Angalia hyo namba .alafu niambie namba inaongezeka au inapungua?View attachment 1732235
Sina muda wa kubishana na wewe. Pengine kuchat ndo kazi yako kuu.Ninyi ndio mnajitoa akili.
Jibu swali 'Ni lini na wapi Rais Magufuli alisema msivae barakoa?
Nawaangalia Halafu Nasema Hii BhaghoshaWashaanza Unafiki bado hata hatujazika?
Takwimu zetu zinazokufanya uone tuna nafuu ziko wapi?
Unalinganisha nao kutambua kuwa sisi tumepoteza rais, makamu wa rais, mawaziri nk?
Achilia mbali Mapadre na Masista ambao RC wamekuwa na uthubutu wa kuwataja?
Zingekuwa ndogo sana
kwa hyo hii corona ya tanzania inaua viongozi tu.?
Sasa mbona kawadanganya watz! yeye anavaa, watz wamejiachia
Kila mtu atachukua tahadhari kwa njia zake.
Kwanink unaona njia za WHO NI NZURI KULIKO ZA KWETU?
Unashaanza kutengeneza mazingira ya jaffo akiwa u-VP akupe teuzi bwasheee!!Hata huyu pichani alikuwa anasema hivyo hivyo.
Kwa hatua hii Jaffo anafaa kupewa u VP.
Mungu msimamie mh. Jaffo, atatuvusha.
Kila akiwaza wale wake zake wanne na wale mahawala wake Walimu na Manesi roho inakosa uvumilivu. Ngozi tamu jiwe kaiachaMabibi na mabwana kujifunza na kuchukua hatua bado ni jambo la kheri sana.
Pichani ni yule mpiga nyungu mbobezi:
View attachment 1732339
Kwamba anaisifia mvua? Ni wazi kuwa kuna jambo limemsibu.
Tusiwe ving'ang'anizi kama luba.
Heko Suleiman Jaffo kwa kutambua kuwa mabarakoa na social distancing vitatuvusha salama.
Kipindi kile alipokua akinadi kupiga nyungu akili zake zilikuwa likizo ila sasa zimerudi....Mabibi na mabwana kujifunza na kuchukua hatua bado ni jambo la kheri sana.
Pichani ni yule mpiga nyungu mbobezi:
View attachment 1732339
Kwamba anaisifia mvua? Ni wazi kuwa kuna jambo limemsibu.
Tusiwe ving'ang'anizi kama luba.
Heko Suleiman Jaffo kwa kutambua kuwa mabarakoa na social distancing vitatuvusha salama.
Unashaanza kutengeneza mazingira ya jaffo akiwa u-VP akupe teuzi bwasheee!!
Hayo ndo mambo ya binadamuWashaanza Unafiki bado hata hatujazika?
Hata huyu pichani alikuwa anasema hivyo hivyo.
Kwa hatua hii Jaffo anafaa kupewa u VP.
Mungu msimamie mh. Jaffo, atatuvusha.
Kama inaua hata viongozi maana yake ni kuwa inauwa kina yakhe wengi zaidi.
Hujasikia habari kuwa misiba imeongezeka mno uswahilini?
Kuweni na huruma na maisha ya watu.
Mkuu, wiki mbili ni muda mrefu sana - Rais S.S.Hassan siku ya kwanza ofisini suala hili alivalie njuga kweli kweli.I predict after two weeks watendaji wote serikalini watavaa barakoa.
Yaani kuvaa barakoa tu ndo apewe makamu wa rais?
Acha mzaha
Kuwa VP, haina maana ya kupewa chei hicho kama cheo. Hicho ndiyo TAMU ya kiswahili kama titi la mama!
Kuwa VP ina maana kubwa ya kutambua utayari ya mtu kuanza mwanzo mpya.
Hata wewe ukiwa na utayari huo jombi tutakutambua pia hilo.
Kumbuka tutakupongeza kwa matendo mema tokea pale utakapochukua mwelekeo huo.
Katika jamii ya wastaarabu, hapendwi wala kuchukiwa mtu, bali matendo.
Mkuu, wiki mbili ni muda mrefu sana - Rais S.S.Hassan siku ya kwanza ofisini suala hili alivalie njuga kweli kweli, Baraza la mawaziri wavae barakoa wanapo kutana na Rais at all times, watumie sintiser mara kwa mara, wa maintain social distancing, wasitumie microphone moja