CONFIRMED: Kiranga siyo Atheist. Ana pretend tu. Ushahidi huu hapa amejianika mwenyewe

CONFIRMED: Kiranga siyo Atheist. Ana pretend tu. Ushahidi huu hapa amejianika mwenyewe

Ungeelewa mantiki ni nini, usingekubali Mungu wa contradiction.

Mantiki elimu ndogo sana wala haina jipya zaidi ya kucheza na maneno tu.

Niliiona ni elimu ya waliokata tamaa katika matumizi ya akili ndio maana nikaipuuzia kiutendaji.

Huwezi kutumia misingi ya elimu ya mantiki ukatoka salama katika tafakuri na kupatia. Hilo halijawahi kutokea.
 
Mantiki elimu ndogo sana wala haina jipya zaidi ya kucheza na maneno tu.

Niliiona ni elimu ya waliokata tamaa katika matumizi ya akili ndio maana nikaipuuzia kiutendaji.

Huwezi kutumia misingi ya elimu ya mantiki ukatoka salama katika tafakuri na kupatia. Hilo halijawahi kutokea.
Unajua ukishaandika "mantiki elimu ndogo sana" napo hapo umetumia mantiki tayari?
 
Kama nilivyosema, hujui mantiki ni nini.

Hujui kwamba hata ukiandika "sijatumia mantiki" ushatumia mantiki.


Kaka lazima ujue ya kuwa tamko "mantiki" ni tamko jipya,na jua ya kuwa yalianza maneno kabla ya elimu ya mantiki.

Kamwe mantiki haiwezi kuitangulia au kuyatangulia maneno. Ni sawa sawa na kusema elimu ya ushairi ilianza kaba ya kuwepo mashairi.

Kaka nakukumbusha kitu kimoja si kila sentensi iliyo kamilika na kuleta maana ni ya kimantiki au ina mantiki.
 
Kama nilivyosema, hujui mantiki ni nini.

Hujui kwamba hata ukiandika "sijatumia mantiki" ushatumia mantiki.

Bro,unaweza kuzichanganua sentensi zifuatazo kwa kuzingatia misingi ya kimantiki,yaani kulingana na elimu ya mantiki,ili tupate kujua ipi imezingatia mantiki na ipi ni kinyume chake.

1. Naenda kuoga maji.

2. Simama wewe.

3. Nimemuona simba akichota maji.
 
Kaka lazima ujue ya kuwa tamko "mantiki" ni tamko jipya,na jua ya kuwa yalianza maneno kabla ya elimu ya mantiki.

Kamwe mantiki haiwezi kuitangulia au kuyatangulia maneno. Ni sawa sawa na kusema elimu ya ushairi ilianza kaba ya kuwepo mashairi.

Kaka nakukumbusha kitu kimoja si kila sentensi iliyo kamilika na kuleta maana ni ya kimantiki au ina mantiki.
Mantiki ni nini kwa uelewa wako?
 
Bro,unaweza kuzichanganua sentensi zifuatazo kwa kuzingatia misingi ya kimantiki,yaani kulingana na elimu ya mantiki,ili tupate kujua ipi imezingatia mantiki na ipi ni kinyume chake.

1. Naenda kuoga maji.

2. Simama wewe.

3. Nimemuona simba akichota maji.
Kwanza kabisa, mantiki ni nini?

Tusije kuingia ndani sana kuhusu kitu ambacho hatujakubaliana ni kipi.
 
Kwanza kabisa, mantiki ni nini?

Tusije kuingia ndani sana kuhusu kitu ambacho hatujakubaliana ni kipi.

Sipo katika kuelezeana nini maana ya mantiki,wewe uliyeona mimi sijui mantiki nini,ndio nakuonyesha ya kuwa twende mvali zaidi ili nione wewe ujuzi wako wa mantiki uko wapi.

Kwa ufupi sikujibu juu ya maana ya tamko mantiki kwa kuchunga adabu ba nidhamu za kielimu.

Huko kwenye maana tumeshapita mbali kutokana na kauli yako dhidi yangu.

Sababu uliweka sentensi kwa kuninukuu ya kuwa kile nilicjpkiandikia tu ni mantiki au kina mantiki,imeonyesa wazi kabisa ya kuwa wewe una elimu ya ziada ya juu ya mantiki. Sasa nataka twende kivitendo bro !


Changanua hizo sentensi hapo juu ili nipate faida juu ya somo la mantiki.
 
Sipo katika kuelezeana nini maana ya mantiki,wewe uliyeona mimi sijui mantiki nini,ndio nakuonyesha ya kuwa twende mvali zaidi ili nione wewe ujuzi wako wa mantiki uko wapi.

