Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 128,308
- 245,426
- Thread starter
- #141
Ungejaribu kuuliza voda kwenyewe nadhani ungepata majibu murua sana .Vipi na ile kampeni yenu ya kuvunja laini za Vodacom iliishia wapi. ?! Bwa shee
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ungejaribu kuuliza voda kwenyewe nadhani ungepata majibu murua sana .Vipi na ile kampeni yenu ya kuvunja laini za Vodacom iliishia wapi. ?! Bwa shee
unajua gharama za hospitali za sasa ?Chadema sasa hivi mmebakia na wivutu hamna Sera tena. Sera ni chuki na kupinga kila kitu.View attachment 1499520
Teuzi zinakupita mzee nenda kaoge ziwa ndigalaKama wewe ulivyoteuliwa na Mbowe kuvuruga watu mitandaoni,safarii sijakuona ukitia nia ubunge wa kyela
Kwi Kwi KwiTeuzi zinakupita mzee nenda kaoge ziwa ndigala
Ova
Una wivu mbaya!!!Wavurugaji wanateuliwa kupitia mgongo wako
umesoma uzi ukaelewa ?Una wivu mbaya!!!
Aiseeee !!!Joseph Kusaga ukitaka kujua kwamba CCM ina wenyewe rudi nyuma miaka zaidi ya 25 iliyopita wakati ule unapiga Disco coco beach ukiwa na DJ Bonny love, ilikuwa ikifika saa 6 balozi Ammy Mpungwe anaagiza polisi kuja kuzima disco lile lilojaza vijana kibao huku wakicheza kwa amani na utulivu, Hawa ndio wenye CCM, katika kundi hilo wewe haumo, maana sisi pamoja na wewe tulikuwa tunaenda kulala baada Mzee Mpungwe kuzima disco, naamini bado hujasahau .
Chadema iliwahi kuwaamuru watanzania kuipuuza TBC na kuanzia hapo mpaka naandika uzi huu TBC imepuuzwa nchi nzima na hata watangazaji wake wakitangaza bila kuvaa nguo hakuna mwananchi atakayeangalia TBC.
Achana na Chadema jikite kwenye weledi, hawa watangazaji wanaokuja ambao hawajui hata clouds ilikotoka watakuponza, kutengeneza brand yaweza kuchukua miaka mingi lakini kuiharibu haichukui hata dk 5, kuwa makini mno!
MAJUTO NI MJUKUU, Usije kusema hatukukuambia .
View attachment 1469134
Tunaendelea kuonyaWatu wamekubali kununuliwa kama kuku wa kitoweo sokoni. Kusaga kafika bei.
Wanao chukia na chadema tu. Wengine wapo sana tu. Mbona wanatafuta wakina JJ na Mch Msingwa awapatikani. Mbowe anakimbia. Anataka wafuate nyumbani kwake. Na anatafuta tuJoseph Kusaga ukitaka kujua kwamba CCM ina wenyewe rudi nyuma miaka zaidi ya 25 iliyopita wakati ule unapiga Disco coco beach ukiwa na DJ Bonny love, ilikuwa ikifika saa 6 balozi Ammy Mpungwe anaagiza polisi kuja kuzima disco lile lilojaza vijana kibao huku wakicheza kwa amani na utulivu, Hawa ndio wenye CCM, katika kundi hilo wewe haumo, maana sisi pamoja na wewe tulikuwa tunaenda kulala baada Mzee Mpungwe kuzima disco, naamini bado hujasahau .
Chadema iliwahi kuwaamuru watanzania kuipuuza TBC na kuanzia hapo mpaka naandika uzi huu TBC imepuuzwa nchi nzima na hata watangazaji wake wakitangaza bila kuvaa nguo hakuna mwananchi atakayeangalia TBC.
Achana na Chadema jikite kwenye weledi, hawa watangazaji wanaokuja ambao hawajui hata clouds ilikotoka watakuponza, kutengeneza brand yaweza kuchukua miaka mingi lakini kuiharibu haichukui hata dk 5, kuwa makini mno!
MAJUTO NI MJUKUU, Usije kusema hatukukuambia .
View attachment 1469134
huelewekiWanao chukia na chadema tu. Wengine wapo sana tu. Mbona wanatafuta wakina JJ na Mch Msingwa awapatikani. Mbowe anakimbia. Anataka wafuate nyumbani kwake. Na anatafuta tu
Ruge ndio hakuwa CCM au nawe unademka?Na ndiyo maana wanademka wakiwa live ili kuwinda nafasi za uteuzi.
R.I.P Ruge.
Kija,Mwijaku,Issa nk.Acha uongo nan kagombea na Jimbo gani eti karibi wote Paul James aligombea Jimbo gani.sasali je Barbra je
Nazungumzia Ruge na professionalism eneo la kazi, kuhusu chama chake hadi kuku anajua alikua ccm.Ruge ndio hakuwa CCM au nawe unademka?