Code alizonipa mzungu zimenisaidia kuona mwanga wa mafanikio yangu na familia yangu hapo baadaye

Code alizonipa mzungu zimenisaidia kuona mwanga wa mafanikio yangu na familia yangu hapo baadaye

Idea mbaya sana mkuu imejaa kichwani mwa watz wengi hii inachangia jamii kuendelea kuwa na tegemezi wengi na lindi la umaskini
Yah kweli mkuu, mawazo ya aina hii ndo yamesababisha watoto wa mitaani kuongezeka.

Kwa sababu wengi wanazaliwa na kukosa malezi ya wazazi.
 
Hongera sana kwa kupata code za kulea watoto
Ila ukumbuke pia yafuatayo ambayo hajakuambia;
1. Mtoto wa Kizungu mzazi wake hawezi kumchapa na ukimchapa anakuitia Police (Anapiga 911)
2. ,Mtoto akifikisha miaka 18 anarusiwa kuwa na Girl friend/boy friend, kuvuta sigara na hata kunywa pombe
3. Mtoto wa kizungu ana andaliwa kujitegemea yeye na mke/mume wake pekee hakuna mambo ya extended family; na maanisha Mzazi akizeeeka anapelekwa nyumba ya wazee, na hakuna ndugu sijui mjomba nk kusumbua kuomba chochote nk
4. mtoto akishafikisha miaka 18 huna madaraka naye tena zaidi ya kumlipia ada huku akijivinjari na boy/girl friend wake nyumbani kwako

Ninachomaanisha ni kuwa
1. wanamambo mazuri hasa utaratibu wa Elimu yao wa kutambua Vipaji na kuviendeleza
Na kusomesha masomo machache ili mtu ayaelewe vizuri sio huku kwetu katoto ka darasa la nne kamebeba bagi zima la vitabu na madaftari
2. Utaratibu wa kumfungulia account mtoto pia ni mzuri kwani wakati anafika Sekondari walau una ada ya kumsomesha nk
3. Elimu yao humjengea mtoto Kujiamini na sio nidhamu ya woga kama Elimu ya huku kwetu, ambapo unaweza kukuta Mtu ana elimu ya juu kabisa ila anashindwa kusimamia ukweli kwa sabau ya woga

ILA kwa upande wa malezi KWA UJUMLA kuna namna wana BORONGA!
Mkuu hilo la malezi nalifahamu na nimeshaliongelea kwenye namba 2.

Ukisoma kwa kutulia hiyo namb 2 utaelewa nilichomaanisha.

I mean yah ni kweli mtoto wa kizungu hauwezi kumpiga hovyo hovyo, na akifikisha umri fulan hauwezi kumpangia nini cha kufanya. Lkn uhuru huo wenzetu wanautumia vizuri ukilinganisha na sisi ambao tunajifanya hatuna uhuru huo kwa watoto wetu.

Ukichunguza aina ya tabia na heshima walizonazo watoto wa kizungu kwa wazazi wao na zile walizonazo waafrika kwa wazazi wao utaona utofauti mkubwa.

Mara ngapi tumekuwa tukisikia mtoto wa ki afrika au kitanzania kampiga, kamtukana au kamuuwa baba yake, mama yake nk. Kitu ambacho ni nadra sana kukisikia kwa watoto wa kizungu.

Kwanza hiyo sheria ya mtoto kumshitaki mzazi ingewekwa bongo leo hii kungekuwa na wazazi kibao jela wamefungwa kwa kesi za kuwachapa au kuwafokea watoto wao.

Waafrika sisi sio mkuu.
 
Habari zenu wana JF wenzangu,

Kwanza nianze kusema kwamba mimi ni miongoni mwa watanzania waliozaliwa katika familia ya maisha ya kati, sio familia tajiri wala masikini.

