Confirmed: Waraka wa Baraza la Maaskofu Wakatoliki(TEC) wasomwa hadharani kwa waumini wote kwa makanisa yote RC Tanzania nzima

Confirmed: Waraka wa Baraza la Maaskofu Wakatoliki(TEC) wasomwa hadharani kwa waumini wote kwa makanisa yote RC Tanzania nzima

Ukisoma kitabu cha Dkt Slaa kiltwacho Nyuma ya Pazia, utagundua mauchafu na madudu mengi sana ya ndani ya baraza la maaskofu.

➡️Ukurusa wa 26 ibara ya 4 ya kitabu hicho, Dkt Sláa anaeleza kwa kina kwanini alimua kuachana na Upadre
1991. Kikubwa ikiwa ni wizi uliotamalaki ndani ya TEC.

➡️Kupitia Dkt Slaa mwenyewe, inatufanya tusiwaamini
TEC hata kidogo, TEC ni wezi na wala rushwa, Slaa mwenyewe kwenye kitabu chake ameeleza.

➡️Kwenye hili la waraka wao walioutoa jana, tutawezaje kuamini kwamba nyuma yao hakuna mashinikizo ya rushwa na ulaghai? Historia haiwabebi, wana uchafu mwingi sana ndani yake. Na haya sio maneno yangu, ni maneno ya Dkt Slaa Mwenyewe ndani ya kitabu chake.
 

Attachments

  • IMG_20230820_155434.jpg
    IMG_20230820_155434.jpg
    258.8 KB · Views: 1
Na sie tusiokuwa wakatoliki na hatuingii makanisani mwao nani atatusomea? Maana hata kwenye mikutano ya wanasiasa za upinzani huko nako hatuendi. Itapendeza zaidi maulamaa/masheikh nao wakatoa wao ukasomwe misikitini japo huko nako hatuendi, tunataka kujua mbivu na mbichi, nani wana akili na nani hawana akili. Tuombe na wanaharakati nao watoe wao pengine huko tutaweza kuhudhuria
 
Na sie tusiokuwa wakatatoliki na hatuingii makanisani mwao nani atatusomea? Maana hata kwenye mikutano ya wanasiasa za upinzani huko nako hatuendi. Itapendeza zaidi maulamaa/masheikh nao wakatoa wao ukasomwe misikitini japo huko nako hatuendi, tunataka kujua mbivu na mbichi, nani wana akili na nani hawana akili. Tuombe na wanaharakati nao watoe wao pengine huko tutaweza kuhudhuria
😂😂😂😂😂🖐️ Ishi sana mwamba
 
Wakuu Natanguliza salamu , baada ya kuwasabahi naingia moja kwa moja kwenye hoja .

Jana iliagizwa kwamba ndani ya Makanisa yote na Parokia zote za kanisa Katoliki leo Jumapili , waumini wasomewe Waraka wa Maaskofu wa kupinga DP WORLD kupewa Bandari za Tanganyika .

Naweza kuthibitisha kwamba hawa watu ni Waaminifu sana ! WARAKA HUO UMESOMWA BILA HATA KUPUNGUZA NENO .

View attachment 2722618
Vipi hauna kopi ya waraka
 
Sasa huyo ameongea nini? Kitu gani kinachchowa kwa huyo kuongea?
Umeona popote Walaka wa Maaskofu ukimtaja Sheikhe yeyote au ukitaja dini ya mtu?
Walaka mzima, hatua kwa hatua unaongelea substantive issues, halafu ninyi mnakuja na papatu-papatu zenu zisizo na kichwa wala miguu.
Sasa kama huyo uliyemleta hapo ameongea kitu gani close to Walaka wa Maaskofu? Msipende kuwapa watu uzito wasio nao.
Hao kobazi ni wakurupukaji
 
Niko hapa kuthibitisha hilo pasi na chembe ya shaka yoyote leo nimehudhuria ibada ya misa takatifu katika kanisa la St Joseph Cathedral Dar.

