Corona imekuja kuumbua uongo wa dini

Corona imekuja kuumbua uongo wa dini

Nacheka sana, swali gani sijajibu kijana, kwanza nimeonyesha maswali yako yote ya uongo. Pili, nikajujibu maswali yako.

Tofautisha kati ya mtazamo wako na uhalisia, kitu unachokifanya wewe ni kutaka mitazamo iwe ukweli huu, ujinga nauona sana kwenu.

Unapoambiwa Allah ni muweza wa kila kitu, maswali yote kuhusu udhaifu ni ya uongo na hayaingii kwake, sasa sababu umezoea kujifariji endelea kujifariji kijana.

Mathalani, Mola wetu amejiharamishia kudhulumu, hili kwake halipo. Kinyume chake hakuna.

Nakukumbusha tu hujajibu maswali, yangu.
Madhaifu yanaegemea kwenye ubaya ambao wewe umesema huyo allah ameuumba. Sasa sioni point ya kukimbia maswali kwa kusema kua madhaifu ni uongo ilihali umekubali kua mabaya haya yameumbwa na mungu

Kwa uwezo wake wote alishindwa kuumba ulimwengu ambao hauruhusu mabaya kuwepo? (Jibu lisiseme kifo ni sifa ya kiumbe maana kwa uwezo wote alionao hakuna lakumshinda)

Hata huo udhaifu ambao leo hii tunaujadiri inamaana alishindwa kuumba ulimwengu usio na udhaifu?

Kama hafi basi si muweza wa yote kwasababu kuna mambo hayawezi kuyafanya yako nje ya uwezo wake

Kwa uwezo wake wote alionao anaweza kujiua?
 
Poleni na majukumu ya hapa na pale sasa na kale yanayowafanya msilale, niende moja kwa moja kwenye mada husika.

Kama kweli maombi yanafanya kazi kwa namna ambayo tunaaminishwa, kwanini viongozi wa dini wameungana kutekeleza agizo la kuvunja mirundamano ikiwemo mijumuiko ya kiibada ili kuikwepa korona?

Kama walifanya maombi kwa lengo la kuizuia corona isiingie nchini, lakini tunaona corona imeingia, nini kinachokufanya uwaamini kua maombi ya sasa wanayojipanga kuyafanya yataitokomeza corona mazima?

Haya mambo probably si magumu ila ugumu tunauweka sisi kwa kuweka mizaha kwa kutumia kivuli cha dini.

Hivi mfano hawa madaktari wetu na sekta ya afya kiujumla wangejumuika kwenye maombi kwa kuamini kwamba maombi ni njia madhubuti ya kutatua matatizo kama haya katika kila janga la ugonjwa. Kama ambavyo watu wa dini wamekua wakituhimiza kufanya, je tungefanikisha kutibu gonjwa lipi kwa maombi?

Ngoma inaingia tanzania wabongo tulijitia wachamungu sana kua tumepewa mamlaka ya kukanyaga nyoka na n'ge hivyo ukimwi kwetu sio tishio.

Lakini tunachokiona mpaka saizi mapasta na masheikh wanachukua vidonge kwa siri sana. Lakini pamoja na hayo hatuwaoni wakijisalimisha kua wameshindwa kudhibiti ukimwi kwa maombi yao.

Mungu ambaye tunamtolea sadaka kila siku halafu katika matatizo kama haya kajichimbia tu wala hatuoni juhudi zake, huyu si mungu wakuabudiwa. Ni sawa na rafiki mnafki ambaye kwenye matanuzi mkiwa viwanja mnakua naye karibu sana halafu ikatokea siku umeishiwa anakukimbia.

Wahubiri wanahubiri huku wamevaa face mask at the same time wanasema damu ya Yesu ni tiba ya kila kitu. What a joke but I ain't laughing?

Tunaambiwa ukiwa na imani waweza kuamisha hadi milima lakini sikutegemea kuona vatican, mekka ziwe kipaumbele kukataza watu wasiende kwao kwa hofu ya korona.

Mungu muweza wa yote yuko wapi mbona kawasusia msala madaktari wetu halafu yeye amesizi tu eti mpaka aamshwe kwa maombi?

Kwanini Mungu mjuzi wa yote na muweza wa yote ahitaji maombi?

Mbona kwenye zile hadithi za gharika na sodoma na gomora huyu mungu ali-respond haraka sana kwanini asifanye hivyo kwenye janga hili linalomaliza ndugu zetu na kudhoofisha hali ya uchumi wetu?

Hivi kweli Mungu huyu yupo kweli? Maana viongozi wetu wa dini nao wanaathirika mpaka inafikia hatua italy makanisa yameshehena maiti inamaana yeye haoni?

