Ukiishiwa hoja ndo unakuwa hivi hivi.nashkuru umemaliza mwenyewe.Wewe Wacha ujinga, Qur'an yenyewe inakwambia kuna ilm. Neno la Kwanza lilishushwa ni Soma.
Tatizo lako ni ilm finyu mpaka unaanza kuzuwa. Soma.
Kwanza hayo maneno unahakika gani kua yamesemwa na huyo mungu?
Unajuaje kwamba watu walivyoshindwa kufanya vitu kwa matamanio yao waliamua kutengeneza uongo kupitia udhaifu wao huo kua wameumbwa na mungu thats why waka apply hiyi dhana kwenye vitabu vyao kua mungu kasema kua kaumba kiumbe dhaifu?
Nikijenga hoja hapa kuhusu spiderman na wewe ukiijadili, hiyo itafanya spiderman awepo?
Mungu muweza wa yote, mjuzi wa yote na upendo wote hawezi kuumba kiumbe dhaifu
Kuwepo kwa viumbe dhaifu kunainesha mungu huyu ni hadithi tu wala hayupo kihalisia
Kwanini kutokusema kwake kusihusishwe na sababu ya kutokuwepo kwake?
Vipi kama hajasema kwasababu hayupo?
Na kama vitabu hivyo hivyo vimesema mungu ni mjuzi wa yote, uwezo wote na upendo wote sasa kwanini kiumbe kiwe dhaifu?
Kama unaweza kukubali kuwepo kwa udhaifu wa kiumbe katika ulimwengu ambao mungu mjuzi wa yote, uwezo wote na upendo wote yupo, basi kwa sheria hiyo hiyo tunaweza kukubali kua watu ni dhaifu katika ulimwengu ambao mungu hayupo
It's Scars
Kazi ni utumiaji wa nguvu,juhudi na maarifa katika jambo.Kwanza nini maana ya kazi
Turahisishe mambo
Poa.Hakuna swali jipya ulilouliza sijalijibu
Wewe ni mjingana hili nitaendelea kulisisitiza mpaka utapoonesha nafuuOnyesha sehemu niliyo andika hayo maneno. Kijana nakuonea huruma sana.
Poa.Wewe ni mjingana hili nitaendelea kulisisitiza mpaka utapoonesha nafuu
Nikuoneshe mara ngapi?
Nimekuwekea hadi screenshot hapo ajabu ni kwamba unajitia uchizi kwamba huoni, hii aibu haitakuisha
Ungekua umeyadhoofisha yasingekua yanakusumbua mpaka inafikia wakati unajichanganyaNamaanisha maneno yako niliya dhoofisha lakini bado unarudia, sio kila jambo unatakiwa ubishe kijana, ndio unazidi kuonekana usie jua kujenga hoja bali unakimbia maswali.
Wewe ni heri tu ukae kimya, huna ilm wala elimu.Ukiishiwa hoja ndo unakuwa hivi hivi.nashkuru umemaliza mwenyewe.
Sent using Jamii Forums mobile app
Hakuna cha poa leo sikupi uchochoro wa kukimbia, unajifanya hujui unachokifanyaPoa.
Nikikuambia wewe ni mjinga hua sifanyi joking
Kivipi hayo maneno yawe yangu wakati nimeyatoa katika post yako na hilo nimeliweka wazi kwenye post yangu ambayo umei-quote?
Huoni kwamba maneno hayo nimeyanukuu kwenye post yako
Hii ni dalili mbaya sana umeonesha kukata tamaa na tumaini katika mjadala
Hebu angalia hayo maneno hapa chini ambayo umeyakataa kua sio yako halafu ujione ni kiasi gani we ni tailaView attachment 1398737
It's Scars
Kuwepo kwangu ,kuna tibitisha kuwa MUNGU ndiye kahusika kunileta hadi nikawepo.
