Clouds Media, kuweni makini na kujiingiza kwenye siasa. Mtasuswa na watanzania!

Clouds Media, kuweni makini na kujiingiza kwenye siasa. Mtasuswa na watanzania!

Response sahihi inaweza isiwe kuwaunfollow bali kwenda kulipia airtime hapohapo na kuusema ukweli/kuziadress tuhuma ili kuweka records sawasawa.

Kukimbia na “kususa” haijawahi kuwa njia sahihi in most cases
No mkuu some time kukaa kimia ni busara tu , hakuna bembeleza hatukua na matangazo yao kwenye kimbunga lissu 2020 ila ilipigwa kampeni siyo ya dunia hii, ni kuacha a nayo Basi tuone tahasis na nguvu ya uma kipi zaidi watu wanaleta propaganda kwenye maisha ya watu , unatumikaje kumdhaliliaha mtu mwenye wafuasi tz zaidi ya m 15 some where unakua na matatizo that's ukaona mh Kinyatta aliona bora kukaa mezani na Ndg laila ili kuleta maridhiano ya kitaifa
Sasa tz wakati serikali tiyari imebaini tatizo hilo ikiwa kwenye juhudi za kufanya tutoke hapa ,leo wanatokea watu with empty mind, nakuanza chochoea mpasuko huo,
Hawa ni Kama wahin katika taifa ,serikali funga iyo studio ,on other hand timua Sabaya Mara moja tz haiwezi jengwa na watu wenye visa, kuangalia vyeo kuliko taifa
Kuna watu walimuona Mwenyekiti taifa vijana ccm hakufanya sawa katika kuomba radhi but on other hand anajitambua,
 
Iko
nadhani ni muda wa kuheshimu mawazo ya watu wengine, CDM wamekua watu wa kutetea uhuru wa vyombo vya habari na uhuru wa kutoa maoni, sasa inakuaje wanatoa povu? mangapi wamemsema sabaya? juzi juzi walisema amekufa mshasahau? pelekeni mty\u akajibu hoja sio kususa. chadema wakue kisiasa , mambo ya kulia lia hayatawasaidia.
Iko hivi binafsi ukiniambia niyaelezee mapungufu ya vyombo hivi hasa awamu waliyokwamia wengi,kwa mwenye kuwa na mtazamo huru,na ambae hakunufaika na mazingira yaliyokuwepo ataona mapungufu makubwa yaliyokuwepo.
 
No mkuu some time kukaa kimia ni busara tu , hakuna bembeleza hatukua na matangazo yao kwenye kimbunga lissu 2020 ila ilipigwa kampeni siyo ya dunia hii, ni kuacha a nayo Basi tuone tahasis na nguvu ya uma kipi zaidi watu wanaleta propaganda kwenye maisha ya watu , unatumikaje kumdhaliliaha mtu mwenye wafuasi tz zaidi ya m 15 some where unakua na matatizo that's ukaona mh Kinyatta aliona bora kukaa mezani na Ndg laila ili kuleta maridhiano ya kitaifa
Sasa tz wakati serikali tiyari imebaini tatizo hilo ikiwa kwenye juhudi za kufanya tutoke hapa ,leo wanatokea watu with empty mind, nakuanza chochoea mpasuko huo,
Hawa ni Kama wahin katika taifa ,serikali funga iyo studio ,on other hand timua Sabaya Mara moja tz haiwezi jengwa na watu wenye visa, kuangalia vyeo kuliko taifa
Kuna watu walimuona Mwenyekiti taifa vijana ccm hakufanya sawa katika kuomba radhi but on other hand anajitambua,
Watalia na kusaga meno,Kama ITV inavyo hangaika kwa sasa,ITV tuliwaambia Kuna maisha baada ya uchaguzi lakini hawakusikia.
 
kumbe uhuru wa vyombo vya habari haukubaliki hata na wao nyumbu[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Sasa si na wewe/niyie muende mkahojiwe hapo....maana kama mmeona ni wazi kuwa mnafuatilia maana mimi sijaangalia coz sifuatilii.
 
Watalia na kusaga meno,Kama ITV inavyo hangaika kwa sasa,ITV tuliwaambia Kuna maisha baada ya uchaguzi lakini hawakusikia.
Mkuu tuna vizazi vya ajabu unaanzaje kushindana na mtu kama Mbowe mwenye wafuasi katika jamii kivile bila kutoona effect yake katika jamii na Taifa,kisa tu hu mwanaccm,mkuu wa wilaya,au mtangazaji, watu wanaweza acha kuzikana KWA propaganda za kipuuzi na tulisha fika uko,
Wasifikili ata umoja wa kitaifa Zanzibar ulikuja KWA watu kupenda bali ni kutokana na Hali mbaya ya kisiasa visiwani ,so why kukumbatia watu wachache katika taifa wanaojali utengano katika taifa badala ya mshikamano kisa kupalilia vyeo vyao na kufukuzia nyazifa za kuteuliwa too bad,alafu wachekewe
 
Watu wamekubali kununuliwa kama kuku wa kitoweo sokoni. Kusaga kafika bei.

kama wamekubali kununuliwa basi upinzani ni dhaifu sana, unajua mataifa makubwa wanavotumia ela nyingi kuwadanganya viongozi wa afrika ili waachie rasilimali? basi nyie ndo hao viongozi
 
Nilishawaonya clouds kuelemea CCM kupitia kipindi Chao Cha Clouds 360 ila naona hawajakoma .