Kwanini Mungu ahitaji maombi yetu ili aweze ku-solve matatizo yetu, ilihali anaelewa hitaji la moyo wetu hata kabla hatujasema?

====

Chukua tahadhari kwa kufuata angalizo lililotolewa na mamlaka ya afya Corona haidhibitiwi kwa maombi bali kwa kuepuka makatazo ambayo yameainishwa na shirika la afya
Personally i dont believe in Holy spirit, naamini katika Nature, siamini mtu anaweza pona ugonjwa wowote kwa MAOMBI, there must be scientific procedures involvement. In Africa dini zililetwa tu, na watu kua na uwezo mdogo wa kufikiri wakaamini Mazima. The Universe is under natural control, anything happens is a way forward to balance The ecosystem. Iam a scientist and An expert in DNA and evolution matters.
Corona virus is just like other dangerous virus, and its the product of Evolution as acording to genomic studies. Nawapa pole wale wanaoamini maombi yanaponya chochote kile, Saizi hadi Mapasta wamesanda. Unaenda muomba Mungu ambae anajua nini anafanya. Acha tunaoamini katika Nature tuonekane wenye dhambi ambazo zimeandikwa kwenye vitabu vitakatifu na watu kama mimi tu walio kaa wakaamua kuandika ili kucontrol dunia.


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Naona unarudia kosa lile lile, ametakasika na hilo. Ndio maana uliulizwa na nilikuuliza ubaya umeujuaje ?

Hujibu, kuhusu kuchagua haya ni maamuzi, tu mzee, na huwa siachi kitu.
Hujajibu swali, sijauliza kama allah ametakasika au lah

Nauliza kama allah hana sifa ya ubaya unakubali kwa sifa hiyo hawezi kuumba ubaya?

Halafu unakimbia maswali, haya maswali hujayajibu

Kwa uwezo wake wote alishindwa kuumba ulimwengu ambao hauruhusu mabaya kuwepo? (Jibu lisiseme kifo ni sifa ya kiumbe maana kwa uwezo wote alionao hakuna lakumshinda)

Kama hafi basi si muweza wa yote kwasababu kuna mambo hayawezi kuyafanya yako nje ya uwezo wake

Kwa uwezo wake wote alionao anaweza kujiua?
 
Personally i dont believe in Holy spirit, naamini katika Nature, siamini mtu anaweza pona ugonjwa wowote kwa MAOMBI, there must be scientific procedures involvement. In Africa dini zililetwa tu, na watu kua na uwezo mdogo wa kufikiri wakaamini Mazima. The Universe is under natural control, anything happens is a way forward to balance The ecosystem. Iam a scientist and An expert in DNA and evolution matters.
Corona virus is just like other dangerous virus, and its the product of Evolution as acording to genomic studies. Nawapa pole wale wanaoamini maombi yanaponya chochote kile, Saizi hadi Mapasta wamesanda. Unaenda muomba Mungu ambae anajua nini anafanya. Acha tunaoamini katika Nature tuonekane wenye dhambi ambazo zimeandikwa kwenye vitabu vitakatifu na watu kama mimi tu walio kaa wakaamua kuandika ili kucontrol dunia.


Sent using Jamii Forums mobile app
manabii wa jf watakuja kupinga ukweli huu
 
Huyo Mungu unaye muhubiri wewe mbona ni wa kufikirika zaidi?
Mungu wa Upendo anayejuwa yote,asiyeleta mabaya ila mema tu.
Je wewe wamjuwa huyo?
Tutajie basi ni yupi huyo?
Mthibitishe kwanza ndio tuanze kumjadili hapa
 
ungu Huumba apendavyo yeye, sio kwa utakavyo wewe kiumbe.
Kawaida binadamu hupenda apatwe na kheri tuu, lakini huo si katika mpango wake muumba.
Lakini Muundo wa Mungu una hekima kubwa Usio ijuwa wewe (Usie na Imani wala Nuru ya kuyajua hayo)
Jisomee Qur-an ufunguke macho ,falsafa itakuzamisha shimoni,na ukifa ndo kuna maisha mengine.
Namimi nahoji sio kwa utakavyo wewe nahoji kwa namna ambavyo uhalisia auendani na nilichoambiwa

Thibitisha allah yupo
 
Personally i dont believe in Holy spirit, naamini katika Nature, siamini mtu anaweza pona ugonjwa wowote kwa MAOMBI, there must be scientific procedures involvement. In Africa dini zililetwa tu, na watu kua na uwezo mdogo wa kufikiri wakaamini Mazima. The Universe is under natural control, anything happens is a way forward to balance The ecosystem. Iam a scientist and An expert in DNA and evolution matters.
Corona virus is just like other dangerous virus, and its the product of Evolution as acording to genomic studies. Nawapa pole wale wanaoamini maombi yanaponya chochote kile, Saizi hadi Mapasta wamesanda. Unaenda muomba Mungu ambae anajua nini anafanya. Acha tunaoamini katika Nature tuonekane wenye dhambi ambazo zimeandikwa kwenye vitabu vitakatifu na watu kama mimi tu walio kaa wakaamua kuandika ili kucontrol dunia.


