gonamwitu
JF-Expert Member
- Feb 16, 2018
- 2,187
- 2,794
LIGI JE MBONA HAUJAIZUNGUMZIA?Sema hatua ya robo kwenye michuano ya kahawa cup mbona usemi,,
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
LIGI JE MBONA HAUJAIZUNGUMZIA?Sema hatua ya robo kwenye michuano ya kahawa cup mbona usemi,,
Pigaaa utosini bado panadunda dunda...Kwa wachezaji hao hao wa milioni 2 TUNAONGOZA LIGI, TUPO HATUA YA ROBO FAINALI KWENYE MICHUANO YA CAF.
Kupitia huyo huyo muhindi SISI NI TIMU NAMBA 6 KWA UBORA AFRIKA.
Kimataifa umetolewa haushiriki michuano yoyote kwenye ligi unapambana usishuke daraja.
Haahaahaahaah
Kuna upigaji unaendelea kwenye klabu ya Yanga.
Kama hii taarifa ni ya kweli, basi utapeli umeingia na kwenye klabu ya Yanga! Haya mambo tulizoea kuyaona kwenye klabu ya Simba! Kwa upande wangu kama ningekuwa kiongozi wa Yanga, nisingemsajili kama Chama hata bila ya malipo. Maana ameshajichokea!Naamini kabisa kuna watu wanafanya biashara kupitia hawa wachezaji. Chama huyu ndo alisajiliwa kwa zaidi ya Million 500? Kuna mambo yanaumiza sana wapenda mpira. Watu waliungiza Uongozi chaka.
View attachment 3234884
Wana Elimu Gani hao wafanyakazi?Tapeli ni yule mhindi wenu anayewalipa wafanyakazi wake laki mbili mbili kwa mwezi uku wakifanya kazi kubwa!
Anakunywa pombe na kuvuta bangi tu na kutumbua fedha ya GSMMkude anafanya kazi gani pale yanga??
Usajili wa Chama ilikuwa ni siasa za Simba na Yanga tu lakini halikuwa hitaji la bench la ufundi, kwa sababu hata Simba kwenyewe alishaanza kusugulishwa benchi.
Aliamini anaikomoa SimbaNawaza nini kilimsukuma kulazimisha Chama aje kwa dau kubwa kama hilo.
Muuzaji wa jezi za Yanga ni GSMYanga waliuza sana jezi yake hawakufikisha hiyo milioni 500? Kama hawakuifikisha hiyo pesa basi ilikuwa biashara kichaa.
Kuikomoa Simba ...Nawaza nini kilimsukuma kulazimisha Chama aje kwa dau kubwa kama hilo.
Kamuulize yeyeMkude anafanya kazi gani pale yanga??
Mambo ya NgosweKuikomoa Simba ...
Simba walikuwa wakimtaka kumbakishaNawaza nini kilimsukuma kulazimisha Chama aje kwa dau kubwa kama hilo.
Nenda mazoezini utamwona
Mbona unashangaa la Chama tu hushangai mil 700 za dube?
Kwani nimekuuliza kenge???(Kamuulize yeye
Acha unafiki wewe... Huyu kiungo konokono(kojokojo) mbona uto mmemtaka muda sana.... Hata kabla hajaanza kucheza simba utopox mlimtaka na kumtukana. ILA UKWELI USEMWE KATIKA WACHEZAJI BORA KUTOKA NJE YA TANGANYIKA WALIOWAHI KUCHEZA HII LIGI YA KITOPOLO NI Okwi, Chama na kipa Yao Berko..., Nisiwe mnafiki.....
Mikia walikuwa wanatikisa tu coz wengi walishamchoka. Hawakuwa na imani naye tena.Simba walikuwa wakimtaka kumbakisha