Pilika pilika za hapa na pale, zilinifanya nihamishie maisha yangu Kaburu ili kuweka mambo fulan sawa. Nikiwa Kaburu nimejikuta nafanya kazi na watu tofauti tofauti kutoka nchi na mabara tofauti.

Mwaka 2014 nikiwa nafanya kazi katika restaurant ya Spar (ambayo hata bongo ipo) kuna sister fulan wa kizungu alitokea kuwa rafiki yangu wa karibu (sio kiuhusiano wa mapenzi). Yule mzungu tulizoeana sana kiasi kwamba tukawa tunapeana uzoefu mbali mbali wa kimaisha, mimi nilikuwa najaribu kumchimba ili kujua ni kwanini watu wengi weupe hasa wazungu ni matajiri ukilinganisha na sisi waafrika weusi, pia na yeye alikuwa akijaribu kudodosa inakuaje waafrika wengi (weusi) ni masikini japo kuna baadhi unakuta wametokea katika familia za watu matajiri.

Sasa katika kumchimba chimba ndo siku 1 akanipa code ya mafanikio yao kimaisha, japo code hii kwa ndugu zangu wabongo ni vigumu sana kuizingatia.

Code hiyo aliyonipa ina vipengele vitano navyo ni 👇

1) MAANDALIZI:
Wenzetu huanza maandalizi ya kumuandalia mtoto maisha toka akiwa tumboni. Yani mke na mume wanapogundua kwamba katika nyumba yao kuna kijacho kinatarajia kuja baada ya mke kushika mimba, huanza maandalizi mapema ya kumtengenezea maisha kwa kuanza kuandaa mazingira ya kumfungulia mtoto ajae account yake ya bank. Hapa katika kumfungulia mtoto account ya bank kuna mawili, kuna wale ambao hufungua na kuanza kuweka hela katika account hiyo kabla mtoto hajazaliwa, na kuna wale ambao hufungua na kuanza kuweka hela baada tu ya mtoto kuzaliwa.

Na kwa vile wenzetu wamejiandaa mapema ambapo unakuta baba na mama wote wana kazi, basi account hii huanza kuwekewa pesa na wazazi wote wawili kila mwisho wa mwezi. Zoezi hili huendelea mpaka pale mtoto anapofikisha umri wa miaka 18, japo kuna baadhi wenye pesa zao huendelea mpaka pale mtoto atapokuwa na familia yake nk.

Sasa chukulia baba na mama wawe wanaweka elfu hamsini hamsini kwa kila mwezi, ina maana elfu hamsini hamsini kwa watu wawili ni laki moja, laki 1 kwa miezi 12 (mwaka) ni sawa na milioni 1 na laki 2. Hiyo milioni 1 na laki 2 ukiifanya mara 18 inakuwa milioni ishirini na moja na laki 6 (huu ni mfano tu) maana wao huweka zaidi ya hizo.

2) MALEZI:
Wenzetu pamoja na kwamba watoto wana uhuru wa kuamua jambo, lkn linapokuja swala la malezi huwa makini sana ili kuhakikisha mtoto haendi nje ya matarajio yao, na kuacha kufuata utaratibu wao.

Huu ni utaratibu ambao wameshajiwekea vizazi na vizazi, kwahiyo wazazi hufanya kila wawezalo ili kuhakikisha mtoto wao anakuwa kwenye mazingira bora na yenye kueleweka kwa faida yake na familia yake hapo baadae. Ni vigumu kwa mzungu kwenda kulewa na kurudi nyumban kulala bila kujua mtoto ameshinda wapi, na nani, amekula au hakula, anaumwa au haumwi nk.

3) ELIMU:
Wenzetu hulipa kipaumbele sana swala la elimu, tena huwa wanampa mtoto uhuru wa kuchagua kile anachopenda kusomea. Mfano mtoto anaonesha kupenda kuwa pilot wa ndege, basi wazazi wataelekeza nguvu zaidi katika hilo na ikiwezekana watampeleka katika shule ya kusomea mambo ya ndege bado mapema, waswahili tunasema 'samaki mkunje angali m'bichi', so mpaka atakapokuja kukuwa atakuwa ashafika mbali kwa kile anachojifunza.

4) USIMAMIAJI NA SUPPORT:
Mtoto anapokuwa ashakuwa na tayari ana elimu yake fulan, basi wazazi, ndugu, serikali nk vitamsimamia huyu kupata kazi kutokana na kile alichosomea. Supporter yao huwa ni kubwa na hawapumziki hadi wahakikishe lengo lao limetimia. Na alietafutiwa kazi akianza kazi huwa ni kazi kweli kweli, hakuna muda wa kukaa kwenye vikorido vya ofisi kupiga porojo mbali mbali zisizokuwa na msingi wala faida kwake.

Lakini jambo zuri kwake ni kwamba huanza kazi huku akiwa tayari ana account yake toka utotoni. Accont hiyo tayari ina zaidi ya milioni 20, so atachofanya ni kujazia zingine atazoanza kupokea kwenye mshahara wake.

5) MUENDELEZO:
Mtoto huyu au kijana huyu akishafika hapo alipofika, na yeye hufanya muendelezo kwa kizazi chake, ili kuepusha kuwa kuwa na watoto tegemezi katika familia yao/ zao.

ANGALIZO hapo chini 👇

Sasa basi, wazungu nao kama walivyo binadam wengine, na wao wana mapungufu yao. Nikimaanisha kuwa wapo wazungu ambao hawafuati hizi code kama wenzao, au wapo waliojaribu kufuata ila vizazi vyao vika fail katika hilo na kudumbukia katika umasikini, uteja, ulevi nk. Ila majority 85% ya wazungu wanaishi kwa kufuata huu mfumo wa code na unawanufaisha vizuri bila kwenda kwa shehe, mchungaji, mganga wala mtabiri.

Mimi nilipoowa na mke wangu kuzaa mtoto wa kwanza nilianza kuzifuata hizi code, nilipozaa wa pili pia nimeendelea kuzifuata hizi code tena tukishirikiana na mke wangu ambae na yeye anafanya kazi.

Japo ni changamoto kubwa kufanya mambo mengi kwa pamoja, kama vile kulipa kodi ya nyumba kila mwezi, kuwalipia watoto ada za shule kila mwezi, kununua stock ya chakula kila mwezi, kufanya shopping kila mwezi nk.

Lakini nina amini hii ndio njia bora ya kuwataharishia maisha yaliobora hapo baadae, na elimu hii nimekuwa nikiitoa kwa baadhi ya marafiki zangu, so its up to them eidha kufuata au kutofuata.

Najua kwa ndugu zetu wabongo walio wengi hii inaweza kuwa changamoto kubwa kwao, lkn kama una uwezo na nafasi ya kufanya hivi just do it now, ili uje kuokoa vizazi na vizazi vyako vitakavyokuja baada yako, sio uendekeze ulevi na kamari.

Asanteni sana.
Japo umeongea kweli mtupu lakini hizi code kwa bongo haziwezekani.
 
Hilo suala la kuwekea watoto hela kwenye account sio wote wanaofanya hivyo na ndio sababu ya kupelekea umasikini wa kutupa kwa baadhi ya wazungu ingawa wanazaa watoto 2 tu au mmoja

Tatizo hili hata serikali ililiona na wakaamua watoto wote waliozaliwa 1/09/2002 wafunguliwe account na serikali ikatoa £250 kwa kila mtoto

Kwa hiyo wazazi wanachangia pia kila mwezi kwa hiari yao mpaka 18

Kusaidia watoto mataifa mengi wanafanya ila hata Africa wapo ila sio wengi

Hata Asians wanawasaidia sana watoto wao na kuwaonyesha njia

Waswahili ni tofauti kabisa kwani asilimia kubwa wanaamini wamefeli maisha kabla ya kujaribu

Hawana confidence na wanaona watoto kama ni adui tu wala hawaongei nao na kuwafundisha hali halisi ya maisha
 
Habari zenu wana JF wenzangu,

Kwanza nianze kusema kwamba mimi ni miongoni mwa watanzania waliozaliwa katika familia ya maisha ya kati, sio familia tajiri wala masikini.