Kwa ufupi sikujibu juu ya maana ya tamko mantiki kwa kuchunga adabu ba nidhamu za kielimu.

Huko kwenye maana tumeshapita mbali kutokana na kauli yako dhidi yangu.

Sababu uliweka sentensi kwa kuninukuu ya kuwa kile nilicjpkiandikia tu ni mantiki au kina mantiki,imeonyesa wazi kabisa ya kuwa wewe una elimu ya ziada ya juu ya mantiki. Sasa nataka twende kivitendo bro !


Changanua hizo sentensi hapo juu ili nipate faida juu ya somo la mantiki.
Huwezi kwenda mbali katika mjadala wa mantiki kama hata mantiki hujui au huwezi kuisema ni kitu gani.
 
Mantiki ni nini kwa uelewa wako?

Kaka hapa lazima ujue ya kuwa tunajadili mambo ya kielimu,siwezi nikatoa maana ya mantiki kwa uelewa wangu bali natoa maana ya mantiki kwa mujibu wa wanachuoni wa elimu ya mantiki.

Ila mpaka hapa tulipofikia sina haja ya kutoa maana sababu wewe umeonyesha wazi una elimu juu ya mantiki.

Sasa cheza na hizo sentensi chache tena fupi kwa mujibu wa mantiki inavyotaka.
 
Huwezi kwenda mbali katika mjadala wa mantiki kama hata mantiki hujui au huwezi kuisema ni kitu gani.


Sasa hii kauli iko dhidi yako wewe mwenyewe uliyetoka kifua mbele na kujifaragua juu ya elimu ya mantiki.

Wewe uliyejaribu kunizindua mimi ndio unawajibika zaidi kutoa maana ya mantiki kuliko mimi.

Kwa maana nyingine,wewe unatakiwa ukiri ya kuwa huijui mantiki na misingi yake,ili mimi sasa nikupe faida juu ya elimu ya mantiki. Yaani wewe ndio huwezi sasa kwenda mbali,pindi utakapo kiri ya kuwa hujui chochote juu ya elimu ya mantiki.
 
Sasa hii kauli iko dhidi yako wewe mwenyewe uliyetoka kifua mbele na kujifaragua juu ya elimu ya mantiki.

Wewe uliyejaribu kunizindua mimi ndio unawajibika zaidi kutoa maana ya mantiki kuliko mimi.

Kwa maana nyingine,wewe unatakiwa ukiri ya kuwa huijui mantiki na misingi yake,ili mimi sasa nikupe faida juu ya elimu ya mantiki. Yaani wewe ndio huwezi sasa kwenda mbali,pindi utakapo kiri ya kuwa hujui chochote juu ya elimu ya mantiki.
Ka hiyo umekubali hujui maana ya mantiki?
 
Ka hiyo umekubali hujui maana ya mantiki?

Sijakubali,nimekupa wewe fursa,ukiri kama hujui ili nikupe faida. Na nikasema ya kuwa kutokana na wewe ulivyojipambanua ya kuwa unajua mantiki,nikakupa sentensi tatu uzichambue hujazichambua mpaka mida huu.
 
Sijakubali,nimekupa wewe fursa,ukiri kama hujui ili nikupe faida. Na nikasema ya kuwa kutokana na wewe ulivyojipambanua ya kuwa unajua mantiki,nikakupa sentensi tatu uzichambue hujazichambua mpaka mida huu.
Haya sijui, nipe faida. Mantiki ni nini?
 
Haya sijui, nipe faida. Mantiki ni nini?
Mantiki ni elimu inayojishughulisha na namna ya utoaji hoja na kuhakiki hoja zenyewe.

Na imesemwa pia mantiki ni fani inayojishughulisha na namna ya kufikiri juu ya kufikiria.

Hii ni kwa maana jambo lisilo kubalika na akili kwao wao halina mantiki yaani halina maana na halifai kufanyiwa kazi.

Kadhalika mantiki,inamfunza mtu namna ya kufupisha hoja ili aeleweke vizuri. Yaani badala ya mtu kusema "Ninakwenda kuoga maji" inamtosha yeye kusema "Ninanda kuoga",na akawa ameeleweka vyema.

Wa ila,mantik ina maana ya kilugha kadhalika ina maana ya kisheria,na hapa nimekupa maana ya kisheria yaani kama wanavyoitafsiri watu wa mantiki.

Ni upi msimamo wangu kuhusu Elimu ya mantiki ?

Msimamo wangu ni kama wale walionitangulia katika ubora,katika elimu,katika maarifa na katika umri pia,ni kwamba haifai kujifunza elimu hii kwani inapelekea mtu kupotea kama walivyopotea wale wa mwanzo katika elimu hii.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom