jiwe angavu
JF-Expert Member
- Aug 28, 2015
- 20,419
- 39,217
Sio wote kwenye jamii waliokua wana practice uchawi..mkoloni alikuja na kwanza kama mfanya biashara..kisha akaanza kuleta dini yake na mifumo mbalimbali..huku akikandia dini za kiafrika..baada ya kuona ameanza kuwini mindset zao..ndio akabadilika na kuanza kuleta vita na biashara za ukoloni.Huwa najiuliza Sana jibu sipati. Hivi kwann mwafrika hakutumia uchawi Ili asichukuliwe utumwani au kutawaliwa na mkoloni.
Hawa Kongo Wana record Yao World Cup, walipeleka ndege nzima imejaa waganga matokeo yake team kila mechi ilifungwa idadi kubwa ya magoli na hadi Leo record Yao ya kufungwa idadi kubwa ya magoal haijavunjwa na nchi yoyote ile.... Uchawi ni ujanja janja tu... Hakuna ukweli
Toa andiko mahali palipo andikwa hivyoKwann biblia inatuagiza tuwauwe wachawi
Sio ndio wanasiasa wanaamini uchawi uoni nyakati za uchaguzi wanavyogombea kudungwa chale means hapa wameacha kutumia akili zao walizopewa na Mwenyezi Mungu na kuanza kuamini na kutumia akili bandia yaani maagizo ya mganga.Utalaumu bure..waliofukarisha afrika ni wanasiasa wenye njaa.
#MaendeleoHayanaChama
Sent using Jamii Forums mobile app
Nenda comment no 43 lipo andikoToa andiko mahali palipo andikwa hivyo
Agano la kale hilo mkuu ila baada ya yesu kuja mambo yamebadilikaNenda comment no 43 lipo andiko
Nenda kasome historia jinsi Wasukuma walivyo wauawa kiuchawi wakoloni wote GeitaWaliyafanya haya kama njia ya kuwatisha watu kuwajengea uoga au kuuwa fikra zao.
Kama wafanyavyo magaidi kuuwa watu au kufanya ukatili Ili waogopeke.
Kwann sasa tusingewamaliza kwa uchawi hawa weupe,huoni kwamba uchawi ni technology duni Sana kama ilishindwa kumzuia mwafrika asiathiriwe na ukoloni ikiwemo tamaduni za kigeni huoni ni kitu kisicho na faida.
@Kiranga na wengineoWachawi nchini Congo [emoji1078] DR wamefanya tamasha la wazi lenye nia ya kuonyesha nguvu na uwezo waluo nao.
Wachawi hao kutoka majimbo 12 walikuwa wamevalia mavazi yenye rangi kali na waliweza kuonyesha shughuli zao mbalimbali ambapo waliiomba serikali ya nchi hiyo iwapatoe leseni ili waweze kuzifanya kazi zao kibiashara na kukuza uchumi.
Mshana Jr, wenzetu wameanza kuutumia uchawi kimaendeleo, sisi tunakwama wapi?
Naunga mkono mapinduzi ya teknolojia, kamwe hatuwezi kufanikiwa kwa kutegemea teknolojoa mtumba.
Uchawi ukitumika vyema utakuwa chachu ya mabadiliko ya kisayansi na teknolojoa.
Ili nchi iendelee, inahitaji teknolojia yake yenyewe tofauti na sass ambapo tuna teknolojia mtumba na elimu wanayosoma vijana wetu imeshindwa kutoa matokeo chanya ndio maana hata waliosoma sayansi wanataka wawe wanasiasa
Toka ukoKak mkubwa hv Kuna uwezekano mtu kuruka na ungo Hadi nnch za nnje hususan ulaya au hata Africa kusini
WakikeKwann biblia inatuagiza tuwauwe wachawi
Ni upumbavu tuuuWameshindwaje sasa kuwasambaratisha waasi wanaosumbua nchini mwao?
Uchawi ni nini na unajuaje huu ni uchawi na hiki ni kitu kingine tu ambacho sikijui lakini si uchawi?@Kiranga na wengineo
Lkn ni masikini??.DRC, Benin, Malawi, Msumbiji mpaka Swaziland huko uchawi ni wa level nyingine