Congo: Wachawi wafanya tamasha la hadhara kuonyesha nguvu walizo nazo za kufanya miujiza. Waazimia kuutumia uchawi kukuza uchumi na maendeleo

Congo: Wachawi wafanya tamasha la hadhara kuonyesha nguvu walizo nazo za kufanya miujiza. Waazimia kuutumia uchawi kukuza uchumi na maendeleo

Huwa najiuliza Sana jibu sipati. Hivi kwann mwafrika hakutumia uchawi Ili asichukuliwe utumwani au kutawaliwa na mkoloni.
Sio wote kwenye jamii waliokua wana practice uchawi..mkoloni alikuja na kwanza kama mfanya biashara..kisha akaanza kuleta dini yake na mifumo mbalimbali..huku akikandia dini za kiafrika..baada ya kuona ameanza kuwini mindset zao..ndio akabadilika na kuanza kuleta vita na biashara za ukoloni.

Ilikua process sio inshu ya siku moja tu..alianzia mbali.

Mind you nikisema mkoloni ni mzungu na mwarabu.

#MaendeleoHayanaChama

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hawa Kongo Wana record Yao World Cup, walipeleka ndege nzima imejaa waganga matokeo yake team kila mechi ilifungwa idadi kubwa ya magoli na hadi Leo record Yao ya kufungwa idadi kubwa ya magoal haijavunjwa na nchi yoyote ile.... Uchawi ni ujanja janja tu... Hakuna ukweli
drakekidding.png
 
Huu mstari Ulaya waliutendea Kazi vizuri sana kwa kuwaua wachawi wote ndipo wakapata fikra mpya za maendeleo tuyaonayo sasa. Maana ushirikina unapunguza uwezo wa kufikiri, ushirikina unaharibu mind set.
Lengo la shetani kuwatuma majini yamfunze mwanadamu uchawi lilikuwa ni kupunguza uwezo wa kufikiri wa mwanadamu aliopewa na Mwenyezi Mungu wa enendeni mkamiliki na kuutawala ulimwengu na vyoote vikaavyo. Jamii zinazoamini ushirikina thinking capacity zao zipo chini sana kuliko Jamii zisizoamini.

Screenshot_20220128_123418.jpg
 
Utalaumu bure..waliofukarisha afrika ni wanasiasa wenye njaa.

#MaendeleoHayanaChama

Sent using Jamii Forums mobile app
Sio ndio wanasiasa wanaamini uchawi uoni nyakati za uchaguzi wanavyogombea kudungwa chale means hapa wameacha kutumia akili zao walizopewa na Mwenyezi Mungu na kuanza kuamini na kutumia akili bandia yaani maagizo ya mganga.
Kuna msomi mmoja mkubwa tu toka Ulaya aliwahi mwaga uchawi bungeni akiwa mbunge tija yake kwa taifa ni zero zaidi ya uharibifu ikiwemo kukwapua kodi zetu hapa uoni kwa kuamini kwake uchawi kumempunguzia uwezo wa kufikiri.
 
Wameshindwaje sasa kuwasambaratisha waasi wanaosumbua nchini mwao?
 
Waliyafanya haya kama njia ya kuwatisha watu kuwajengea uoga au kuuwa fikra zao.
Kama wafanyavyo magaidi kuuwa watu au kufanya ukatili Ili waogopeke.
Kwann sasa tusingewamaliza kwa uchawi hawa weupe,huoni kwamba uchawi ni technology duni Sana kama ilishindwa kumzuia mwafrika asiathiriwe na ukoloni ikiwemo tamaduni za kigeni huoni ni kitu kisicho na faida.
Nenda kasome historia jinsi Wasukuma walivyo wauawa kiuchawi wakoloni wote Geita
 
Wachawi nchini Congo [emoji1078] DR wamefanya tamasha la wazi lenye nia ya kuonyesha nguvu na uwezo waluo nao.

Wachawi hao kutoka majimbo 12 walikuwa wamevalia mavazi yenye rangi kali na waliweza kuonyesha shughuli zao mbalimbali ambapo waliiomba serikali ya nchi hiyo iwapatoe leseni ili waweze kuzifanya kazi zao kibiashara na kukuza uchumi.

Mshana Jr, wenzetu wameanza kuutumia uchawi kimaendeleo, sisi tunakwama wapi?

Naunga mkono mapinduzi ya teknolojia, kamwe hatuwezi kufanikiwa kwa kutegemea teknolojoa mtumba.

Uchawi ukitumika vyema utakuwa chachu ya mabadiliko ya kisayansi na teknolojoa.

Ili nchi iendelee, inahitaji teknolojia yake yenyewe tofauti na sass ambapo tuna teknolojia mtumba na elimu wanayosoma vijana wetu imeshindwa kutoa matokeo chanya ndio maana hata waliosoma sayansi wanataka wawe wanasiasa

@Kiranga na wengineo
 
Waangalie ukuaji huo wa Uchumi (usiwe kwenye mifuko yao) wakati wengine wanaowachangia / tapeliwa (uchumi wao unashuka)
 
Back
Top Bottom