati John Magufuli aliyefariki dunia Machi 17, 2021.
Shahada nyingine nne ametunukiwa na Chuo Kikuu cha Dar es Salaam (Tanzania), Chuo Kikuu cha Zanzibar, Chuo Kikuu cha Jawaharlal Nehru (India) na Chuo Kikuu cha Ankara nchini Uturuki.
Aidha, Profesa Mwegoha amesema suala la usawa wa kijinsia limepiga hatua chuoni hapo akitolea mfano, wahitimu wa mwaka huu,"ni karibu 50/50 kwani asilimia 50.2 ya wahitimu ni wanaume na asilimia 49.7 ni wanawake. Naweza kuona jinsi tunavyopiga hatua kwa vitendo."
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan akitunukiwa Shahada ya Udaktari wa Heshima katika Uongozi ya Chuo Kikuu Mzumbe na Mkuu wa Chuo Kikuu Mzumbe Rais Mstaafu wa Zanzibar Dkt. Ali Mohamed Shein kwenye Mahafali ya 23 ya Chuo Kikuu Mzumbe Mkoani Morogoroyaliyofanyika katika eneo la Maekani, Kampasi Kuu Morogoro tarehe 24 Novemba, 2024. Shahada hiyo ni ya kwanza katika ngazi hiyo ya Uongozi kutolewa na Chuo hicho tangu kuanzishwa kwake
Shahada nyingine za Udaktari wa Heshima soma viunganishi hapa chini
Rais Samia atunukiwa Shahada ya Heshima ya Uzamivu ya Usimamizi ya Utalii na Masoko ya Chuo Kikuu cha Zanzibar (SUZA), leo Desemba 28, 2023
Rais Samia Atunukiwa Udaktari wa Uchumi (Doctorate of Economics Degree) Uturuki
Rais Samia atunukiwa Udaktari wa Heshima kutoka Chuo Kikuu cha Ankara, Uturuki, leo Aprili 18, 2024
Rais Samia atunukiwa Shahada ya Heshima ya Udaktari wa Falsafa, Korea, Juni 3, 2024
My Take
Hata hili Chadema watapinga ila Sasa data za takwimu zinawakataa.
Mfano mzuri ni mradi huu wa kupanua Elimu ya Juu Nchini ambapo taasisi 23 za Elimu ya Juu zinaendelea na kazi ya Ujenzi wa Miundombinu ya Kujifunzia.
Aidha Mikoa 15 ambayo hakikuwahi kuwa na Vyuo Vikuu au Matawi ujenzi unaendelea.Hii ni kazi ya Kutukuka ya Rais Samia. Haya yote yanatokea Chini ya Samia 👇👇
View: https://www.instagram.com/reel/DCr7oyLOtS4/?igsh=MWF5NWIzNHVhcm1mOQ==
Na Lucas Mwashambwa abubujikwa machozi na kugaagaa chini kwa furahaChuo Kikuu Mzumbe kinatarajia Kumtunuku Rais Samia Shahada ya Udakatri wa Heshima katika Uongozi wa Chuo kama ishara ya kutambua jitihada zake katika kuboresha Elimu ya Juu Nchini hasa miundombinu,Utafiti na kuongeza idadi ya udahili.
Technically huyu ndugu yako atakuwa ni failure, haiwezekani ukasome kwenye Chuo ambacho hakina miundombinu yenye hadhi ya Chuo na miaka 8 hakijapata Wanafunzi harufu uje kusema ni Chuo Kikuu 😆😆😆👇👇SUA katavi kibaoni wanatoa undergrauate courses. Bsc resources management.
Kuhusu MJNUAT unasema nimewahi kumsikia nini? Kimefufuliwa lini? Epuka aibu ndogo ndogo Kama jambo hujui kaa kimya
Watu wanasoma hapo na kuna ndugu yangu allisoma hapo 2019 BSc in Aquaculture
TIA mtwara inatoa degree courses za Accountancy, HRM na procurement
Wewe ni muongo muongo kinoma alafu vitu vingi hujui
Technically huyu ndugu yako atakuwa ni failure, haiwezekani ukasome kwenye Chuo ambacho hakina miundombinu yenye hadhi ya Chuo na miaka 8 hakijapata Wanafunzi harufu uje kusema ni Chuo Kikuu 😆😆😆👇👇
View: https://youtu.be/1tyXXPWuRGQ?si=oeGPUQRupCSaI4ug
Sawa tuu na huko Kibaoni,Ile ni Kambi ya Wachina hapana Chuo pale but via HEET Project Sasa kitakuwa Chuo Kikuu.
