Hanifer Mjanja
JF-Expert Member
- Dec 10, 2019
- 217
- 329
- Thread starter
-
- #101
Yes, tawi la hapa Mwanza ndo kikubwa wanachofanya. Mimba zinaflashiwa hadi inatisha aisee. Yaani kwa siku ambayo mko bize zinaflashiwa mimba sio chini ya 10.Marie Stopes siyo... π
Unaona kuwa hiyo ndo motisha pekee ambayo inaweza kunifanya nipaze sauti juu ya hili?Mzee haujaridhika na malipo yao ndio maana umeweka wazi. Short and clear
Acha watoe watajua hawajui karma revolves around.Clinic ya Marie Stopes iliyoko jijini Mwanza wanajihusisha na vitendo vya utoaji mimba. Mimba zinatolewa sana pale, hasa za wanafunzi wa vyuo vikuu. Mchezo unaofanyika ni kwamba wanawake wanaohitaji hiyo huduma hufika hapo na huulizia huduma ya abortion, au kwa kujifanya mimba imeharibika.
Kinachofuata, mhusika anafanyiwa huduma inaitwa "dilatation and curateage", ambayo kimsingi ni kutanua njia ya shingo ya kizazi, kisha kuharibu mimba kwa kusafisha kizazi.
Sasa, the way wana record hiyo ili kuficha huo uozo ni wana record kama vile mtu alikuja na "miscarriage" tayari au "incomplete abortion" halafu kuwa wao wakasafisha tu kizazi kuondoa mabaki yaliyobaki kwenye kizazi, lakini ukweli ni kwamba wanakua wameharibu mimba na kufanya abortion ila kwenye rekodi zao wanaonyesha kama vile ni incomplete abortion.
Kuna uwezekano pia timu ya usimamizi wa huduma za afya ya halmashauri na hata ya mkoa inajua kabisa mchezo unaoendelea lakini wananyamazishwa kwa bahasha, maana hizi habari ziliwahi kuripotiwa kwao lakini hakukua na hatua zozote ziulizofuata.
Pia, hawa watu kuanzia wakati wa usahili kama unataka kuajiriwa pale kama daktari au muuguzi, wanakuuliza kabisa wewe mtazamo wako kuhusu utoaji mimba ukoje, na wanakupa scenario kuwa ikitokea wakati unatimiza majukumu yako halafu akaja mteja ambae anataka kutoa mimba je utachukua hatua gani? Ukitoa majibu ambayo yanaonyesha kama vile unapinga mambo ya abortion, wanakuchinjia baharini hupati hiyo kazi.
Tukumbuke kuwa kwa nchi yetu, utoaji wa mimba (abortion) ni kinyume cha sheria za nchi.
Nimeona nifichue hili jamani nimechoka vitendo hivi kila siku nashiriki utoaji mimba ila ni kwa sababu ya njaa tu, nimeona nije kutoa ripoti huku, Wizara ya Afya Tanzania fuatilieni hili mchukue hatua.
Nendeni pale kagueni records zao muone walivyo na "incomplete abortion" kibao ambazo wanazifanyia dilatation and curatage, hizo zote ni mimba ambazo zimetolewa hakuna cha incomplete abortion wala nini.
Fanyeni uchunguzi kwa makini, mtagundua kitu, ila msiende kichwa kichwa.
Asante.
Excuses za kitoto sana hizi , kama mtu hataki mimba atafanya kila liwezeknalo asishike ujauzito.. people just don't care wanaona the easy way out ni kutoa mimba...maajabu sanaMkuu wengine hawajui mpangilio wa mzunguko wa siku zao wengine siku hua zinavurugika kwa hio anajikuta tu kamwagiwa Dejan wawili baada ya mwezi kitu kinasoma
How? Nimeona tu niseme maana inaniumiza s
Aaah usijali kusagia kunguni season 1 inaanzia January hii mpaka December itakua season 12 kulingana na miezi hiyo ni operation maalumu ya kufichua vitu visivyo vya uungwana katika jamii,How? Nimeona tu niseme maana inaniumiza sana
Kufichua uovu ndo kusagia kunguni?Aaah usijali kusagia kunguni season 1 inaanzia January hii mpaka December itakua season 12 kulingana na miezi hiyo ni operation maalumu ya kufichua vitu visivyo vya uungwana katika jamii,
Hongera mkuu!
