Corona imekuja kuumbua uongo wa dini

Corona imekuja kuumbua uongo wa dini

Sasa wewe unapojenga hoja kuwa huyo Mungu kasema hivi na vile au mjuzi wa yote n.k una uhakika kuwa Mungu kasema mpaka ujenge hoja ?

Kama hauna uhakika kwa nini uzitumie hoja hizo ?

Kwanza hayo maneno unahakika gani kua yamesemwa na huyo mungu?



Unajuaje kwamba watu walivyoshindwa kufanya vitu kwa matamanio yao waliamua kutengeneza uongo kupitia udhaifu wao huo kua wameumbwa na mungu thats why waka apply hiyi dhana kwenye vitabu vyao kua mungu kasema kua kaumba kiumbe dhaifu?


Nikijenga hoja hapa kuhusu spiderman na wewe ukiijadili, hiyo itafanya spiderman awepo?


Mungu muweza wa yote, mjuzi wa yote na upendo wote hawezi kuumba kiumbe dhaifu

Kuwepo kwa viumbe dhaifu kunainesha mungu huyu ni hadithi tu wala hayupo kihalisia



Kwanini kutokusema kwake kusihusishwe na sababu ya kutokuwepo kwake?

Vipi kama hajasema kwasababu hayupo?


Na kama vitabu hivyo hivyo vimesema mungu ni mjuzi wa yote, uwezo wote na upendo wote sasa kwanini kiumbe kiwe dhaifu?

Kama unaweza kukubali kuwepo kwa udhaifu wa kiumbe katika ulimwengu ambao mungu mjuzi wa yote, uwezo wote na upendo wote yupo, basi kwa sheria hiyo hiyo tunaweza kukubali kua watu ni dhaifu katika ulimwengu ambao mungu hayupo

It's Scars

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Sijawahi kukwepa maawali yako kijana,bali wewe ndio unakwepa maswali.

Kuna maswali uliyojibu hata moja katika yale niliyo kuuliza ?

Sasa jibu.
Hakuna swali jipya ulilouliza sijalijibu
 
Onyesha sehemu niliyo andika hayo maneno. Kijana nakuonea huruma sana.
Wewe ni mjingana hili nitaendelea kulisisitiza mpaka utapoonesha nafuu

Nikuoneshe mara ngapi?

Nimekuwekea hadi screenshot hapo ajabu ni kwamba unajitia uchizi kwamba huoni, hii aibu haitakuisha
 
Wewe ni mjingana hili nitaendelea kulisisitiza mpaka utapoonesha nafuu

Nikuoneshe mara ngapi?

Nimekuwekea hadi screenshot hapo ajabu ni kwamba unajitia uchizi kwamba huoni, hii aibu haitakuisha
Poa.
 
Namaanisha maneno yako niliya dhoofisha lakini bado unarudia, sio kila jambo unatakiwa ubishe kijana, ndio unazidi kuonekana usie jua kujenga hoja bali unakimbia maswali.
Ungekua umeyadhoofisha yasingekua yanakusumbua mpaka inafikia wakati unajichanganya

Ile attachment kwenye post yangu inadhihirisha hilo
 
Hakuna cha poa leo sikupi uchochoro wa kukimbia, unajifanya hujui unachokifanya

Hapa chini nimenukuu quote yangu ambayo inadhihirisha uongo wako juu ya kile ulichokidai

Kama haitoshi nilikuwekea attachment ambayo imeonesha ulichokiandika ambacho saizi unapinga kua hukukisema
Nikikuambia wewe ni mjinga hua sifanyi joking

Kivipi hayo maneno yawe yangu wakati nimeyatoa katika post yako na hilo nimeliweka wazi kwenye post yangu ambayo umei-quote?

Huoni kwamba maneno hayo nimeyanukuu kwenye post yako


Hii ni dalili mbaya sana umeonesha kukata tamaa na tumaini katika mjadala


Hebu angalia hayo maneno hapa chini ambayo umeyakataa kua sio yako halafu ujione ni kiasi gani we ni tailaView attachment 1398737

It's Scars
 
Thibitisha mungu yupo

It's Scars
Kuwepo kwangu ,kuna tibitisha kuwa MUNGU ndiye kahusika kunileta hadi nikawepo.
Baba na Mama wao wlistarehe ili kusababisha mimi niwepo ,Walimwaga maji ya uzazi tu,lakini aliye nitengeneza kule tumboni kwa mama hadi kuwa kiumbe kamili ,sio wewe wala Shetani,
Huyo ndo Mungu kazi yake na Ushahidi tosha.
Sasa Kosowa hilo kwa hoja zako.
Acha kukimbia Hoja?
 
Mimi nakuthibitishia kuwa Mungu yupo kwa Maandiko,ya Mungu
Lakini wewe unayakwepa
Sasa Nimekuthibitishia kwa Akili ,pia unakwepa na huamini
Sasa Wewe thibitisha kuwa Hii dunia na vilivyomo vimekuwepo bila ya Chanzo?
Kisha utuambie Hicho chanzo nini kama si Mungu?
Tupe na Ushahidi wako wapi umepata Taarifa hizo,maana wewe umri wako ni chini ya miaka 100 na hukuwepo
na Siku chache zijazo hutakuwepo,
Twambie Utakuwa wapi?
Vipi hasa Utaamua mwenyewe kufa au yuko anayeamua?
Lete elimu yako ya Kutokuwepo Muungu ili nasi tukusome?
Ukishindwa haya,
Tutajuwa kuwa wewe una matatizo ya akili, tena hujitambui,wala hujuwi unachohitaji,
Jahannam Ikutoshe kuwa mafikio yako kama hutoamini Ukweli wa Mungu usiopingika ila kwa Wajinga kama.....
jitetetee hapa
Haraka sana. wacha kutuchosha na swali lako Butu.
 