Waraka umesomwa kwa waumini wote, na kupitia reliable source ya Jesuits agent amenithibitishia makanisa yote na vigango vyote vya kanisa katoliki Tanzania nzima wamesomewa waraka huo leo.


Pascal Mayalla unajisikiaje kwa kuikana imani kwa sababu ya vipande 30 vya fedha?

Mama Samia anakwenda kuwaabisha wanafki na machawa wote, kesho asubuhi Rais anapewa brief na DG wa usalama wa Taifa
reaction ya Taifa baada ya waraka wa TEC na Rais anakwenda kulihutubia Taifa, watch n see, lisipotekea hili JF wanipige life ban.

Roma Locuta, Causa Finita Est.
Pascal Mayalla unajisikiaje kwa kuikana imani kwa sababu ya vipande 30 vya fedha?[emoji419][emoji375]
 
Wakuu Natanguliza salamu , baada ya kuwasabahi naingia moja kwa moja kwenye hoja .

Jana iliagizwa kwamba ndani ya Makanisa yote na Parokia zote za kanisa Katoliki leo Jumapili , waumini wasomewe Waraka wa Maaskofu wa kupinga DP WORLD kupewa Bandari za Tanganyika .

Naweza kuthibitisha kwamba hawa watu ni Waaminifu sana ! WARAKA HUO UMESOMWA BILA HATA KUPUNGUZA NENO .

View attachment 2722618
Naweza kuthibitisha kwamba hawa watu ni Waaminifu sana ! WARAKA HUO UMESOMWA BILA HATA KUPUNGUZA NENO .[emoji419][emoji375]
 
Niko hapa kuthibitisha hilo pasi na chembe ya shaka yoyote leo nimehudhuria ibada ya misa takatifu katika kanisa la St Joseph Cathedral Dar.

Waraka umesomwa kwa waumini wote, na kupitia reliable source ya Jesuits agent amenithibitishia makanisa yote na vigango vyote vya kanisa katoliki Tanzania nzima wamesomewa waraka huo leo.


Pascal Mayalla unajisikiaje kwa kuikana imani kwa sababu ya vipande 30 vya fedha?

Mama Samia anakwenda kuwaabisha wanafki na machawa wote, kesho asubuhi Rais anapewa brief na DG wa usalama wa Taifa
reaction ya Taifa baada ya waraka wa TEC na Rais anakwenda kulihutubia Taifa, watch n see, lisipotekea hili JF wanipige life ban.

Roma Locuta, Causa Finita Est.
Wataanza kamata mapadri muda si mrefu..! hahahah wachochezi.
 
Kuhusu faida za mkataba huo naweza kuwa na wasiwasi. Lakini kanisa la katoriki kutoa tamko kuhusu jambo lenye maslahi mapana ya taifa lina nipa wasiwasi zaidi. Vp ikiwa kundi lingine la kiimani na kidini likitoa tamko ambalo pengine likakinzana na tamko la kanisa katoriki, je nchi itakuwa katika hali gani?
Hebu tufikirie kwa mlengo huo. Tamko linalotoka kwa taasisi fulani ya kidini, ina maana ni tamko la wanataasisi hiyo, je ni lini kanisa la katoliki lilifanya white paper process ya kupata maoni ya wakatoliki wote mpaka wafikie hitimisho la kuwa mkataba huo haufai kwa niaba ya kanisa?
Nashauri, tukiwa kama nchi, tusioneshe mfano mbaya kwa kulinyamazia suala hili. Maana hili likifumbiwa macho, watakuja na mambo makubwa zaidi ambayo kama nchi yanaweza kutugawa wananchi kwa misingi ya imani zetu.

Binafsi nasema. "NAPINGA KITENDO CHA KANISA LA KATOLIKI KUTOA TAMKO LINALOPINGA MKATABA KATI YA TANZANIA NA DPW."
WAJUE CHOMBO CHAO NI KWA AJILI YA KUWALEA WAKATOLIKI KIIMANI. HIYO NI TAASISI YA KIROHO, SIYO TAASISI YA HARAKATI. KAMA WANATAKA IWE HIVYO WAENDE KWA KABIDHI WASIHI MKUU , KUBADILISHA USAJILI WAO.

