#COVID19 Coronavirus: Fahamu kiundani kuhusu Virusi hivi | Usambaaji, Dalili na Kinga

#COVID19 Coronavirus: Fahamu kiundani kuhusu Virusi hivi | Usambaaji, Dalili na Kinga

Status
Not open for further replies.
Je huna uhakika wa kupona?.

COVID-19 ni hatari sana lakini kwenye joto vidudu vina kufa haraka. Hivyo Watanzania no panic lakini kula kwa mama nitilie au kula kwa kutumia mikono au kukaa kwenye msongamano ni hatari sana.
 
More pitia hapo. Majibu ya maswali 10 yanayoulizwa sana kuhusu coronavirus
Screenshot_20200317-231049~2.jpeg
 

Attachments

  • Screenshot_20200317-231049.jpeg
    Screenshot_20200317-231049.jpeg
    43.1 KB · Views: 1
Mimi shida yangu ni hizi mask wabongo wataanza kuazimana, utasikia shosti niazime nifike Kariakoo kuna mzigo wa madera umeshuka.

Sent using Jamii Forums mobile app
Na elimu inahitajika kweli,

Hizo mask wanatakiwa wavae waathirika tu au watu wanaouguza waathirika na inatakiwa ivaliwe mara moja tu kwa mtu mmoja which means that ukiitoa hutakiwi kuirudisha tena usoni
masks-2-1.jpeg
masks-6.jpeg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kondom zenyewe huko bush enzi hizo mtu akimaliza kuitumia anaifua anaanika juani then anamuazimisha jirani yake.
 
Nimepata kutembelea tovuti ya Wizara ya Afya asubuhi hii nimeshangazwa na kusikitishwa kwa kutoona habari za Coronavirus.

Watanzania wa leo sio wajinga sana. Wizara ilitakiwa iwe mstari wa mbele katika kuwaelimisha wananchi kwa kutoa Elimu kupitia tovuti yake kuhusiana na ugonjwa huu hatari.

Hivi ni kweli mpaka leo Wizara ya Afya mnashindwa kuweka kwenye tovuti yenu elimu kwa wananchi kuhusiana na ugonjwa huu hatari wa Corona.

Hili suala kweli mnatakiwa muwajibike, sishangai mpaka leo nchi yenye watu zaidi ya milioni 50 mna kituo kimoja tu cha ku-test Coronavirus.

Kwa ukubwa wa nchi yetu mlitakiwa muwe na zaidi ya vituo kumi kwa ajili ya ku-test corona. Je, vifaa halisi vipo kama vile protective mask, gloves, na protective clothes.

MUNGU IBARIKI TANZANIA
 
Coronavirus: Know what happens inside the body when a person gets this virus
15 March 2020
Distribute this information to Facebook Distribute this WhatsApp information Distribute this information Messenger Share your partner

Coronavirus occurred in December last year but already the whole world is responding to the Covid-19 epidemic.

For many the disease is manifested as a moderate strength but some people die.

But how does this virus affect the body, why do some people die and how is it treated?

The duration of incubation of the virus Corona

This is the period in which the virus strengthens itself in the body.

The Russian invades the cells that make up the body and kidnaps it.

Coronavirus, also known as Sars-CoV-2, can invade your body when you breathe after a person with the virus coughs or touches the infected area and touches your face.

First it infects the cells in your throat, respiratory tract and lungs and transforms them into a component of the corona virus, producing many new viruses that are going to infect more cells.

At this point, you will still be ill and there are some people who do not even show any symptoms at all.

This period of virus transmission, the time between the infection and the first symptoms to appear, varies widely but on average it is five days.

When the power of the Corona is moderate

A large number of people are experiencing this level of corona virus

Covid-19 is an infection in people between eight and ten and its symptoms are less severe and the main symptoms are heat and coughing.

The body is aching, throat swelling and headache all are possible but these symptoms do not necessarily occur in this way.

Being hot and feeling bad in general is because the immune system is fighting the infection.

This means that the body has been diagnosed with a virus and is an indication that something is wrong in your body by releasing cytokines in English from some of the immune system cells that infect other cells.

They keep the immune system from returning to its normal state but also cause the body to ache, get swelling and fever.

The coronvirus cough is initially dry and probably this is because of the cells that become inflamed after getting infected.

Some people will eventually start to release the virus-infected cells in the lungs.

Symptoms are treated in a person who is well rested, drinking plenty of water and taking herbal remedies. You do not need special treatment at the hospital.

This action will last for about a week - a step that many find effective because the immune system is immune to the virus.

However after the strike, some people become more depressed and show severe symptoms of Covid 19.

So far, this is the best known to happen at this stage, although there are some studies showing that the disease can cause more flu symptoms such as having flu.

What happens to the body when the person is in a worse situation

If this disease persists then it will be because of the immune system to use more force in dealing with the corona virus.

The chemicals released into the body cause inflammation, and this also depends on the level of the reaction. Inflammation can cause severe damage to the body.

"This Russian causes a lack of balance when the immune system is resistant to the virus, there is a great deal of inflammation but how it is done is still unknown," said Dr Nathalie MacDermott, from King College London.

CopyrightSPLimage
Image caption
Lungs infected with corona virus and showing areas containing pneumonia
Lungs are known as pneumonia

If it were possible for a person to travel through the mouth then he would reach the lungs and eventually end up in small air bags.

This is where oxygen goes into the bloodstream as carbon dioxide comes out, but with pneumonia small air sacs begin to fill with water and eventually cause difficulty in breathing or inability to breathe completely.

Some people need ventilation to help them breathe.

This measure is said to affect 14 percent of the population according to data from China.

