Kwanza hayo maneno unahakika gani kua yamesemwa na huyo mungu?
Unajuaje kwamba watu walivyoshindwa kufanya vitu kwa matamanio yao waliamua kutengeneza uongo kupitia udhaifu wao huo kua wameumbwa na mungu thats why waka apply hiyi dhana kwenye vitabu vyao kua mungu kasema kua kaumba kiumbe dhaifu?
Nikijenga hoja hapa kuhusu spiderman na wewe ukiijadili, hiyo itafanya spiderman awepo?
Mungu muweza wa yote, mjuzi wa yote na upendo wote hawezi kuumba kiumbe dhaifu
Kuwepo kwa viumbe dhaifu kunainesha mungu huyu ni hadithi tu wala hayupo kihalisia
Kwanini kutokusema kwake kusihusishwe na sababu ya kutokuwepo kwake?
Vipi kama hajasema kwasababu hayupo?
Na kama vitabu hivyo hivyo vimesema mungu ni mjuzi wa yote, uwezo wote na upendo wote sasa kwanini kiumbe kiwe dhaifu?
Kama unaweza kukubali kuwepo kwa udhaifu wa kiumbe katika ulimwengu ambao mungu mjuzi wa yote, uwezo wote na upendo wote yupo, basi kwa sheria hiyo hiyo tunaweza kukubali kua watu ni dhaifu katika ulimwengu ambao mungu hayupo
It's Scars