Corona imekuja kuumbua uongo wa dini

Hivi hua bado kuna watu wanajadili kuhisu hadithi za mungu na shetani?

Mungu hayupo, kitu kinaitwa mungu hakipo.
 

Wasioamini,kuwa Mungu yupo,watakapokufa watasamehewa kama Yesu alivyomsamehe Thomas
 
Uliwahi kwenda huko wanakosema yupo ukamkosa?
Hiyo sehemu yenyewe unayodai kua yupo, unaweza kuthibitisha ipo?

Utakubali kila kitu utachoambiwa kua ni cha kweli kwasababu huna uwezo wa kwenda kuhakikisha ili ujithitishie ukweli?

Nikikuambia katikati ya jua kuna chupa ya chai ambayo inazunguka, utahitaji kwenda angani ili kuthibitisha hayo madai kua ni kweli?

Utakubali kua chupa hiyo ya chai ipo kweli kati kati ya jua kwasababu huna uwezo wa kwenda huko angani?

It's Scars
 
Wasioamini,kuwa Mungu yupo,watakapokufa watasamehewa kama Yesu alivyomsamehe Thomas
Hizi hadithi zita-make sense ukiwa madhabahuni tu ila sio hapa



It's Scars
 

Sihitaji uvuvio wa chochote

Nahitaji majibu ya maswali yangu

Waislamu na wakristo hawaabudu mungu mmoja na ndio maana wote hao pepo zao zinapingana.

Mungu wa wakristo kaahidi kuimba na kusifu kwa wataofika peponi, wakati Allah kaahidi bikra 72 kwa wataofika peponi

Allah karuhusu wake wanne, Yehova kapiga ban hilo agizo na yeyote atayefanya hivyo basi hataiona pepo.

Mwisho kabisa mimi siabudu Mungu yeyote na wala hakuna sehemu ambayo nimeandika maneno kama hayo

It's Scars
 
Sasa kama wataalamu wanakuambia kua hayo ni matatizo ya akili na sio majini wala mapepo kwa kutumia taaluma zao na vipimo vyao, wewe usiye na taaluma umejuaje kua hayo ni majini?

Unaweza kuthibitisha hilo?


Ndiyo nasema hayo matatizo ya akili(majini/mapepo) tunaona hutibiwa kwa dua na watu hupona au kupata nafuu hapelekwi hospitali.
Unajuje kua watu wanatibiwa kwa dua na sio kua ni mchezo wanaoufanya masheikh ili kuwakamata maboya wakati wenye taaluma zao juu ya hili tatizo walisema sio majini wala mapepo kama ambavyo mnaongopewa?


Kukoswa ngumi ya uso na mwanamke kwenye daladala ndio kunathibitisha kua majini na mapepo ni ugonjwa wa akili?

Sasa kama alikukosa ngumi ya uso lakini bado mawazo yako yamekua mgando kama mtu akiyepigwa na kitu kizito kichwani, vipi kama ile ngumi ingekupata ungekua katika hali gani saizi?

Personal experiences zingine zimekaa ki-wack sana

Hayo ndiyo matatizo nayozungumzia ambayo hayapelekwi milembe wala hospitali zetu hizi.
Thibitisha kwanza hayo magonjwa yanasababishwa na majini/mapepo na sio religion drama

It's Scars
 
Quran21:35 " Kila nafsi itaonja umauti, na tunakujaribuni kwa mitihani ya shari na kheri, na kwetu sisi mtarejea"

Magonjwa kama Corona ni miongoni mwa mambo ya shari tuliyopatiwa walimwengu kama aya inavyoeleza hapo juu, ni katika majaribu ya Allah juu ya viumbe wake, anafanya atakalo juu ya viumbe wake.


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kuhusu maombi ndio tunamuomba sana Mwenyezi Mungu Ili atuondoshee haya maradhi.Kuondosha au kutoondosha ni utashi wake, na kama ataamua kuondosha basi hapangiwi na yoyote muda wa kuondosha huu ugonjwa.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Umejibu swali au ndio umeeleza nini sasa?nini ulichotaka nikielewe kwenye haya maelezo.
 
Point ni tiba ya hayo matatizo,na nimeeleza kuwa dua hutibu hayo matatizo na hatuoni wenye matatizo hayo kupelekwa hospitali.
Na nimezungumzia dua si suala la masheikh maana dua hawaombi masheikh tu.
 
Mwache Mungu aitwe Mungu, na atabaki kuwa Mungu, yeye hujibu kwa wakati wake, Mungu hajaribiwi, ipo siku hizi kauli zako utazitubia mbele za Mungu
 
Acha upotoshaji kijana

Imani ingekua inaponya kama wewe unavyotuaminisha hapa basi tusingeona vatican na mekka wakipiga marufuku watu kwenda kuhiji kwao kwa kuogopa corona wakati wakijua kabisa kua ukiwa na imani unapona

It's Scars
Wangepiga ban kwenda kwa Mungu ndio tungeshangaa.
 
Magonjwa yalikuwepo tangu zamani, kuna gonjwa liliua watu milioni 50 ndani ya miaka miwili, corona cha mtoto
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…