johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 97,869
- 171,716
Nitoe tu ombi kwa kamati ya kudhibiti corona iliyo chini ya ofisi ya waziri mkuu kwamba ikiwapendeza wavifungie vilabu vya pombe za kienyeji.
Kwa mfano kwenye vilabu vya mbege, komoni au Ulanzi walevi hunywa kwa kuchangia bilauri ya kunywea na hivyo kupokezana mara kwa mara kwa kutumia mikono.
Nadhani DC Kasesela na Ole Sabaya mkifanya utafiti mdogo katika wilaya zenu mtakubaliana na mimi na hivyo kwa pamoja tuishauri kamati.
Niendelee kuwatakia Kwaresma yenye baraka!
Kwa mfano kwenye vilabu vya mbege, komoni au Ulanzi walevi hunywa kwa kuchangia bilauri ya kunywea na hivyo kupokezana mara kwa mara kwa kutumia mikono.
Nadhani DC Kasesela na Ole Sabaya mkifanya utafiti mdogo katika wilaya zenu mtakubaliana na mimi na hivyo kwa pamoja tuishauri kamati.
Niendelee kuwatakia Kwaresma yenye baraka!