#COVID19 Corona iko maeneo gani Tanzania?

Wewe jamaa una shida gani? Na nikionyesha hisia zangu kinakuuma nini? Mbona una umama sana? Are you a real man? Na swali linataka nini kutoka kwa mtoa mada?

Sikia... mind ur own business. Punguza shobo na watu. Wakifa ndugu zangu wewe unaumia nini? Ni ndugu zako? Ama ndo unaona wivu mpaka vifu vya ndugu za watu? U seem so immatured. [emoji706][emoji706][emoji706]
 
Ungekuwa hukuleta habari za ndugu zako humu halafu ukakuta mimi nazizungumzia humu hapo kweli ungeona nina shobo na ungekuwa sahihi kueleza yote hayo, ila hayo mambo ya ndugu zako umeyaleta mwenyewe tena hiari yako umetaka tuyajue na mimi nachofanya humu ni kutoa maoni tu kama wengine ujue kwamba na sisi tushauguza na kufiwa sana sasa wakati unaeleza hizo hisia zako ujue kwamba si kitu cha ajabu ukataka utumie hizo hisia kuonesha et corona inapukutisha watu.
 

Kama kweli unamaanisha swali unalouliza basi utakuwa na shida, kukusaidia tu, unatakiwa tu kuamua kutembelea hospitali za Dar es salaam utawakuta wagonjwa.
 
[emoji706][emoji706][emoji706][emoji706]
 
Wewe upo huru tembea bila barakoa zurura uwezavyo hakuna Corona kula nchi kwa raha zote. ila usitulazimishe unachoamini wewe, sisi tunajua Corona ipo, enzi zillee zimepita.
 
Sijui hata kama ipo tunasikia kwenye tv tu wanasema ipo
 
Au ukutane na mtu aliyekariri ujinga darasani, huyo humwambii kitu.
Acha kabisa, haswa hawa madaktari wetu uchwara ni shiidaa!

Hata umpige bisu la shingo hawezi kukubali kwenda kinyume na alichokariri darasani.
 
Jana Kuna ndugu yangu ameambiwa ana covid, dah mgoja niamini ipo[emoji3]
Warongo hao. Matapeli.

Muulize hiyo corona amepimwa kwa kutumia kifaa gani? Na kimetoka wapi?

Utanambia.
 
Tena hakuna watu wanakaririshwa kama hao.
 
Njaa inatusumbua.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…