DOKEZO Clinic ya Marie Stopes Mwanza inatoa huduma za utoaji mimba (abortion)

Hili ni dokezo maalum toka kwa mwananchi mtumiaji wa JF mwenye nia ya kuusaidia umma kuwa na taarifa 'maalum'
Acha watoe watajua hawajui karma revolves around.
 
Mkuu wengine hawajui mpangilio wa mzunguko wa siku zao wengine siku hua zinavurugika kwa hio anajikuta tu kamwagiwa Dejan wawili baada ya mwezi kitu kinasoma
Excuses za kitoto sana hizi , kama mtu hataki mimba atafanya kila liwezeknalo asishike ujauzito.. people just don't care wanaona the easy way out ni kutoa mimba...maajabu sana
 
kwa kuwa ni kinyume na sheria za nchi, basi ahsante na mamlaka husika wamekuskia watalishughulikia. Ila sheria ya utoaji mimba serikali inabidi waitazame sana kwa jicho pevu.
Sawa kabisa, wanachotakiwa kufanya ni kushawishi serikali ya Tanzania (kupitia wizara ya afya na wizara ya sheria) waweze kuruhusu abortion nchini, na sio kufanya utoaji mimba kinyume cha sheria.
 
Excuses za kitoto sana hizi , kama mtu hataki mimba atafanya kila liwezeknalo asishike ujauzito.. people just don't care wanaona the easy way out ni kutoa mimba...maajabu sana
Exactly on point.
Mtu anaona ni rahisi zaidi kuchoropoa tu mimba. Hii term ya "mimba isiyotarajiwa" ibaki kwa wale tu ambao wameshika mimba kwa kubakwa, kinyume na hapo aisee hakuna mimba isiyotarajiwa.
 
Suluhisho ni kufumbia macho uvunjaji wa sheria za nchi ambazo zinakataza utoaji wa mimba?
Kwa hiyo unaona ni bora wafe kisa kasikia ukinywa jiki mimba itatoka . We kama unaona huwezi hiyo kazi acha wengine watafanya na sio kuleta unafiki wako hapa.kama unajiamini sio mnafiki wafate hao maboss zako waambie mbona wanavunja sheria za nchi.😏
 
Kwa hiyo ni bora mamlaka za nchi ziendelee kufumbia macho huu uvunjaji wa sheria ya kukataza utoaji mimba?
Bora unafiki kuliko uuaji.
 
Hapana, lengo langu ni kupaza sauti ili angalau mamlaka za nchi zifahamu na zifanye uchunguzi juu ya hili na kuchukua hatua stahiki.
Sasa unafikiri nani asiyejua jua shughuli ya hiyo taasisi, halafu nchi inapokubali misaada na mikopo ya mabeberu ndo inakuja na masharti kama hayo kuziacha hizo taasisi zifanye kazi zake kwa uhuru.
 
Sasa unafikiri nani asiyejua jua shughuli ya hiyo taasisi, halafu nchi inapokubali misaada na mikopo ya mabeberu ndo inakuja na masharti kama hayo kuziacha hizo taasisi zifanye kazi zake kwa uhuru.
Sasa kama ndo hivyo basi kwa nini hao mabeberu kupitia hiyo hiyo misaada wasishawishi nchi ikubali tu sheria ya utoaji mimba? Hiyo si ingekua rahisi zaidi?
 
Marie Stopes ndo kazi yao inajulikana kwa miaka mingi sana. Na sio Mwanza tu ni kila unapoona bango la Marie Stopes Tanzania nzima. Wana uzoefu wa miaka mingi kwenye huo ushetani wa kutoa mimba. Mwaka 2009 nikiwa chuo niliwahi kupendwa na mdada mmoja alikuwa mkubwa kidogo kwangu sasa kabla hata ya kupeana papuchi akawa analalamika mara kwa mara tumbo linamuuma.. akasema nimsindikize Marie Stopes Sinza Afrikasana... tulipofika ndo niligundua alitoa mimba na kinachomsumbua sababu ni hiyo. Nikakata mawasiliano.
 
Hao waliniokoa sana zama za ubaharia, Mungu nisamehe tu maana ingekuwa balaa zito endapo ningeonekana nimemtunisha mwanafunzi 🀣🀣🀣
 
Aisee. Kwa hiyo hakuna tunachoweza kufanya?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…