PoaUngekua umeyadhoofisha yasingekua yanakusumbua mpaka inafikia wakati unajichanganya
Ile attachment kwenye post yangu inadhihirisha hilo
PoaHakuna cha poa leo sikupi uchochoro wa kukimbia, unajifanya hujui unachokifanya
Hapa chini nimenukuu quote yangu ambayo inadhihirisha uongo wako juu ya kile ulichokidai
Kama haitoshi nilikuwekea attachment ambayo imeonesha ulichokiandika ambacho saizi unapinga kua hukukisema
nakuwekea hapa ushahidi ambao unaonesha umeamua kua mjinga kwa makusudi ili kukwepa maswali yanguKaka naomba nisitishe huu mjadala. Nafanya hivi kwa haya yafuatayo.
1. Hujibu maswali
2. Unarudia kuuliza maswali ambayo umeshajibiwa
3. Hukijui unachokizungumzia
4. Unandika uongo na na kunizulia, kama ulivyo fanya hapa nilipo ku quote, umezusha kwamba nimeyakataa maneno yangu, kitu ambacho sio kweli na huwezi onyesha wapi nimekataa maneno hayo.
5. Umeamua kubisha tu kwa kila jambo huku ukiwa huna hoja kwa lolote na chochote.
Bora kujadiliana na wasomi mia unaweza kuwashinda kwa hoja na mjadala kwenda vizuri, kuliko kujadiliana nq mjinga mmoja, lazima mjinga huyo atashinda tu, sababu yeye hana hoja zaidi ya ubishi.
Kama unajadiliana kwa ajili ya ushindi kaka UMESHINDA. Ila kama unataka kujifunza au utakuja kutaka kujifunza na kujua, chukua elimu niliyo kupa humu kwa kujibu maswalo yako, itakusaidia pakubwa sana, kinyume utaendelea kuwa zwa zwa hivi hivi.
Ahsante.
nimehitimisha hili, kwa mara nyingine tena kwa njia ya kutilia mkazo sababu kiuhalisia huu uzi uliisha tangu siku ya kwanza.
Nipo .....
Unajuaje hayo maandiko ni ya mungu na sio watu wameghani?Mimi nakuthibitishia kuwa Mungu yupo kwa Maandiko,ya Mungu
Lakini wewe unayakwepa
Sasa Nimekuthibitishia kwa Akili ,pia unakwepa na huamini
Sasa Wewe thibitisha kuwa Hii dunia na vilivyomo vimekuwepo bila ya Chanzo?
Kisha utuambie Hicho chanzo nini kama si Mungu?
Tupe na Ushahidi wako wapi umepata Taarifa hizo,maana wewe umri wako ni chini ya miaka 100 na hukuwepo
na Siku chache zijazo hutakuwepo,
Twambie Utakuwa wapi?
Vipi hasa Utaamua mwenyewe kufa au yuko anayeamua?
Lete elimu yako ya Kutokuwepo Muungu ili nasi tukusome?
Ukishindwa haya,
Tutajuwa kuwa wewe una matatizo ya akili, tena hujitambui,wala hujuwi unachohitaji,
Jahannam Ikutoshe kuwa mafikio yako kama hutoamini Ukweli wa Mungu usiopingika ila kwa Wajinga kama.....
jitetetee hapa
Haraka sana. wacha kutuchosha na swali lako Butu.
Kuwepo kwako kunathibitisha baba yako na mama yako ndio waliokuzaa, hakuthibitisha mungu yupoKuwepo kwangu ,kuna tibitisha kuwa MUNGU ndiye kahusika kunileta hadi nikawepo.
Baba na Mama wao wlistarehe ili kusababisha mimi niwepo ,Walimwaga maji ya uzazi tu,lakini aliye nitengeneza kule tumboni kwa mama hadi kuwa kiumbe kamili ,sio wewe wala Shetani,
Huyo ndo Mungu kazi yake na Ushahidi tosha.
Sasa Kosowa hilo kwa hoja zako.
Acha kukimbia Hoja?
Sijibu porojo na mipasho.Wewe ni heri tu ukae kimya, huna ilm wala elimu.