Hakuna cha poa leo sikupi uchochoro wa kukimbia, unajifanya hujui unachokifanya

Hapa chini nimenukuu quote yangu ambayo inadhihirisha uongo wako juu ya kile ulichokidai

Kama haitoshi nilikuwekea attachment ambayo imeonesha ulichokiandika ambacho saizi unapinga kua hukukisema
Poa
 
Kaka naomba nisitishe huu mjadala. Nafanya hivi kwa haya yafuatayo.

1. Hujibu maswali
2. Unarudia kuuliza maswali ambayo umeshajibiwa
3. Hukijui unachokizungumzia
4. Unandika uongo na na kunizulia, kama ulivyo fanya hapa nilipo ku quote, umezusha kwamba nimeyakataa maneno yangu, kitu ambacho sio kweli na huwezi onyesha wapi nimekataa maneno hayo.
5. Umeamua kubisha tu kwa kila jambo huku ukiwa huna hoja kwa lolote na chochote.

Bora kujadiliana na wasomi mia unaweza kuwashinda kwa hoja na mjadala kwenda vizuri, kuliko kujadiliana nq mjinga mmoja, lazima mjinga huyo atashinda tu, sababu yeye hana hoja zaidi ya ubishi.

Kama unajadiliana kwa ajili ya ushindi kaka UMESHINDA. Ila kama unataka kujifunza au utakuja kutaka kujifunza na kujua, chukua elimu niliyo kupa humu kwa kujibu maswalo yako, itakusaidia pakubwa sana, kinyume utaendelea kuwa zwa zwa hivi hivi.

Ahsante.

nimehitimisha hili, kwa mara nyingine tena kwa njia ya kutilia mkazo sababu kiuhalisia huu uzi uliisha tangu siku ya kwanza.

Nipo .....
nakuwekea hapa ushahidi ambao unaonesha umeamua kua mjinga kwa makusudi ili kukwepa maswali yangu

IMG_20200325_123327_384.JPG


Hapo juu ni picha inayoonesha paragaph yako ya kwanza umekiri kua hayo maneno umeyasema
IMG_20200325_122943_562.JPG


Hapa nikaja kunukuu hayo maneno yako ambayo ulikiri kua umeyasema, lakini ukapinga kua hukuyasema bali mimi ndio niloyasema

Umeona ulivyo mjinga?
IMG_20200325_010632_394.JPG


Hapo juu ni picha inayoonesha maneno yako uliyoyaandika mwenyewe ambayo saizi umeyakataa kua hujayasema bali mimi ndio nimeyasema

Mwisho wa kunukuu

Umeona jinsi gani ambavyo hueleweki kama sigara kali?

Unataka kuhitimisha mjadala kwa kukwepa maswali na kupinga hoja zako mwenyewe??

Njoo upinge na hii
 
Mimi nakuthibitishia kuwa Mungu yupo kwa Maandiko,ya Mungu
Lakini wewe unayakwepa
Sasa Nimekuthibitishia kwa Akili ,pia unakwepa na huamini
Sasa Wewe thibitisha kuwa Hii dunia na vilivyomo vimekuwepo bila ya Chanzo?
Kisha utuambie Hicho chanzo nini kama si Mungu?
Tupe na Ushahidi wako wapi umepata Taarifa hizo,maana wewe umri wako ni chini ya miaka 100 na hukuwepo
na Siku chache zijazo hutakuwepo,
Twambie Utakuwa wapi?
Vipi hasa Utaamua mwenyewe kufa au yuko anayeamua?
Lete elimu yako ya Kutokuwepo Muungu ili nasi tukusome?
Ukishindwa haya,
Tutajuwa kuwa wewe una matatizo ya akili, tena hujitambui,wala hujuwi unachohitaji,
Jahannam Ikutoshe kuwa mafikio yako kama hutoamini Ukweli wa Mungu usiopingika ila kwa Wajinga kama.....
jitetetee hapa
Haraka sana. wacha kutuchosha na swali lako Butu.
Unajuaje hayo maandiko ni ya mungu na sio watu wameghani?
 
Kuwepo kwangu ,kuna tibitisha kuwa MUNGU ndiye kahusika kunileta hadi nikawepo.
Baba na Mama wao wlistarehe ili kusababisha mimi niwepo ,Walimwaga maji ya uzazi tu,lakini aliye nitengeneza kule tumboni kwa mama hadi kuwa kiumbe kamili ,sio wewe wala Shetani,
Huyo ndo Mungu kazi yake na Ushahidi tosha.
Sasa Kosowa hilo kwa hoja zako.
Acha kukimbia Hoja?
Kuwepo kwako kunathibitisha baba yako na mama yako ndio waliokuzaa, hakuthibitisha mungu yupo
 
Back
Top Bottom