Confirmed: Waraka wa Baraza la Maaskofu Wakatoliki(TEC) wasomwa hadharani kwa waumini wote kwa makanisa yote RC Tanzania nzima

Confirmed: Waraka wa Baraza la Maaskofu Wakatoliki(TEC) wasomwa hadharani kwa waumini wote kwa makanisa yote RC Tanzania nzima

Jidanganyeni na ukubwa ambao kiuhalisia haupo.

Uhalisia ni kwamba kila imani ina nguvu yake kulingana na eneo fulani ila kwa nchi hii hakuna imani yenye nguvu kuzidi nyingine ndo maana unaona hata uongozi wa nchi akitoka muislamu anaingia mkiristo.

Tena waislamu wanaonekana wana nguvu kubwa kuliko upande wowote wa dini nchi hii maana Rais anaweza kuwa Muislamu na makamu wake akawa muislam vile vile na hii imetokea kwa Kikwete na Sheini na pia kwa Kikwete na Bilal.

Lakini haitatokea nchi hii Rais akawa mkiristo na makamu wa Rais akawa mkiristo pia.

Sasa kwa muktadha huu uislamu una nguvu kubwa isiyoonekana kwa macho ya kawaida ila tu hawana show off za kijinga.
Usichokijuwa Vatican Ina kiti UN.
 
Wakwetu amekiuka maagizo yeye badala ya kuusoma WARAKA, ametoa kopi kila muumini kampa ya kwake eti …kuna sehemu anadai anawahi… is it fair kweli?
 
Jidanganye hii , first move Bado Kuna plan nyingine hiyo ni hatari zaidi

Kiufupi , Samia 2025 hatuko naye kama Mgombea

Imeshapitishwa Sasa ni utekelezaji tu
Hili linaonekana wazi kabisa, wamemuingiza chaka mama yetu ili apoteze sifa...... Mama wa watu Hana baya kabisa.. Ila walimwengu lol😇
 
Kwa Waraka wa Kanisa Katoliki uliosomwa leo Kanisani kiukweli kabisa pasipo kuwa na ushabiki ni Waraka uliosomwa na watu wenye weledi wa hali ya Juu sana na misumari imekazwa vibaya mno! Mpaka watu wasio na Elimu kabisa wameelewa. Sasa kama serikali itashupaza Shingo ikapitisha kwa mabavu basi wajiandae mpasuko mkubwa sana ndani ya Serikali na Chama na 2025 ccm ijiandae kukabidhi nchi kwa Chama kingine.
Umesema neno zuri tayari Kura zaidi ya nusu upinzani wanazo 2025.
 
Jidanganyeni na ukubwa ambao kiuhalisia haupo.

Uhalisia ni kwamba kila imani ina nguvu yake kulingana na eneo fulani ila kwa nchi hii hakuna imani yenye nguvu kuzidi nyingine ndo maana unaona hata uongozi wa nchi akitoka muislamu anaingia mkiristo.

Tena waislamu wanaonekana wana nguvu kubwa kuliko upande wowote wa dini nchi hii maana Rais anaweza kuwa Muislamu na makamu wake akawa muislam vile vile na hii imetokea kwa Kikwete na Sheini na pia kwa Kikwete na Bilal.

Lakini haitatokea nchi hii Rais akawa mkiristo na makamu wa Rais akawa mkiristo pia.

Sasa kwa muktadha huu uislamu una nguvu kubwa isiyoonekana kwa macho ya kawaida ila tu hawana show off za kijinga.
Sasa ndio inaenda kutokea.

Huyu jamaa hajui kwanini huo muundo umewekwa Kwa ajili Yann?

Lazima ujue Nini maana ya Tanzania ( muungano).

Huna point hapa ,Bado mtoto kakojoe ulale
 
Na kama alivyosema amefunga masikio na hasikii, walaka unaofuata ni kwa wakatoliki wote nchini kuto fungamana na mama na hapo ndio atakosa credibility ya kuwa rais
 
Ukisoma kitabu cha Dkt Slaa kiltwacho Nyuma ya Pazia, utagundua mauchafu na madudu mengi sana ya ndani ya baraza la maaskofu.

➡️Ukurusa wa 26 ibara ya 4 ya kitabu hicho, Dkt Sláa anaeleza kwa kina kwanini alimua kuachana na Upadre
1991. Kikubwa ikiwa ni wizi uliotamalaki ndani ya TEC.

➡️Kupitia Dkt Slaa mwenyewe, inatufanya tusiwaamini
TEC hata kidogo, TEC ni wezi na wala rushwa, Slaa mwenyewe kwenye kitabu chake ameeleza.

