#COVID19 Corona iko maeneo gani Tanzania?

#COVID19 Corona iko maeneo gani Tanzania?

Hey,

Nawasalimu kwa Jina la Jamuhuri Ya Muungano wa Tanzania.

Hivi majuzi juzi tumesikia taarifa lukuki kuhusu corona. Wengine nimesikia wanasema kwa sasa hili ni wimbi sijui la tatu — Wengine wanaita sijui DELTA kitu gani gani??

Majina yamekuwa mengi kidogo. Kuna DELTA na kuna wimbi.

Kiuhalisia huku Buza nilipo, hatujui hata maana ya corona. Achana na hayo sijui ma-DELTA na manini nini mengine.

Tunajiachia vibaya sana. Hakuna cha barakoa wala sanitaiza. Na tuko fiti ajabu.

Haya makorona ya DELTA huwa nayasikia kwenye magazeti na majarida tu. Mtaani hakuna cha DELTA wala bibi yake na DELTA.

Sasa hawa wajuvi wa corona wanasemaje kuhusu hili? Hiyo DELTA iko wapi hasa hapa nchini?

Maana inawezekana mimi niko Buza huku, kumbe hiyo DELTA imejificha njombe!

Wananchi tunavurugwa. Mtaani hatuoni cha DELTA wala nini, lakini usiku kucha Televisheni zote zinazungumzia DELTA.

Which is which? Tuamini TV ama tuamini uhalisia tunaouona mtaani?

Mnatuchanganya mjue?
Kuusema ukweli, huku mtaani hamna mwenye time kama kuna kitu kinaitwa Corona. Huo ndio ukweri (kwa sauti ya nanii).
Mfano mimi nikija huku jf ndio naona ona mambo ya korona.., ila huku street watu hawana habari
 
Hey,

Nawasalimu kwa Jina la Jamuhuri Ya Muungano wa Tanzania.

Hivi majuzi juzi tumesikia taarifa lukuki kuhusu corona. Wengine nimesikia wanasema kwa sasa hili ni wimbi sijui la tatu — Wengine wanaita sijui DELTA kitu gani gani??

Majina yamekuwa mengi kidogo. Kuna DELTA na kuna wimbi.

Kiuhalisia huku Buza nilipo, hatujui hata maana ya corona. Achana na hayo sijui ma-DELTA na manini nini mengine.

Tunajiachia vibaya sana. Hakuna cha barakoa wala sanitaiza. Na tuko fiti ajabu.

Haya makorona ya DELTA huwa nayasikia kwenye magazeti na majarida tu. Mtaani hakuna cha DELTA wala bibi yake na DELTA.

Sasa hawa wajuvi wa corona wanasemaje kuhusu hili? Hiyo DELTA iko wapi hasa hapa nchini?

Maana inawezekana mimi niko Buza huku, kumbe hiyo DELTA imejificha njombe!

Wananchi tunavurugwa. Mtaani hatuoni cha DELTA wala nini, lakini usiku kucha Televisheni zote zinazungumzia DELTA.

Which is which? Tuamini TV ama tuamini uhalisia tunaouona mtaani?

Mnatuchanganya mjue?
Kwa sasa inapiga zaidi viunga vya chato

Sent using Jamii Forums mobile app
 





[emoji115][emoji115][emoji115] Endelee tu kushupaza shingo mkuu ,ipo siku utakuja kuiona NGONDOIGWA.
Kwa hiyo kipindi cha nyuma watu walikua hawafariki, acha uzwazwa.
 
Hey,

Nawasalimu kwa Jina la Jamuhuri Ya Muungano wa Tanzania.

Hivi majuzi juzi tumesikia taarifa lukuki kuhusu corona. Wengine nimesikia wanasema kwa sasa hili ni wimbi sijui la tatu — Wengine wanaita sijui DELTA kitu gani gani??

Majina yamekuwa mengi kidogo. Kuna DELTA na kuna wimbi.

Kiuhalisia huku Buza nilipo, hatujui hata maana ya corona. Achana na hayo sijui ma-DELTA na manini nini mengine.

Tunajiachia vibaya sana. Hakuna cha barakoa wala sanitaiza. Na tuko fiti ajabu.

Haya makorona ya DELTA huwa nayasikia kwenye magazeti na majarida tu. Mtaani hakuna cha DELTA wala bibi yake na DELTA.

Sasa hawa wajuvi wa corona wanasemaje kuhusu hili? Hiyo DELTA iko wapi hasa hapa nchini?

Maana inawezekana mimi niko Buza huku, kumbe hiyo DELTA imejificha njombe!

Wananchi tunavurugwa. Mtaani hatuoni cha DELTA wala nini, lakini usiku kucha Televisheni zote zinazungumzia DELTA.

Which is which? Tuamini TV ama tuamini uhalisia tunaouona mtaani?

Mnatuchanganya mjue?
Hapa nilipo, njoo uione
 
Aiseee yaani hadi mama akawaambia wasaidizi wake tokeni tokeni bado unasema ni suspect?? Uzuri mama afichi anatangaza wazi kwamba hali ni mbaya.
Mkuu si tunazungumzia ile clip? hakuna haja ya kuniona mimi mbishi wewe nenda kaitizame tena ile clip na kusikiliza vizuri, Mama kaambiwa wale ni wenye matatizo ya kupumua ila yeye ndio kataka kuambiwa kuwa ni covid ndipo akajibiwa ndio covid ila jamaa akamalizia kuwa ni suspect.

Mama Samia kama anasema hali mbaya basi ni kwa maneno tu ila vitendo hali ni tofauti ndio maana juzi tu kaenda kuangalia mechi ya simba na yanga, sasa kama hali mbaya hadi tunaona Mitungi ya gesi kama yote inakuaje Rais anaenda kubariki mikusanyiko kama ile ya kwenye mechi ya simba na yanga?
 
Umeshawahi kusikia mtu wako wa karibu amelazwa hospitali kwa tatizo la upumuaji? Nauliza kwa wema tu mkuu...maana na mimi nachanganyikiwa
Kipi kinakuchanganya mkuu?
 
Kwa ajili ya kuwaelimisha MATAGA maana wao bila uthibitisho huwa ni wabishi Sana. Korona iwatembelee tu kama yule Sir God wao mbishi na mjuaji. Kichwa kikadakwa
Kwani nyumbu hawana korona? Au hawapati korona?
 
Back
Top Bottom