Pilika pilika za hapa na pale, zilinifanya nihamishie maisha yangu Kaburu ili kuweka mambo fulan sawa. Nikiwa Kaburu nimejikuta nafanya kazi na watu tofauti tofauti kutoka nchi na mabara tofauti.

Mwaka 2014 nikiwa nafanya kazi katika restaurant ya Spar (ambayo hata bongo ipo) kuna sister fulan wa kizungu alitokea kuwa rafiki yangu wa karibu (sio kiuhusiano wa mapenzi). Yule mzungu tulizoeana sana kiasi kwamba tukawa tunapeana uzoefu mbali mbali wa kimaisha, mimi nilikuwa najaribu kumchimba ili kujua ni kwanini watu wengi weupe hasa wazungu ni matajiri ukilinganisha na sisi waafrika weusi, pia na yeye alikuwa akijaribu kudodosa inakuaje waafrika wengi (weusi) ni masikini japo kuna baadhi unakuta wametokea katika familia za watu matajiri.

Sasa katika kumchimba chimba ndo siku 1 akanipa code ya mafanikio yao kimaisha, japo code hii kwa ndugu zangu wabongo ni vigumu sana kuizingatia.

Code hiyo aliyonipa ina vipengele vitano navyo ni [emoji116]

1) MAANDALIZI:
Wenzetu huanza maandalizi ya kumuandalia mtoto maisha toka akiwa tumboni. Yani mke na mume wanapogundua kwamba katika nyumba yao kuna kijacho kinatarajia kuja baada ya mke kushika mimba, huanza maandalizi mapema ya kumtengenezea maisha kwa kuanza kuandaa mazingira ya kumfungulia mtoto ajae account yake ya bank. Hapa katika kumfungulia mtoto account ya bank kuna mawili, kuna wale ambao hufungua na kuanza kuweka hela katika account hiyo kabla mtoto hajazaliwa, na kuna wale ambao hufungua na kuanza kuweka hela baada tu ya mtoto kuzaliwa.

Na kwa vile wenzetu wamejiandaa mapema ambapo unakuta baba na mama wote wana kazi, basi account hii huanza kuwekewa pesa na wazazi wote wawili kila mwisho wa mwezi. Zoezi hili huendelea mpaka pale mtoto anapofikisha umri wa miaka 18, japo kuna baadhi wenye pesa zao huendelea mpaka pale mtoto atapokuwa na familia yake nk.

Sasa chukulia baba na mama wawe wanaweka elfu hamsini hamsini kwa kila mwezi, ina maana elfu hamsini hamsini kwa watu wawili ni laki moja, laki 1 kwa miezi 12 (mwaka) ni sawa na milioni 1 na laki 2. Hiyo milioni 1 na laki 2 ukiifanya mara 18 inakuwa milioni ishirini na moja na laki 6 (huu ni mfano tu) maana wao huweka zaidi ya hizo.

2) MALEZI:
Wenzetu pamoja na kwamba watoto wana uhuru wa kuamua jambo, lkn linapokuja swala la malezi huwa makini sana ili kuhakikisha mtoto haendi nje ya matarajio yao, na kuacha kufuata utaratibu wao.

Huu ni utaratibu ambao wameshajiwekea vizazi na vizazi, kwahiyo wazazi hufanya kila wawezalo ili kuhakikisha mtoto wao anakuwa kwenye mazingira bora na yenye kueleweka kwa faida yake na familia yake hapo baadae. Ni vigumu kwa mzungu kwenda kulewa na kurudi nyumban kulala bila kujua mtoto ameshinda wapi, na nani, amekula au hakula, anaumwa au haumwi nk.