NB: SIUNGI MKONO MIKATABA ISIYO NA TIJA KWA TAIFA.
Ww ushuzi una akili ipi ya kupinga tamko la wakagiliki stpd
 
Na sie tusiokuwa wakatoliki na hatuingii makanisani mwao nani atatusomea? Maana hata kwenye mikutano ya wanasiasa za upinzani huko nako hatuendi. Itapendeza zaidi maulamaa/masheikh nao wakatoa wao ukasomwe misikitini japo huko nako hatuendi, tunataka kujua mbivu na mbichi, nani wana akili na nani hawana akili. Tuombe na wanaharakati nao watoe wao pengine huko tutaweza kuhudhuria
Nyie Mwabukusi na mdude nyagali wanawatosha kuwawakilisha
 
Mimi naunga mkono hoja hata ikitolewa na shetani mradi ina mashiko. Sina dini, wala siiamini serikali. Natoa credits where is due. Kwa suala la bandari nawaunga TEC. Nadhani hata ile shura ya maimamu walitema sense kwenye andiko lao.
 
Hawa jamaa wamejipanga sana na wapo vizuri mno nawapa kongole kwao aisee wanatupigania Mali zetu sisi tupo busy kukamata wanaotusaidia nadhani tutakua tumerogezewa Ujinga na wale waganga wa Karatu sio Bure...Big up sana Wakatoliki aisee...
 
Niko hapa kuthibitisha hilo pasi na chembe ya shaka yoyote leo nimehudhuria ibada ya misa takatifu katika kanisa la St Joseph Cathedral Dar.

Waraka umesomwa kwa waumini wote, na kupitia reliable source ya Jesuits agent amenithibitishia makanisa yote na vigango vyote vya kanisa katoliki Tanzania nzima wamesomewa waraka huo leo.


Pascal Mayalla unajisikiaje kwa kuikana imani kwa sababu ya vipande 30 vya fedha?

Mama Samia anakwenda kuwaabisha wanafki na machawa wote, kesho asubuhi Rais anapewa brief na DG wa usalama wa Taifa
reaction ya Taifa baada ya waraka wa TEC na Rais anakwenda kulihutubia Taifa, watch n see, lisipotokea hili JF wanipige life ban.

Roma Locuta, Causa Finita Est.
Safi sana viongozi wa dini na wasomi. Mimi ni mlutheri lkn kanisa letu linaongozwa na mazombi, machawa ambao huwa elimu yao ni feki na hawajiamini, hawanatofauti na chawa. Bravo BARAZA LA MAASKOFU LA KATORIC[emoji120]
 
Safi sana viongozi wa dini na wasomi. Mimi ni mlutheri lkn kanisa letu linaongozwa na mazombi, machawa ambao huwa elimu yao ni feki na hawajiamini, hawanatofauti na chawa. Bravo BARAZA LA MAASKOFU LA KATORIC[emoji120]
Mjinga ni mjinga tu,. "Eti kanisa Letu linaongonzwa na Mazombi😂"

Unataka kila taasisi ya Dini izungumzie migogoro ya kisiasa na Propaganda.

Upo upande mzuri, Ila sas mwendo unaoenda nao utafanya wenzako waonekane mazuzu.

Yani Wiki sita 6 , Baada ya neno kwamba Yesu alitufia Msalabani ili wote tuondokane na Dhambi mana Tu wadhaifu" Tuna switch mpaka kusomeana Kampeni ya Kuzuia uwekezaji wa DPW "

Baada ya kuombea viziwi, vipofu ,magonjwa ,ajali na Amani katika Uso wa dunia ,Tunaongeza na maombi ya Kupinga mkataba 😅

Make it bare in mind kwamba ,kila jambo linawakati wake ,kila taasisi ifanye kazi yake. Wanatumia Mstari gani kupinga huo mkataba .

Hili ni Taifa la Mungu, sio la Taasis yeyote. Sio serikali ,wala Dini.
 
Back
Top Bottom