Sent using Jamii Forums mobile app


You've nailed it pretty well.....jinywee beer nakuja lipa.
 
Ahaa kumbe NATURE ndio inayofanya mvua inyeshe,na jua litoke asubuhi na jioni kuzama?
Ok basi na Corona ni Nature ikiwa wewe unamuamni Mungu nature kuwa ndiye anayeotesha mimea na kupevusha matunda ,na wakati mwingine kuleta nzige,ili watie hasara kwenye mazao.
Ok. Kwa hiyo nature inalete MAZURI na MABAYA SIYO?
sasa jibu swali
Nani kaumba Nature?
 
Ahaa kumbe NATURE ndio inayofanya mvua inyeshe,na jua litoke asubuhi na jioni kuzama?
Ok basi na Corona ni Nature ikiwa wewe unamuamni Mungu nature kuwa ndiye anayeotesha mimea na kupevusha matunda ,na wakati mwingine kuleta nzige,ili watie hasara kwenye mazao.
Ok. Kwa hiyo nature inalete MAZURI na MABAYA SIYO?
sasa jibu swali
Nani kaumba Nature?
Nani kasema anaamini mungu nature?
 
Jangwani kuna mvua inayonyesha hadi inakera?

Hujui mazingira rafiki yanayopaswa kutunzwa ili mvua zinyeshe na kuepuka ukame?

Hakuna anayefanya hiyo ni nature ya ulimwengu, na ndio maana tunasisitiziwa kutokata miti hovyo hatuambiwi tusali mungu ili mvua inyeshe
Umetaja hapa kuwa NATURE INAHUKUMU MATOKEO YA DUNIA
SASAsema Nature ni nini?
na Nai kaiumba NATURE?
 
Hujajibu swali, sijauliza kama allah ametakasika au lah

Nauliza kama allah hana sifa ya ubaya unakubali kwa sifa hiyo hawezi kuumba ubaya?

Halafu unakimbia maswali, haya maswali hujayajibu

Kwa uwezo wake wote alishindwa kuumba ulimwengu ambao hauruhusu mabaya kuwepo? (Jibu lisiseme kifo ni sifa ya kiumbe maana kwa uwezo wote alionao hakuna lakumshinda)

Kama hafi basi si muweza wa yote kwasababu kuna mambo hayawezi kuyafanya yako nje ya uwezo wake

Kwa uwezo wake wote alionao anaweza kujiua?
Allah hana sifa ya ubaya hili nimekujibu kitambo,wala haumbi ubaya.
 
Madhaifu yanaegemea kwenye ubaya ambao wewe umesema huyo allah ameuumba. Sasa sioni point ya kukimbia maswali kwa kusema kua madhaifu ni uongo ilihali umekubali kua mabaya haya yameumbwa na mungu

Kwa uwezo wake wote alishindwa kuumba ulimwengu ambao hauruhusu mabaya kuwepo? (Jibu lisiseme kifo ni sifa ya kiumbe maana kwa uwezo wote alionao hakuna lakumshinda)

Hata huo udhaifu ambao leo hii tunaujadiri inamaana alishindwa kuumba ulimwengu usio na udhaifu?

Kama hafi basi si muweza wa yote kwasababu kuna mambo hayawezi kuyafanya yako nje ya uwezo wake

Kwa uwezo wake wote alionao anaweza kujiua?
Jaribu kuwa una unajibu maswali yangu, ili uepushe kukosea kosea.
 
Binadamu ni wepesi kukata tamaa kwa kuwa akili zao na maarifa ni madogo. Ndio maana ni wepesi kutokuamini Mungu kwa sabubu unataka unachoomba kitokee hapo hapo Lakini Mungu anatufahamu kabla hata hatujamuomba nia zetu,sababu zetu,fikra zetu. Wana wa israeli walikaa jangwani miaka mingi wakimuomba Mungu mpaka walipojibiwa maombi yao. Leo sisi wenye imani haba tunataka tuombe kwa siku moja tujibiwe!! Je tunayaishi yale Mungu anayotaka tuyaishi? Tukumbuke maombi hayaji bila wajibu. Tukumbuke Tunawajibu kabla maombi hayajajibiwa.
 
Back
Top Bottom