The Legacy
JF-Expert Member
- Jun 1, 2022
- 5,879
- 11,318
Aliekuambia Yanga club kubwa nani?
Club inaendeshwa na watoto mnaandaa keki ya Chasambi na sio mchezaji wenu.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Aliekuambia Yanga club kubwa nani?
Bora yeye anawajali kwa laki 2. Yule mwarabu Koko wenu wafanyakazi wanauza magodoro na hawapewi chochoteTapeli ni yule mhindi wenu anayewalipa wafanyakazi wake laki mbili mbili kwa mwezi uku wakifanya kazi kubwa!
Ndugu Zangu Majizi Yapo YangaYanga ni kijiwe cha madalali....na wezi
Hivi yaliandaa mpk cake?? Kweli ni wajingaAliekuambia Yanga club kubwa nani?
Club inaendeshwa na watoto mnaandaa keki ya Chasambi na sio mchezaji wenu.
Kawaida ya MASIKINI upenda umbea, uchawa, kimbelembele, uongo, utapeli na uchizi kufuatilia mambo yasiyo wahusu!Naamini kabisa kuna watu wanafanya biashara kupitia hawa wachezaji. Chama huyu ndo alisajiliwa kwa zaidi ya Million 500? Kuna mambo yanaumiza sana wapenda mpira. Watu waliungiza Uongozi chaka.
View attachment 3234884
Unampangia mtu matumizi ya pesa zake au unataka wewe ndio uchukue nafasi ya mobeto? Tokea lini mhindi akaendesha timu na ikapata mafanikio zaidi ya kusajili wachezaji wa milioni mbili mbili kina mutale!Bora yeye anawajali kwa laki 2. Yule mwarabu Koko wenu wafanyakazi wanauza magodoro na hawapewi chochote
Na Zaid huku kwa wachezaji ndio kabisa, mmempa Aziz ki mabilioni ila anayutumia kutombea wadada wa mjini, chama okra baleke wote wabadai mabilioni kutoka kwa nyinyi matapeli mkiongozwa na tapeli mkuu mliembebaga kwenye kiti injinia wa mchongo hersi, Bado ya ikangalombo yanakuja naskia ameondoka mana pesa hamujampa , wezi wakubwa nyie ...
Kwamba msela anaumia Mobote kupigwa miti na Aziz ki?Unampangia mtu matumizi ya pesa zake au unataka wewe ndio uchukue nafasi ya mobeto? Tokea lini mhindi akaendesha timu na ikapata mafanikio zaidi ya kusajili wachezaji wa milioni mbili mbili kina mutale!
Mshahara ni makubaliano kati ya muajiri na muajiriwa, so tunamtaka TAPELI ALIYEKUBUHU HERSI AMLIPE CHAMA HELA ZAKE MILIONI 200 HARAKA IWEZEKANAVYO.Tapeli ni yule mhindi wenu anayewalipa wafanyakazi wake laki mbili mbili kwa mwezi uku wakifanya kazi kubwa!
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Yanga ni kijiwe cha madalali....na wezi
Kwa wachezaji hao hao wa milioni 2 TUNAONGOZA LIGI, TUPO HATUA YA ROBO FAINALI KWENYE MICHUANO YA CAF.Unampangia mtu matumizi ya pesa zake au unataka wewe ndio uchukue nafasi ya mobeto? Tokea lini mhindi akaendesha timu na ikapata mafanikio zaidi ya kusajili wachezaji wa milioni mbili mbili kina mutale!
Ndio namshangaa aisee,,pesa za mwingine but matumizi anataka ampangie,,akili za kimangungu hizi ni shida!Kwamba msela anaumia Mobote kupigwa miti na Aziz ki?
Hakika huko Dar wanaume wamebaki wachache
Sema hatua ya robo kwenye michuano ya kahawa cup mbona usemi,,Kwa wachezaji hao hao wa milioni 2 TUNAONGOZA LIGI, TUPO HATUA YA ROBO FAINALI KWENYE MICHUANO YA CAF.
Kupitia huyo huyo muhindi SISI NI TIMU NAMBA 6 KWA UBORA AFRIKA.
Kimataifa umetolewa haushiriki michuano yoyote kwenye ligi unapambana usishuke daraja.
Haahaahaahaah
kazi si zipo nyingi mkuuTapeli ni yule mhindi wenu anayewalipa wafanyakazi wake laki mbili mbili kwa mwezi uku wakifanya kazi kubwa!
Club la matapeli madeni kila kona!Naamini kabisa kuna watu wanafanya biashara kupitia hawa wachezaji. Chama huyu ndo alisajiliwa kwa zaidi ya Million 500? Kuna mambo yanaumiza sana wapenda mpira. Watu waliungiza Uongozi chaka.
View attachment 3234884
Hiyo USD 80,000 iliyobaki ili aipate labda akawaombe FIFA wamsaidie kudai😂🤣Naamini kabisa kuna watu wanafanya biashara kupitia hawa wachezaji. Chama huyu ndo alisajiliwa kwa zaidi ya Million 500? Kuna mambo yanaumiza sana wapenda mpira. Watu waliungiza Uongozi chaka.
View attachment 3234884