Clouds Media, kuweni makini na kujiingiza kwenye siasa. Mtasuswa na watanzania!

Clouds Media, kuweni makini na kujiingiza kwenye siasa. Mtasuswa na watanzania!

Response sahihi inaweza isiwe kuwaunfollow bali kwenda kulipia airtime hapohapo na kuusema ukweli/kuziadress tuhuma ili kuweka records sawasawa.

Kukimbia na “kususa” haijawahi kuwa njia sahihi in most cases
 
Hawa ni miongoni mwa waliokwamia bado awamu iliyopita,walikuwepo na wengine,ilifika mahali pindi walipoungana na redio washirika wakisikia habari isiyoipendeza awamu ile hata kama ni kwa maslahi ya taifa,walikuwa tayari kukatiza habari hiyo Hadi iishe.Ndio mambo hayo ya clouds na wengine bado.Nawakumbusha tuu,hii ni awamu ya sita.
 
Clouds ilikuwa ya Ruge mutahaba hii iliyopo ni TBC iliyochangamka ujinga mtupu nilisha acha kutazama na kuisikiliza tangu awamu ya nne ilipomaliza muda wake!!!
Mie niliacha kuitazama walipo mpa Waitara airtime ya kuitukana Chadema
 
Sababu kuitwa Sabaya tu au kuna lingine, wafuasi wa chadema WAPUMBAVU sana.

Na huyu Askofu ndumi la kuwili anatafuta umaarufu kilazima.

Mna VOW uhuru na haki za vyombo vya habari huku mnawapangia wageni wakuwahita na kuhoji....Kwaiyo mnataka ahojiwe Mbowe?
 
Nimeshafuta chaneli zao familia nzima hawatawaona wala kuwasikia.
 
nadhani ni muda wa kuheshimu mawazo ya watu wengine, CDM wamekua watu wa kutetea uhuru wa vyombo vya habari na uhuru wa kutoa maoni, sasa inakuaje wanatoa povu? mangapi wamemsema sabaya? juzi juzi walisema amekufa mshasahau? pelekeni mty\u akajibu hoja sio kususa. chadema wakue kisiasa , mambo ya kulia lia hayatawasaidia.
 
Mi nolishaachana na tv mawingu muda kitambo,chombo gani Cha habari kinapiga propaganda?!.
 
Sababu kuitwa Sabaya tu au kuna lingine, wafuasi wa chadema WAPUMBAVU sana.

Na huyu Askofu ndumi la kuwili anatafuta umaarufu kilazima.

Mna VOW uhuru na haki za vyombo vya habari huku mnawapangia wageni wakuwahita na kuhoji....Kwaiyo mnataka ahojiwe Mbowe?
Hao ni makada na washirika wa kijani wa awamu iliyopita,na hawakuupenda uhuru wa habari pamoja na kuwa habari ndio inawaweka mjini na kuwalisha.ushauri wa bure wasiiendelee kukwamia awamu iliyotangulia waingie swami mpya,yenye uhuru wa habari na isiyo na ukanda,itikadi wala ukabila hiyo ita waleta wantanzania pamoja na kurejesha umoja wa kitaifa.
 
Back
Top Bottom