Clouds Media, kuweni makini na kujiingiza kwenye siasa. Mtasuswa na watanzania!

Clouds Media, kuweni makini na kujiingiza kwenye siasa. Mtasuswa na watanzania!

Joseph Kusaga ukitaka kujua kwamba CCM ina wenyewe rudi nyuma miaka zaidi ya 25 iliyopita wakati ule unapiga Disco coco beach ukiwa na DJ Bonny love, ilikuwa ikifika saa 6 balozi Ammy Mpungwe anaagiza polisi kuja kuzima disco lile lilojaza vijana kibao huku wakicheza kwa amani na utulivu, Hawa ndio wenye CCM, katika kundi hilo wewe haumo, maana sisi pamoja na wewe tulikuwa tunaenda kulala baada Mzee Mpungwe kuzima disco, naamini bado hujasahau .

Chadema iliwahi kuwaamuru watanzania kuipuuza TBC na kuanzia hapo mpaka naandika uzi huu TBC imepuuzwa nchi nzima na hata watangazaji wake wakitangaza bila kuvaa nguo hakuna mwananchi atakayeangalia TBC.

Achana na Chadema jikite kwenye weledi, hawa watangazaji wanaokuja ambao hawajui hata clouds ilikotoka watakuponza, kutengeneza brand yaweza kuchukua miaka mingi lakini kuiharibu haichukui hata dk 5, kuwa makini mno!

MAJUTO NI MJUKUU, Usije kusema hatukukuambia .

View attachment 1469134
Aiseeee !!!
 
Kukaa na kumjadili mtu ambae hakusanyi kodi zako na kuzitumia huo ni zaidi ya upumbavu
 
Joseph Kusaga ukitaka kujua kwamba CCM ina wenyewe rudi nyuma miaka zaidi ya 25 iliyopita wakati ule unapiga Disco coco beach ukiwa na DJ Bonny love, ilikuwa ikifika saa 6 balozi Ammy Mpungwe anaagiza polisi kuja kuzima disco lile lilojaza vijana kibao huku wakicheza kwa amani na utulivu, Hawa ndio wenye CCM, katika kundi hilo wewe haumo, maana sisi pamoja na wewe tulikuwa tunaenda kulala baada Mzee Mpungwe kuzima disco, naamini bado hujasahau .

Chadema iliwahi kuwaamuru watanzania kuipuuza TBC na kuanzia hapo mpaka naandika uzi huu TBC imepuuzwa nchi nzima na hata watangazaji wake wakitangaza bila kuvaa nguo hakuna mwananchi atakayeangalia TBC.

Achana na Chadema jikite kwenye weledi, hawa watangazaji wanaokuja ambao hawajui hata clouds ilikotoka watakuponza, kutengeneza brand yaweza kuchukua miaka mingi lakini kuiharibu haichukui hata dk 5, kuwa makini mno!

MAJUTO NI MJUKUU, Usije kusema hatukukuambia .

View attachment 1469134
Wanao chukia na chadema tu. Wengine wapo sana tu. Mbona wanatafuta wakina JJ na Mch Msingwa awapatikani. Mbowe anakimbia. Anataka wafuate nyumbani kwake. Na anatafuta tu
 
Watangazaji wa Clouds karibia wote ni wanaccm na waligombea ubunge na udiwani lakini walifelishwa na wajumbe kwenye kura za maoni

Ni Masoud Kipanya pekee ndio hakuchukua fomu.

Hivyo ni sahihi kabisa kwa Clouds media kualika makada wa CCM kwenye vipindi vyao na kuwatosa wale wa Chadema.

Kazi Iendelee!
 
Acha uongo nan kagombea na Jimbo gani eti karibi wote Paul James aligombea Jimbo gani.sasali je Barbra je
 
Back
Top Bottom