Kusaga akumbuke alianzisha kijifundrise chake cha kipumbavu akihamasisha wenye hela kuchangia kits za COVID19 bila Magufuli kumuonea aibu alimpiga ban kwa kukataza huo upuuzi Tena akamwambia Kuna watu nasikia wameanza kuchangisha michango ya COVID19 hivi Kusaga hajui ameanza kuanguka? Alitumia mbeleko ya kumsifu Ummy Mwalimu, Kusaga kumbuka tuliokuweka hapo juu ni sisi wewe endelea kumsifu mfalme ukasahau ulikotoka

Soma aya ya mwisho Kusaga.

Clouds ni mali ya familia kumbuka ulikabidhiwa wewe toka kwa baba yako mkubwa ambae ndio alibidi apewe clouds wewe ni dogo Sana kwa sababu wewe ni mjukuu mdogo wa mtoto mdogo wa mzee Kusaga yule dogo wa Morogoro baba yake ni mkubwa kwako na Sasa wale watoto wanakuja unajua kwa nini wiki hii dogo kaenda Mbeya....???

Sasa tunakuambia hivi...

Yule mdogo wako anaevuta bangi Mafisa Morogoro na kunywa gongo sasa hivi akili imepevuka anaanza kudai umiliki wa Mali maana hiyo sio Mali yako ni ya familia endelea kufagilia upande mmoja ukaacha wa pili wanasiasa wanapita ....!

sasa inawahuusu vp chadema sasa? yaani watu wengine bana
 
Joseph Kusaga ukitaka kujua kwamba CCM ina wenyewe rudi nyuma miaka zaidi ya 25 iliyopita wakati ule unapiga Disco coco beach ukiwa na DJ Bonny love, ilikuwa ikifika saa 6 balozi Ammy Mpungwe anaagiza polisi kuja kuzima disco lile lilojaza vijana kibao huku wakicheza kwa amani na utulivu, Hawa ndio wenye CCM, katika kundi hilo wewe haumo, maana sisi pamoja na wewe tulikuwa tunaenda kulala baada Mzee Mpungwe kuzima disco, naamini bado hujasahau .

Chadema iliwahi kuwaamuru watanzania kuipuuza TBC na kuanzia hapo mpaka naandika uzi huu TBC imepuuzwa nchi nzima na hata watangazaji wake wakitangaza bila kuvaa nguo hakuna mwananchi atakayeangalia TBC.

Achana na Chadema jikite kwenye weledi, hawa watangazaji wanaokuja ambao hawajui hata clouds ilikotoka watakuponza, kutengeneza brand yaweza kuchukua miaka mingi lakini kuiharibu haichukui hata dk 5, kuwa makini mno!

MAJUTO NI MJUKUU, Usije kusema hatukukuambia .

View attachment 1469134

Ivi unajua mbowe alienda kuomba maridhiano na Tbc?
 
Huu ni uonevu wa hali ya juu Mkuu kama Clouds wanahusika na bank accounts hizo kuwa frozen. Sijawahi kusikia mwajiri akifanya uhuni kama huu kwa Wafanyakazi wake au waliokuwa Wafanyakazi wake. Ngoja tusubiri tusikie yanayojiri kwenye sakata hili.
Noma sana CRDB wamefreeze accounts za staff 17 hatari,naona hadi babe kabaye yumo.
 
Huu ni uonevu wa hali ya juu Mkuu kama Clouds wanahusika na bank accounts hizo kuwa frozen. Sijawahi kusikia mwajiri akifanya uhuni kama huu kwa Wafanyakazi wake au waliokuwa Wafanyakazi wake. Ngoja tusubiri tusikie yanayojiri kwenye sakata hili.
Inasikitisha sana.
 
  • Nzuri
Reactions: BAK
Erythrocyte, TBC ndio nambari 1 kwa sasa, usifanya chuki zako dhidi ya CCM kuwa issue ya Taifa. Upinzani hauna maana tena
Naona dijaro arungu unaitetea ofisi yako
Mimi Tbc Mara ya mwisho kuiangalia na kusikiliza ilikua mwaka 2008
 
Back
Top Bottom