3) ELIMU:
Wenzetu hulipa kipaumbele sana swala la elimu, tena huwa wanampa mtoto uhuru wa kuchagua kile anachopenda kusomea. Mfano mtoto anaonesha kupenda kuwa pilot wa ndege, basi wazazi wataelekeza nguvu zaidi katika hilo na ikiwezekana watampeleka katika shule ya kusomea mambo ya ndege bado mapema, waswahili tunasema 'samaki mkunje angali m'bichi', so mpaka atakapokuja kukuwa atakuwa ashafika mbali kwa kile anachojifunza.

4) USIMAMIAJI NA SUPPORT:
Mtoto anapokuwa ashakuwa na tayari ana elimu yake fulan, basi wazazi, ndugu, serikali nk vitamsimamia huyu kupata kazi kutokana na kile alichosomea. Supporter yao huwa ni kubwa na hawapumziki hadi wahakikishe lengo lao limetimia. Na alietafutiwa kazi akianza kazi huwa ni kazi kweli kweli, hakuna muda wa kukaa kwenye vikorido vya ofisi kupiga porojo mbali mbali zisizokuwa na msingi wala faida kwake.

Lakini jambo zuri kwake ni kwamba huanza kazi huku akiwa tayari ana account yake toka utotoni. Accont hiyo tayari ina zaidi ya milioni 20, so atachofanya ni kujazia zingine atazoanza kupokea kwenye mshahara wake.

5) MUENDELEZO:
Mtoto huyu au kijana huyu akishafika hapo alipofika, na yeye hufanya muendelezo kwa kizazi chake, ili kuepusha kuwa kuwa na watoto tegemezi katika familia yao/ zao.

ANGALIZO hapo chini [emoji116]

Sasa basi, wazungu nao kama walivyo binadam wengine, na wao wana mapungufu yao. Nikimaanisha kuwa wapo wazungu ambao hawafuati hizi code kama wenzao, au wapo waliojaribu kufuata ila vizazi vyao vika fail katika hilo na kudumbukia katika umasikini, uteja, ulevi nk. Ila majority 85% ya wazungu wanaishi kwa kufuata huu mfumo wa code na unawanufaisha vizuri bila kwenda kwa shehe, mchungaji, mganga wala mtabiri.

Mimi nilipoowa na mke wangu kuzaa mtoto wa kwanza nilianza kuzifuata hizi code, nilipozaa wa pili pia nimeendelea kuzifuata hizi code tena tukishirikiana na mke wangu ambae na yeye anafanya kazi.

Japo ni changamoto kubwa kufanya mambo mengi kwa pamoja, kama vile kulipa kodi ya nyumba kila mwezi, kuwalipia watoto ada za shule kila mwezi, kununua stock ya chakula kila mwezi, kufanya shopping kila mwezi nk.

Lakini nina amini hii ndio njia bora ya kuwataharishia maisha yaliobora hapo baadae, na elimu hii nimekuwa nikiitoa kwa baadhi ya marafiki zangu, so its up to them eidha kufuata au kutofuata.

Najua kwa ndugu zetu wabongo walio wengi hii inaweza kuwa changamoto kubwa kwao, lkn kama una uwezo na nafasi ya kufanya hivi just do it now, ili uje kuokoa vizazi na vizazi vyako vitakavyokuja baada yako, sio uendekeze ulevi na kamari.

Asanteni sana.
Spar?? au Spur?
 
