Corona Virus: Tanzania yathibitisha kuwa na mgonjwa wa kwanza, ni raia wa Tanzania, aliwasili kutoka Ubelgiji

We aren't serious! Ukinawaga mikono kishaa ukashikiaga kikapu ile ile unakua umefanyanga Nini?

Don't make a promise you can't fulfill...
 
Taarifa ya Ummy ina kasoro na haijitoshelezi, au kuna upindishaji wa maksudi.

Mgonjwa aliingia nchini, akapimwa joto uwanja wa ndege KIA akaonekana yupo vizuri, akaruhusiwa kuondoka, tena bila ya maelekezo yoyote ya kumfuatilia.

Mgonjwa, hakupokelewa na ndugu au jamaa yeyote hapo uwanjani, kwa hiyo kaamua mwenyewe kwenda hotelini? Alisafiri vipi toka hapo uwanja wa ndege hadi hotelini?

Utashi wake mwenyewe, akaamua akae hapo hotelini, huenda kwa kujishuku kuwa anao ugonjwa.
Kwa nini alijishuku. Taarifa hii aliwaeleza watu wa hapo uwanja wa ndege?

Akiwa kajiweka karantini, palikuwepo na tahadhari ya kutoeneza ugonjwa kwa wahudumu hapo hotelini?
Hawa waliomhudumia katika maeneo yote haya, dereva na hotelini wamekwishatambulika na kupimwa kama hawakuambukizwa?

Alipotoka hotelini kwenda hospitali, hapakuwepo na uwezekano wa kueneza ugonjwa?

Wizara imefanya juhudi zipi kuwatafuta watu aliokaribiana nao toka kwenye ndege hadi alipokwenda hospitali. Hawa hawawezi kuwa nao sasa wanaeneza ugonjwa huko mitaani?
 
UZEMBE + MZAHA + KUTOKUJALI ...KAMA KIPIMO KINAWEZA KUONYESHA MTU MZIMA ILIHALI NI MGONJWA BASI WENGI WAMEPITA AIRPORT NA WAKO MITAANI/ NA INAKUWAJE MGONJWA YUKO ARUSHA MPAKA SAMPULI ZITUMWE DAR? NIONAVYO SASA TUMEKWISHA

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hakuna vaccination na watu wengi hawajawahi kuugua huu ugonjwa kwa hiyo hakuna kabisa herd immunity. Watu vichwa ngumu wakileta kiburi kwenye hili, nawambieni na wao watakwenda na maji. Iran na Australia, wabunge na mawaziri wameupata.
 
Duh...!.
P
 
Yes hili linawezekana sio wengine wanavyoandika wanafikiri nchi ni kama kuongoza familia ya mke aliyeishia la saba na mtoto wa miezi mitatu.
So ulivyosikia kufunga mipaka akili yako ilikuwa inawaza kufukuza watu wote hata raia wa nchi?
Unatumia Nini kufikiri? Mbona akili nyepesi kabisa kuwa unapofunga mipaka maana yake aliyeenda kuzurura akirudi awe tayari kuswekwa karantini

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…