Haswaaa...!!So kazi yao kubwa ni kupromote uzazi wa mpango na utoaji mimba...?
Sawa kabisa, wanachotakiwa kufanya ni kushawishi serikali ya Tanzania (kupitia wizara ya afya na wizara ya sheria) waweze kuruhusu abortion nchini, na sio kufanya utoaji mimba kinyume cha sheria.kwa kuwa ni kinyume na sheria za nchi, basi ahsante na mamlaka husika wamekuskia watalishughulikia. Ila sheria ya utoaji mimba serikali inabidi waitazame sana kwa jicho pevu.
Exactly on point.Excuses za kitoto sana hizi , kama mtu hataki mimba atafanya kila liwezeknalo asishike ujauzito.. people just don't care wanaona the easy way out ni kutoa mimba...maajabu sana
Sad.Hao Marie kila sehemu hizo huduma wanazo. Ni malegend
Kwa hiyo unaona ni bora wafe kisa kasikia ukinywa jiki mimba itatoka . We kama unaona huwezi hiyo kazi acha wengine watafanya na sio kuleta unafiki wako hapa.kama unajiamini sio mnafiki wafate hao maboss zako waambie mbona wanavunja sheria za nchi.πSuluhisho ni kufumbia macho uvunjaji wa sheria za nchi ambazo zinakataza utoaji wa mimba?
Kwa hiyo ni bora mamlaka za nchi ziendelee kufumbia macho huu uvunjaji wa sheria ya kukataza utoaji mimba?Kwa hiyo unaona ni bora wafe kisa kasikia ukinywa jiki mimba itatoka . We kama unaona huwezi hiyo kazi acha wengine watafanya na sio kuleta unafiki wako hapa.kama unajiamini sio mnafiki wafate hao maboss zako waambie mbona wanavunja sheria za nchi.π
Sasa unafikiri nani asiyejua jua shughuli ya hiyo taasisi, halafu nchi inapokubali misaada na mikopo ya mabeberu ndo inakuja na masharti kama hayo kuziacha hizo taasisi zifanye kazi zake kwa uhuru.Hapana, lengo langu ni kupaza sauti ili angalau mamlaka za nchi zifahamu na zifanye uchunguzi juu ya hili na kuchukua hatua stahiki.
Sasa kama ndo hivyo basi kwa nini hao mabeberu kupitia hiyo hiyo misaada wasishawishi nchi ikubali tu sheria ya utoaji mimba? Hiyo si ingekua rahisi zaidi?Sasa unafikiri nani asiyejua jua shughuli ya hiyo taasisi, halafu nchi inapokubali misaada na mikopo ya mabeberu ndo inakuja na masharti kama hayo kuziacha hizo taasisi zifanye kazi zake kwa uhuru.
Basi inabidi ikatae na misaada na mikopo ya mabeberu.. au ukisikia nchi inasema tumepata mkopo wenye masharti nafuu huwa huelewi wanamaanisha nini .Kwa hiyo ni bora mamlaka za nchi ziendelee kufumbia macho huu uvunjaji wa sheria ya kukataza utoaji mimba?
Bora unafiki kuliko uuaji.
Aisee. Kwa hiyo hakuna tunachoweza kufanya?Marie Stopes ndo kazi yao inajulikana kwa miaka mingi sana. Na sio Mwanza tu ni kila unapoona bango la Marie Stopes Tanzania nzima. Wana uzoefu wa miaka mingi kwenye huo ushetani wa kutoa mimba. Mwaka 2009 nikiwa chuo niliwahi kupendwa na mdada mmoja alikuwa mkubwa kidogo kwangu sasa kabla hata ya kupeana papuchi akawa analalamika mara kwa mara tumbo linamuuma.. akasema nimsindikize Marie Stopes Sinza Afrikasana... tulipofika ndo niligundua alitoa mimba na kinachomsumbua sababu ni hiyo. Nikakata mawasiliano.