Corona imekuja kuumbua uongo wa dini

Mtu usipokiwa mwangalifu dini ni kama ulevi ...unaweza hata kuteleza familia ukahamia kwenye mwenye kutangaza dini..

Yesu Kristo bwana wetu alionya sana kwamba tuwe waangalifu mno...sababu hao pia wataweza kutumia jina lake na kuponya & kuhamisha milima, kunena kwa lugha nk
 
Makanisa yamekimbiwa sasa huwa tunakusanyika kufanya nini?...
Au ndo tunaendekeza kutojali afya ... Je ni corona tu ndo hatari ktk mikusanyiko?
 
Hawa wanaojiita manabii wanatumia hela zetu kujiwekea mabodigadi na kununua mahammer.
Halafu wakiwa madhabahuni wanatuhubiria uongo

Utaskia "mimi nalindwa na damu ya yesu" wakati huo getini kuna jibwa la kijerumani fensi imewekwa uzio wa umeme mlangoni walinzi halafu ukija ndani unakuta anamiliki bunduki

It's Scars
 
Ona sasa mwingine huyu

Yani matatizo yanayoua ndugu zetu ikiwemo wachungaji na mashehe ndio njia madhubuti ya kuonesha ukuu wa mungu?
Ukweli mchungu
ukweli ni mmoja tu either Mungu yupo, au hayupo. Ikiwa hayupo, wale wanaoamini uwepo wake hawatopata hasara yoyote. Ila kama yupo na yale anayoahidi baada ya kufa yapo , wasioamini watakuwaje? It is just a matter of thinking, ila Mungu yupo haijalishi watu wanakubali au wanapinga!!!
 
mi naamini corona na ukimwi is God invention sasa angalia Dar huko eti wanaume wanajiuza kama wanawake na sehemu nyingine duniani


Sent using Jamii Forums mobile app

Kama ni God invention it would be relocated to all who doing bad shit na sio wengine wasiohusika

Inamaana kwa waliodhurika na huu ugonjwa ambao hawajihusishi na hizo tabia unataka kusema mungu kapiga off target?

It's Scars
 
Uwe unawaza kidogo.
Serikali ndo imekataza hayo mambo.
kwanini kiongozi wa dini aje kupinga?
Wewe kama hauamini kwenye dini endelea kutokuamini.
USIANZE KASHFA KWA VIONGOZI WETU WA DINI...
watu wameachwa kuingia na kutoka alafu leo ugonjwa unaingia utawalaumu viongozi wa dini au MUNGU?
TUPAMBANE NA HALI ZETU.wachawi ni sisi wenyewe.

Sent using Jamii Forums mobile app
 

Hapana

Principle zilikuwepo kabla hata dhana ya mungu haijaumbwa. Principles ndizo zilizopelekea dhana ya mungu kuwepo.


Mungu ni mjuzi wa yote, muweza wa yote na mwenye upendo wote. Hiyo ndiyo principle yake karibia dini zote zinakubalina na hii dhana


Katika huu ulimwengu wenye njaa na magonjwa yasioyotibika pamoja na mabalaa mengine yakutisha huoni kwamba yanapingana na hizi dhana za huyu mungu?

Kwanini mungu hakuumba ulimwengu ambao haupingani na principles zake?

Kama yeye mwenye uwezo wote,ujuzi wote na upendo wote kashindwa kuuweka ulimwengu usipingane na principles zake kwanini aone rahisi kwa sisi kufuata principles alizoziweka ilihali anajua kua sisi ni wadhaifu?

It's Scars
 
Unajuaje kua dini yako hiyo hiyo ya kikristu sio utapeli?



It's Scars
 

Unajibu dhaifu mno

Kwanza mimi sijazungumzia kua hakutakua na maisha baada ya corona

Pili hayo magonjwa yaliyopita na kuua watu hadi ikafikia hatua dawa imepatikana ebu elezea ni kwa namna gani dawa ilipatikana? Ni Kwa njia ya maombi?

Tatu, hiyo dawa ya maleria ilipatikana kwa maombi na jitihada za waumini ndi zilifanya mpaka mseto ukashushwa kutoka juu?

Kama majibu ya hayo maswali yatakua ni negative basi huna haki ya kusema huoni sababu ya mimi kukashfu dini.

It's Scars
 
Inafurahisha mtu ambaye humwamin Mungu kutaka kuhakikishiwa kama yupo .hicho ni kituko kwa sababu step ya kwanza unatakiwa umwamin Mungu yupo nje ya hapo huwez kumwamin wala kumwelewa

Sent using Jamii Forums mobile app
Ukiambiwa dawa ya corona imepatikana na ili ukubali kua inafanya kazi kweli inabidi uamini

Halafu ukaletewa cyanide hapo kua inabidi uamini kwanza kabla haujanywa utakubali?

Je kuamini kwako kutabadilisha chochote kwenye cyanide kua kinga ya corona?

It's Scars
 
Hahaha ila we jamaa bana

It's Scars
 
Makanisa yamekimbiwa sasa huwa tunakusanyika kufanya nini?...
Au ndo tunaendekeza kutojali afya ... Je ni corona tu ndo hatari ktk mikusanyiko?
Tuseme tu ni mengi ambayo ni hatari yanayoweza kutokea kutokana na mikusanyiko

Swali linakuja, unafikiri maombi ndio suluhu ya kuepuka haya matatizo?

It's Scars
 
Mtu kila siku utamsikia anasema "nimeongea na Mungu", sasa huyo Mungu unawasiliana nae ameshindwa kusema chochote kuhusu corona?
Atakuambia mungu anajibu maombi kwa wakati wake

Halafu siku ikatokea wanasayansi wamegundua dawa utamskia "si nilikuambia kua mungu atafanya muujiza basi ule muda ambao mungu aliupanga kujibu maombi yangu ndio huu"

It's Scars
 
Kumbe ww unaona kwamba uwepo wa Mungu ni "dhana"????
Sisi tunaamin kwamba yeye ndo aliyeiumba dunia na principle zake

Sent using Jamii Forums mobile app
 

Kwaiyo wewe unaamini kinafki kwa kudhani kua ukimkuta utanusurika?

Unamuamini mungu yupi?

Vipi kama unamuamini yehova halafu mwisho wa siku ukafa ukakutana na allah utamjibu nini?

It's Scars
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…