➡️Kwenye hili la waraka wao walioutoa jana, tutawezaje kuamini kwamba nyuma yao hakuna mashinikizo ya rushwa na ulaghai? Historia haiwabebi, wana uchafu mwingi sana ndani yake. Na haya sio maneno yangu, ni maneno ya Dkt Slaa Mwenyewe ndani ya kitabu chake.
Je hoja zao mbona hukugusia hata moja. Yani unashambulia personality kwanza badala ya hoja ilioletwa mezani.
 
Teh teh teh...

Aise huko mnapodanganywa hamnaga hata akili ya kuhoji tu?

Rais wa nchi hii hakuna wa kumpinga awapo madarakani na ikionekana kuna kimbelembele anaweka kiwingu amaweza kufanyiwa lolote akazimwa na ikawa imeisha kihivyo.
Sasa wazime wakatoliki wote na ma askofu wote ili tuone huo umwamba wao. Jeuri ya watawala ni kutumia mkono wa chuma na kubambikiana kesi. Ila kwa hili la leo sioni watachomokea wapi 🤣
 
Wakuu Natanguliza salamu , baada ya kuwasabahi naingia moja kwa moja kwenye hoja .

Jana iliagizwa kwamba ndani ya Makanisa yote na Parokia zote za kanisa Katoliki leo Jumapili , waumini wasomewe Waraka wa Maaskofu wa kupinga DP WORLD kupewa Bandari za Tanganyika .

Naweza kuthibitisha kwamba hawa watu ni Waaminifu sana ! WARAKA HUO UMESOMWA BILA HATA KUPUNGUZA NENO .

View attachment 2722618
Umeona eenhhh??!!.

Sent from my V1901A using JamiiForums mobile app
 
Kwa Waraka wa Kanisa Katoliki uliosomwa leo Kanisani kiukweli kabisa pasipo kuwa na ushabiki ni Waraka uliosomwa na watu wenye weledi wa hali ya Juu sana na misumari imekazwa vibaya mno! Mpaka watu wasio na Elimu kabisa wameelewa. Sasa kama serikali itashupaza Shingo ikapitisha kwa mabavu basi wajiandae mpasuko mkubwa sana ndani ya Serikali na Chama na 2025 ccm ijiandae kukabidhi nchi kwa Chama kingine.
Nimeipenda approach yao wakatoliki sababu ile njia ya mtu mmoja kusimama na kupinga jambo lolote sensitive huwa wanatumiaga mabavu na style ya kuziba watu mdomo kibabe kwa kubambikia kesi kisha unafinywa.

Sasa hii ya leo jamaa wamebidi wakimbilie kusema siasa isichanganywe na dini ila ubavu wa kukamata maaskofu hawana 🤣
 
Nimeipenda approach yao wakatoliki sababu ile njia ya mtu mmoja kusimama na kupinga jambo lolote sensitive huwa wanatumiaga mabavu na style ya kuziba watu mdomo kibabe kwa kubambikia kesi kisha unafinywa.

Sasa hii ya leo jamaa wamebidi wakimbilie kusema siasa isichanganywe na dini ila ubavu wa kukamata maaskofu hawana [emoji1787]
[emoji23][emoji23][emoji23]Umeona eennhh??!!!.

Sent from my V1901A using JamiiForums mobile app
 
[emoji23][emoji23][emoji23]Umeona eennhh??!!!.

Sent from my V1901A using JamiiForums mobile app
Hahahah yani RC ni kiboko ya uchafu. Jamaa waliona wametuweza sana hadi kufanya raia wote kuishi kama makondoo hadi tukaitwa maiti na majirani.

Hii formation ya leo ni kama ile ya mob justice yani mwizi anapigwa na kuuliwa na mtaa mzima. 🤣 Askari wanakuja kuokota mzoga tu!!!
 
Niko hapa kuthibitisha hilo pasi na chembe ya shaka yoyote leo nimehudhuria ibada ya misa takatifu katika kanisa la St Joseph Cathedral Dar.

Waraka umesomwa kwa waumini wote, na kupitia reliable source ya Jesuits agent amenithibitishia makanisa yote na vigango vyote vya kanisa katoliki Tanzania nzima wamesomewa waraka huo leo.


Pascal Mayalla unajisikiaje kwa kuikana imani kwa sababu ya vipande 30 vya fedha?

Mama Samia anakwenda kuwaabisha wanafki na machawa wote, kesho asubuhi Rais anapewa brief na DG wa usalama wa Taifa
reaction ya Taifa baada ya waraka wa TEC na Rais anakwenda kulihutubia Taifa, watch n see, lisipotokea hili JF wanipige life ban.

Roma Locuta, Causa Finita Est.
Mimi siyo mkatoliki lakin naunga mkono tamkò la TEC. Tumepuuzwa kiasi cha kutoshwa
 
Kwenye ulimwengu wa roho, Samia siyo kiongozi Tena, wanatumia nguvu nyingi kukusanya fedha za uchaguzi lakini hawaendi Kokote na hizo fedha za wizi.
 
Back
Top Bottom