Mwisho Samia anakipa hadhi ya Chuo Kikuu Cha Kilimo na Teknolojia Cha Mwl.Nyerere Butiama 👇👇View attachment 3160444View attachment 3160445View attachment 3160447View attachment 3160448View attachment 3160449
Huna pa kuniweka sawa najua sana Chuo kilianza enzi ya JK ila kilijifia Hadi mwokozi Samia alipokuja kukihuisha.Mzee wa matango pori ulikua ushaongopa kama kawaida, anyway nimekuweka sawa tu wala sina lengo la kuharibu kazi yako
Umewahi kufika mtwara?, Kuna swali nataka kukuuliza
Huwa unasoma unachoandika? Mwanzo ulisema hakuna, sasa hivi ni Cha failures?Huna pa kuniweka sawa najua sana Chuo kilianza enzi ya JK ila kilijifia Hadi mwokozi Samia alipokuja kukihuisha.
By then kulikuwa Chuo Cha Ma failures kama huyo ndugu yako , wengine wote walikitelekeza Kwa miaka 8.
Yaani uliwahi ona wapi Chuo Kikuu kina majengo kama ya shule ya Msingi? 😆😆
Na Kwa taarifa Yako tuu hata Hospital ya Mkoa wa Mara Sasa imegeuzwa kuwa kitengo Cha umahiri wa magonjwa ya mifupa baada ya kufufuliwa.
Huwa unasoma unachoandika? Mwanzo ulisema hakuna, sasa hivi ni Cha failures?
Umetaja mikoa ukiwa huelewi chochote kabisa hadi mwanza ukaitaja, mtumwenye akili timamu na yupo Tanzania anaweza kusema mwanza hakuna chuo Cha umma? Ina maana wewe hata IRDP huijui?
Ina maana hujui hata TIA wapo mwanza?
nimekusaida leo kujua
Nilipoona umetaja mwanza nikajua haupo sawa kichwani
Chuo sio jina ni wanafunzi,kama hakuna wanafunzi hakuna chuo,so Mkoa wa Mara ulikuwa hauna Chuo.
Pili TIA Mwanza ilikuwa inakodi vijengo ndio watolee degree humo? Hapo ilikuwa ni Certificates tuu.
Sikiliza video hapa uone kazi ya Samia,Chuo kipya kabisa kimejengwa Misungwi 👇👇
View: https://youtu.be/VwW7rYvD9uQ?si=-i12Y9UnUY0vIjuw
View: https://youtu.be/IKP5NgpoqI8?si=X3pqME9k-GvnV3NM
On top of that ujenzi unaendelea DIT Mwanza Campus na Chuo Kikuu Cha Ardhi pale Sengerema.
Mwisho hata hiyo Campus ya Chuo Cha Maendeleo Vijijini Cha Dom kulikuwa kama Cha Kata Hadi alipokuja Samia kukifanya kuwa na Hadhi ya Chuo 👇👇
View: https://youtu.be/_EQ8nl2LYck?si=1Moz7qy3rO55vFFB
View attachment 3160467
Usinipotezee mda na focus ya mada Kwa upuuzi wako.Mzeecwa matango pori nimekueleza wapo waliosoma hapo na nawafahamu
Kuhusu mwanza TIA kutoa certificate tu hui ni uongo, degree courses zilikuwepo musa kudogo
Kuhusu IRDP kuwa kilikua na majengo mabaya hiyo sio issue, sababu uzuri wa kitu ni subjective. Issue yako ulisema hakuna vyuo, kitu ambacho ni uongo
NB; usijichoshe kwenda you tube na kuhangaika kugoogle kuleta links sababu huwa sifunguagi link yoyote, pia yote hayo mm nayajua kabla yako. Save your bundle
Mada ikiwa public inakua ya wote hiyo.Usinipotezee mda na focus ya mada Kwa upuuzi wako.
Anzisha mada ya kunipinga basi Ili uweke facts zako 😆😆