Hamna sababu ya kumfukuza Mgunda bwana wewe....draw sio mbaya ugenini. Tuwe na subira jameni.Mrudishene Mdhunguu mweuthi kwao Udigoni😄
In Mgunda we trust
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hamna sababu ya kumfukuza Mgunda bwana wewe....draw sio mbaya ugenini. Tuwe na subira jameni.Mrudishene Mdhunguu mweuthi kwao Udigoni😄
Ni kweliMungu ni wa Yanga pia! Angalizo: Kumbukeni kumpa Mungu utukufu.
Mwamba wewe ni Simba lakini unaujua mpira..Wanyasa sio wazuri walikuwa wabovu kiasi yani wale Zalan waongezeke kidogo
Mwanachama wa simba?Haji Sunday Manara
Tupoooooo........Yangaaaaa...Yanga ndio tunaamka mida hii
Yanga tujuane tafadhali!
Tena Zamalek ndo alikuwa bingwa mteteziSimba alimtoa Zamalek kwake......
Word cup ni ninimkuu kumpiga mwarabu kwake hakuna timu kutoka tz kuwahi kufanya tena kwenye aridhi ya kwake ni yanga africans pekee historia jana imeandikwaaa
kumbuka jamaa wanaenda word cup
Simba alifungwa na zamalek 1-0Simba alimtoa Zamalek kwake......
Kwa penaltySimba alimtoa Zamalek kwake......
Hahaha mkuu ilo neno ndo limekuuma roho?Word cup ni nini
Simba alimtoa zamalek kwake
Yaani furaha imezidi mpaka unaandika ujinga
Simba ilifungwa na Zamalek wakaenda kwenye penalties Kaseja akaibeba timu, Simba walivyorudi Dar mji ulisimama hayo mapokezi yake na hapo ilikuwa wanaingia round ya Pili na wala siyo makundi.Simba alimtoa Zamalek kwake......
Simba mnatimu mbovu ubishi tuHujui kitu
Ngoja tukukumbushe, Simba ilifungwa goli moja bila na Zamalek mkaenda kwenye penati Kaseja akaibeba timu.Word cup ni nini
Simba alimtoa zamalek kwake
Yaani furaha imezidi mpaka unaandika ujinga
Dogo unajifanya unajua sana mpira lakini kumbe we ni mweupe sana...unaongea vapour sana. kachambue singeli labda ndo unachoweza lakin mpira bado sanaSoap alikupigeni Hattrick lakini haiwezi kuwa big story kuwa ni mchezaji bora wakumuundia tume
Azizi Ki ni mchezaji wakawaida sana na hili nalisema leo ikiwa kafunga goli, kwasababu performance na kufunga goli ni vitu viwili tofauti
Utofauti wa nyie na mimi ni kwamba nyie mnahesabu goli kama performance
Uliamua kujusaidia kutumia mdomo[emoji23][emoji23][emoji23] so chakula utatumia njia ya haja kubwa?Wazee wa historia[emoji23]
Akili Yako Haina Akili ww
Mbona tunafahamu, huu utaratibu wa kila mtu kutoa positive thoughts kwa mchezaji baada ya kupata ushindi ni kawaida sanaDogo unajifanya unajua sana mpira lakini kumbe we ni mweupe sana...unaongea vapour sana. kachambue singeli labda ndo unachoweza lakin mpira bado sana
Jana singida kawainamisha , mkainama akashindilia hogo[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] mkakukuruka kulichomoa wee likachoka na mavi just[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]mamaeeeSasa ndio muache kuliita kombe la LOOSER.....sio mnashangilia Simba akitoboa mnaliita kombe la LOOSER.......
Btw.
Huko ndio kunakowafaa Kwa watoto wenzenu......
Kapewa bahasha?Ila kile kigoli cha Azuza ni cha kuotea nimekiangaliaa nikasema hiiiii huyu kipa naeee