Apewe PhD for what??Samia anatakiwa apewe phd na hata full professor tittle kutoka vyuo vikuu vyote Tanzania ambavyo wiko zaidi ya 30. Wampe hizo phd kadri anavyotaka, wampe tu za kutosha, wampe hata phd tatu tatu kila chuo.
Inatakiwa kila ndaki ama college ya chuo impe samia phd, mfano UD tuanze na udbs, coet na kadhalika wampe phd same na kwa vyuo vyote.
Maprofesa njaa unategemea watafanya nini zaidi ya hicho?
Wait nikuoneshe muda yalipoanza kujengwa ,sikiliza hapaππWewe kusifia tu , unajua hayo majengo yameanza kujengwa muda ganiπππ
na aseme yalitakiwa kuisha kwa muda gani?Wewe kusifia tu , unajua hayo majengo yameanza kujengwa muda ganiπππ
Sababu ziko Bilioni,ona hapa ππApewe PhD for what??
Mambo ya kuisha unategemea pesa,nimeshamjibu mwenzio hapo Juu,Mimi najua sifanyi propaganda Wala siandiki mada ambayo Sina facts au ushahidi.na aseme yalitakiwa kuisha kwa muda gani?
sio kupiga porojo tu
VC anaajiriwa au anateuliwa? Hahaa siasa ina influance kwenye kumtafuta Makamo mkuu wa Chuo,Vyuo vinaajiri wao wenyewe na sio Serikali,hayo uliyoandika ni hisia zako binafsi,jikite kwenye mada
kwahiyo linaweza kujengwa hata miaka 20?? kila kitu kina time frameMambo ya kuisha unategemea pesa,nimeshamjibu mwenzio hapo Juu,Mimi najua sifanyi propaganda Wala siandiki mada ambayo Sina facts au ushahidi.
Jiulize kwa nini vyuo vikuu vya China au India haviwatunuku viongozi wao shahada za heshima? India mwakani inaipiku Japana na kuwa Taifa la Tatu lenye uchumi mkubwa Duniki ila hayujawahi sikia Chuo kikuu chochote India kina mtunuku Wazori mkuu wa India.
Sasa hayo yote yanahusikaje na Samia kupewa Shahada? Sababu za kupewa ni hizi hapa au wewe huzioni? ππVC anaajiriwa au anateuliwa? Hahaa siasa ina influance kwenye kumtafuta Makamo mkuu wa Chuo,
Umewahi fuatilia ukakuta haviwatunuku au unaropoka tuu?Jiulize kwa nini vyuo vikuu vya China au India haviwatunuku viongozi wao shahada za heshima? India mwakani inaipiku Japana na kuwa Taifa la Tatu lenye uchumi mkubwa Duniki ila hayujawahi sikia Chuo kikuu chochote India kina mtunuku Wazori mkuu wa India.
Hayo majengo ndio maendeleo? Nchi hii imejaaa wajinga sana, nenda vijijini uone majengo ya Madarasa
HEET ya Samia Ina time frame ,Wacha kuongea stori za kutunga ππkwahiyo linaweza kujengwa hata miaka 20?? kila kitu kina time frame
Unafanya nini? Vipi picha za raia wanao shinda njaa, hawawezi mudu ghrama za matibabu kwenye hospitali za umma tunazipataje? au tuna dili na picha za majengo?Mambo ya kuisha unategemea pesa,nimeshamjibu mwenzio hapo Juu,Mimi najua sifanyi propaganda Wala siandiki mada ambayo Sina facts au ushahidi.
Huo ujinga hawana na huo muda hawana, kwa kifupi hawana huo utamaduni wa kujikomba komba. Google utalata taarifa.Umewahi fuatilia ukakuta haviwatunuku au unaropoka tuu?
Nimekwambia wewe ni mjinga , mbumbumbu na hujui kitu ,Nikuketee ushahidi unione ulivyo mjinga?Huo ujinga hawana na huo muda hawana, kwa kifupi hawana huo utamaduni wa kujikomba komba. Google utalata taarifa.
Picha za Raia wenye maisha magumu nani anatupatia? yaani CCCm mko busy na video na oicha za majenfo nenda hapo DOdoma Vijijini uone umasikini ulivyo.HEET ya Samia Ina time frame ,Wacha kuongea stori za kutunga ππ
View: https://youtu.be/NpHXDiDOqTs?si=SU4RaretI8Mn_DZH
hujajibu swali langu kwanzaHEET ya Samia Ina time frame ,Wacha kuongea stori za kutunga ππ
View: https://youtu.be/NpHXDiDOqTs?si=SU4RaretI8Mn_DZH
Wewe ndio mjinga zaidi ya kujikomba kuna lingine unajua hebu niambie unacho kijua nje ya kujikomba komba.Nimekwambia wewe ni mjinga , mbumbumbu na hujui kitu ,Nikuketee ushahidi unione ulivyo mjinga?