Yan Africa Kwa kudanganywa na mabeberu Yan hivo Vitu alivokwambia ndo unaviamin sjui Kwa nn tunaamin Sana ngoz nyeupe
 
Hilo suala la kuwekea watoto hela kwenye account sio wote wanaofanya hivyo na ndio sababu ya kupelekea umasikini wa kutupa kwa baadhi ya wazungu ingawa wanazaa watoto 2 tu au mmoja

Tatizo hili hata serikali ililiona na wakaamua watoto wote waliozaliwa 1/09/2002 wafunguliwe account na serikali ikatoa £250 kwa kila mtoto

Kwa hiyo wazazi wanachangia pia kila mwezi kwa hiari yao mpaka 18

Kusaidia watoto mataifa mengi wanafanya ila hata Africa wapo ila sio wengi

Hata Asians wanawasaidia sana watoto wao na kuwaonyesha njia

Waswahili ni tofauti kabisa kwani asilimia kubwa wanaamini wamefeli maisha kabla ya kujaribu

Hawana confidence na wanaona watoto kama ni adui tu wala hawaongei nao na kuwafundisha hali halisi ya maisha
Mengi uliyoongea hapa ni kweli mkuu, hasa kuhusu sisi waafrika.
 
Ni ujinga sana kuzaa bila kuandaa mazingira bora kwa ustawi wa maisha ya huyo mtoto anayezaliwa
Kweli mkuu sema wazee wa kiswahili wengi hawana muda wa kufikiria swala la malezi ya watoto.
Wao wanaamini mtoto hata asipokula au kusoma atakuwa tu na ataishi vizuri kutokana na riziki anayozaliwa nayo.
 
Usilaumu sana wazazi,inawezekana walichokupa,ndio walichokuwa nacho,
Maisha ya kibongo ni magumu sana,baba Mwalimu,mama polisi,mshahara haufiki 700K,unafikiri wataweza kukuandalia hayo yote?
Cha muhimu,ukifanikiwa kutoboa,for hook or crook,legal or illegal,weka bima ya maisha,wekeza kwa ajiri ya uzao wako,wapo wazazi wanafanya hii,unaoa,au kuolewa,Mzazi anakukabidhi nyumba hata kama haijaisha,uishi,au umalizie uishi,ufsnyie biashara maisha yaende,
Huku kwetu tuna Siasa za hovyo,mifuko ya hifadhi ya jamii,na bima ya afya ilibidi iwe kimbilio la maskini na wananchi,lakini serikali hii ya kijambazi imefilisi mifuko yote
Ni kweli aisee , unakuta mzazi anafariki anaacha watoto helpless wanaishia kuwa mapanya road malezi zero ,elimu zero taflani tupu .
Wenzetu wana life insurance policy huko kwenye mashirika yao ya bima ,siku mtu ukitoka duniani hata walionyuma wanapata vibunda vya kutosha kama back up .

Haya ndio maisha bora sasa ,sio mtu anafanya kazi miaka 40+ anastaafu na kufariki hata vimafao kiduchu anavyodai anadhulumiwa na serikali , ni ujinga kabisa
 
Mengi uliyoongea hapa ni kweli mkuu, hasa kuhusu sisi waafrika.
Mzazi anakuwa adui na mtoto
Yaani mtoto akimuona baba anakimbia
Huku nako kuna kina mama wana roho mbaya kuliko shetani
Yaani mtoto anakua hajui maisha yanaendaje kutwa atalalamika sijui aanzie wapi maskini

Nawapa pole sana waliokuwa abused na bila kupewa msaada wowote kimaisha
Ndio maana kuna tofauti kati ya mwafrika na mzungu
Mzungu anaondoka nyumbani akifika 18 huku akijua maisha ya kufanya

Mwafrika anasubiri mzazi afe au amuuwe ili arithi nyumba

Maisha haya namshukuru sana Mungu na ninawaombea wazazi wangu kila saa na wanangu wananiombea vivyo hivyo
 
Habari zenu wana JF wenzangu,

Kwanza nianze kusema kwamba mimi ni miongoni mwa watanzania waliozaliwa katika familia ya maisha ya kati, sio familia tajiri wala masikini.

