mpiga vichwa
JF-Expert Member
- Oct 21, 2021
- 2,376
- 3,811
Msiwafumbuwe macho kwani wajinga ndio waliwao.Kuna Mchezo Wa Wizi Yanga, Mzee Magoma Apewe Timu Haraka Kabla Mambo Hajaharibika Kabisa. Millions 500 Za Tanzania Hii Hii, Majizi Yapo Ndugu Zangu
Pesa za wanaume wenzako zinakuumia nini, wewe bakia kama shabiki pesa za usajili waachie viongozi mkuuNaamini kabisa kuna watu wanafanya biashara kupitia hawa wachezaji. Chama huyu ndo alisajiliwa kwa zaidi ya Million 500? Kuna mambo yanaumiza sana wapenda mpira. Watu waliungiza Uongozi chaka.
View attachment 3234884
Jonathani nanivile hebu ongeza sauti.๐ ๐ ๐ ๐ ๐ ๐ ๐ ๐ญCHAMA usikubali kutapeliwa na haya matapeli ya nyuma mwiko yalikubuhu kwenye utapeli nenda FIFA ukawashitaki wakulipe hela yako wezi wakubwa hawa.
Yule mkongomani jonathani mkaliamboo na yeye wamemtapeli kagoma kucheza anataka hela zake.
YANGA NI TIMU YA MATAPELI NA WEZI.
Mimi sidhani kama nina lengo la kumwaribia mtu wako kisha nawe ukakosa. Najua nyie jinsia yenu huwa ilimradi mnahongwa tu basi mnakiwa very loyal. Anyway.....akufungulie saluni sasa au duka la nguo.Pesa za wanaume wenzako zinakuumia nini, wewe bakia kama shabiki pesa za usajili waachie viongozi mkuu
Duh! Kumbe chizi๐ฆพ๐คฃ๐ฎMimi sidhani kama nina lengo la kumwaribia mtu wako kisha nawe ukakosa. Najua nyie jinsia yenu huwa ilimradi mnahongwa tu basi mnakiwa very loyal. Anyway.....akufungulie saluni sasa au duka la nguo.