Pilika pilika za hapa na pale, zilinifanya nihamishie maisha yangu Kaburu ili kuweka mambo fulan sawa. Nikiwa Kaburu nimejikuta nafanya kazi na watu tofauti tofauti kutoka nchi na mabara tofauti.

Mwaka 2014 nikiwa nafanya kazi katika restaurant ya Spar (ambayo hata bongo ipo) kuna sister fulan wa kizungu alitokea kuwa rafiki yangu wa karibu (sio kiuhusiano wa mapenzi). Yule mzungu tulizoeana sana kiasi kwamba tukawa tunapeana uzoefu mbali mbali wa kimaisha, mimi nilikuwa najaribu kumchimba ili kujua ni kwanini watu wengi weupe hasa wazungu ni matajiri ukilinganisha na sisi waafrika weusi, pia na yeye alikuwa akijaribu kudodosa inakuaje waafrika wengi (weusi) ni masikini japo kuna baadhi unakuta wametokea katika familia za watu matajiri.

Sasa katika kumchimba chimba ndo siku 1 akanipa code ya mafanikio yao kimaisha, japo code hii kwa ndugu zangu wabongo ni vigumu sana kuizingatia.

Code hiyo aliyonipa ina vipengele vitano navyo ni 👇

1) MAANDALIZI:
Wenzetu huanza maandalizi ya kumuandalia mtoto maisha toka akiwa tumboni. Yani mke na mume wanapogundua kwamba katika nyumba yao kuna kijacho kinatarajia kuja baada ya mke kushika mimba, huanza maandalizi mapema ya kumtengenezea maisha kwa kuanza kuandaa mazingira ya kumfungulia mtoto ajae account yake ya bank. Hapa katika kumfungulia mtoto account ya bank kuna mawili, kuna wale ambao hufungua na kuanza kuweka hela katika account hiyo kabla mtoto hajazaliwa, na kuna wale ambao hufungua na kuanza kuweka hela baada tu ya mtoto kuzaliwa.

Na kwa vile wenzetu wamejiandaa mapema ambapo unakuta baba na mama wote wana kazi, basi account hii huanza kuwekewa pesa na wazazi wote wawili kila mwisho wa mwezi. Zoezi hili huendelea mpaka pale mtoto anapofikisha umri wa miaka 18, japo kuna baadhi wenye pesa zao huendelea mpaka pale mtoto atapokuwa na familia yake nk.

Sasa chukulia baba na mama wawe wanaweka elfu hamsini hamsini kwa kila mwezi, ina maana elfu hamsini hamsini kwa watu wawili ni laki moja, laki 1 kwa miezi 12 (mwaka) ni sawa na milioni 1 na laki 2. Hiyo milioni 1 na laki 2 ukiifanya mara 18 inakuwa milioni ishirini na moja na laki 6 (huu ni mfano tu) maana wao huweka zaidi ya hizo.

2) MALEZI:
Wenzetu pamoja na kwamba watoto wana uhuru wa kuamua jambo, lkn linapokuja swala la malezi huwa makini sana ili kuhakikisha mtoto haendi nje ya matarajio yao, na kuacha kufuata utaratibu wao.

Huu ni utaratibu ambao wameshajiwekea vizazi na vizazi, kwahiyo wazazi hufanya kila wawezalo ili kuhakikisha mtoto wao anakuwa kwenye mazingira bora na yenye kueleweka kwa faida yake na familia yake hapo baadae. Ni vigumu kwa mzungu kwenda kulewa na kurudi nyumban kulala bila kujua mtoto ameshinda wapi, na nani, amekula au hakula, anaumwa au haumwi nk.

3) ELIMU:
Wenzetu hulipa kipaumbele sana swala la elimu, tena huwa wanampa mtoto uhuru wa kuchagua kile anachopenda kusomea. Mfano mtoto anaonesha kupenda kuwa pilot wa ndege, basi wazazi wataelekeza nguvu zaidi katika hilo na ikiwezekana watampeleka katika shule ya kusomea mambo ya ndege bado mapema, waswahili tunasema 'samaki mkunje angali m'bichi', so mpaka atakapokuja kukuwa atakuwa ashafika mbali kwa kile anachojifunza.

4) USIMAMIAJI NA SUPPORT:
Mtoto anapokuwa ashakuwa na tayari ana elimu yake fulan, basi wazazi, ndugu, serikali nk vitamsimamia huyu kupata kazi kutokana na kile alichosomea. Supporter yao huwa ni kubwa na hawapumziki hadi wahakikishe lengo lao limetimia. Na alietafutiwa kazi akianza kazi huwa ni kazi kweli kweli, hakuna muda wa kukaa kwenye vikorido vya ofisi kupiga porojo mbali mbali zisizokuwa na msingi wala faida kwake.

Lakini jambo zuri kwake ni kwamba huanza kazi huku akiwa tayari ana account yake toka utotoni. Accont hiyo tayari ina zaidi ya milioni 20, so atachofanya ni kujazia zingine atazoanza kupokea kwenye mshahara wake.

5) MUENDELEZO:
Mtoto huyu au kijana huyu akishafika hapo alipofika, na yeye hufanya muendelezo kwa kizazi chake, ili kuepusha kuwa kuwa na watoto tegemezi katika familia yao/ zao.

ANGALIZO hapo chini 👇

Sasa basi, wazungu nao kama walivyo binadam wengine, na wao wana mapungufu yao. Nikimaanisha kuwa wapo wazungu ambao hawafuati hizi code kama wenzao, au wapo waliojaribu kufuata ila vizazi vyao vika fail katika hilo na kudumbukia katika umasikini, uteja, ulevi nk. Ila majority 85% ya wazungu wanaishi kwa kufuata huu mfumo wa code na unawanufaisha vizuri bila kwenda kwa shehe, mchungaji, mganga wala mtabiri.

Mimi nilipoowa na mke wangu kuzaa mtoto wa kwanza nilianza kuzifuata hizi code, nilipozaa wa pili pia nimeendelea kuzifuata hizi code tena tukishirikiana na mke wangu ambae na yeye anafanya kazi.

Japo ni changamoto kubwa kufanya mambo mengi kwa pamoja, kama vile kulipa kodi ya nyumba kila mwezi, kuwalipia watoto ada za shule kila mwezi, kununua stock ya chakula kila mwezi, kufanya shopping kila mwezi nk.

Lakini nina amini hii ndio njia bora ya kuwataharishia maisha yaliobora hapo baadae, na elimu hii nimekuwa nikiitoa kwa baadhi ya marafiki zangu, so its up to them eidha kufuata au kutofuata.

Najua kwa ndugu zetu wabongo walio wengi hii inaweza kuwa changamoto kubwa kwao, lkn kama una uwezo na nafasi ya kufanya hivi just do it now, ili uje kuokoa vizazi na vizazi vyako vitakavyokuja baada yako, sio uendekeze ulevi na kamari.

Asanteni sana.
Kwenye code namba 4 umeitaja na serikali! Naomba uniambie hii serikali ya chama chako cha ccm ina msaada wowote ule kwa watoto kutoka kaya masikini katika kuwaendeleza kielimu.
 
Waswahili wanakwambia kila mtoto huja na riziki yake. Kwahiyo anajua akizaa watoto 10 atakuwa na riziki ya watoto kumi hata kama watoto hao hajawapa elimu ya kuwasaidia.

Mawazo mufilisi kabisa haya!

Akili muflisi ni ile inayofikiria kua binaadamu anauwezo wa kumruzuku binaadamu mwenzie wakati yeye hana uwezo wa kujiruzuku na wala hajui sekunde moja ijayo atapata nini au atapatwa na nini.
 
Back
Top Bottom