Corona disease when in danger

It is estimated that 6% of cases of the disease are in the worst case.

Up to this point, the body begins to fail to deal with Corona virus and to increase one's risk of death.

The immune system is now beginning to lose its functioning and causing physical harm.

It can also cause heart attacks when blood pressure drops to the lowest levels and organs stop working and eventually fail.

Here you have severe respiratory problems caused by lung edema and make the body lack the oxygen needed to breathe. This condition can cause the kidneys to stop functioning from purifying the blood and damaging the digestive tract.

"The Russian will have caused a great deal of inflammation and anytime it can die ... because many organs will now be unable to function," Dr Bharat Pankhania said.

And if the immune system fails to stay strong while dealing with the virus, the virus will eventually spread to every part of the body and cause serious harm.

Copyright copyrightGETTY IMAGES
Image caption The
patient is treated using an ECMO machine that injects oxygen into the blood and travels to other parts of the body such as the heart.
Treatment at this stage, the virus will be very high and you may need to be treated with a blood pump to other areas of the spine such as ECMO.

This is an alternative that pushes blood out of your body through a thick vein and inhales oxygen and returns the blood to the body.

But eventually these effects can lead to death at a time when organs will be unable to fully control your body.

The first death

Doctors have described how some patients died despite the fact that their immune system was struggling to fight the virus completely.

The first two patients who died at Jinyintan hospital in Wuhan, China, according to the Lancet's medical journal, were in good condition despite being a long-time smoker and that resulted in debilitating lung edema.

When the first man, 61, was hospitalized he was already suffering from pneumonia.

She had difficulty breathing and despite being placed on a ventilator, her lungs failed to function and her heart stopped beating.

The man died on the 11th day after he was taken to hospital.

The second patient, 69, a man also had respiratory problems.

She was inserted into the ECMO blood pumping machine but this did not help.

He died of pneumonia and suffered a heart attack when his blood pressure dropped.
 
Habari WanaJF,

kuna barua nimeona nivyema nika share nanyi humu ili tupate kumakinika vizuri kuhusu Majanga wanayopitia wenzetu Ambao tayari Corona ishalazimisha nchi zao kuwaweka watu Quarantine...

Anaomba watu wajiandae mapema.

Kwanza watu wasidharau Wala kuleta Utani na Corona...watu wachukue tahadhari za mapema...

Mwisho na muhimu tujiandae kwa uwezekano wa Quarantine nchi nzima.

Italy wanakufa watu 200 kila siku sio kwa sababu Italy haina madawa bali nikwasababu wengine hawana sehemu ya kujihifadhi...polisi wanazurura na kukamata kila anayekutwa mitaani...

Mambo yanaezakuwa magumu...tuombeeni kwetu yasifikie yalikofikia huko China na Italy...


A letter from Italy,
peace for all,

We live in Italy - Milan,
I'm going to share with you and explain to you, "How is life here in Milan" during these difficult days and how do I think you should learn from the mistakes and their consequences that we live here.

We are currently in quarantine. We don't take to the streets, the police are in constant motion and arrest anyone outside his home.

Everything is closed! ... business, malls, stores, all streets without movement.
Feeling of the end of the world !!

Italy, the country of living life, is transformed from one moment to the next as if it were a dark country of war.

It is a fact that I never thought I would ever live! People are confused, sad, anxious and helpless, and often do not understand how this reality was imposed on them and when this whole nightmare will end.

The big mistake was that at the start of the first hit people continued to lead their lives as usual and took to the streets for work, entertainment and feeling like a vacation period, so gatherings with friends and banquets abound.

Everyone was wrong and so were you! I beg you, be careful, this is neither a laugh nor a joke.

Protect your loved ones, your parents, and your grandparents! The disease is dangerous for them.

About 200 people die here every day, not because medicine in Milan is not good (it's one of the best in the world), but rather because there are no places for everyone!

Doctors choose who will die! This is only because of the silliness of the citizens at the beginning, who decided to continue their lives as usual, regardless of the new situation!

Please, learn from the mistakes, we are a small country that could end up with a great tragedy.
Listen well now ,,, 🙏
Don't go out into crowded places.
Try not to eat in public places.
Stay longer at home during this time!
Listen to the Ministry of Health guidelines (don't play it!).
Talk about a meter away from each person, do not come close, do not cuddle or accept.

Get a complementary and preventive treatment and learn from others' mistakes.
We recommend that you take vitamin C to boost your immune system.
Helping professionals prevent the spread of the epidemic...

In Italy, the entire country is isolated, meaning 60 million people in quarantine !!
This would have been prevented if people had heard the instructions from the beginning.

Take care of yourself and the life of the one you love ❤❤
 
Habari wanajamvi,

Naomba nieleze tofauti ya hivi vitu viwili na matumizi yake, ili viwe kwa manufaa kwetu sote na visituletee madhara! (ikumbukwe hapa nazungumzia Dettol Handwas sio Dettol Sanitizer)

Kwanza naomba ieleweke Dettol Handwash (antibacterial) ni dawa inayoua vijidudu (germs, bacteria) effectively by 99%, sawa kabisa na Sanitizer!

Je, nini tofauti ya hivi vitu viwili na je, matumizi yake ni sawa?

DETTOL (Au antiseptic yoyote)
Matumizi ya Dettol lazima yaendane na matumizi ya maji. Kifupi, osha mikono yako kwa maji yanayotiririka, kisha unatumia Dettol kidogo kusafisha/fikicha mikono (Rub) kisha tumia maji kuondoa yale mapovu yaliyotokana na kufikicha mikono yako.

SANITIZER
Sanitizer kwanza inafanya kazi same kama Dettol, lakini yenyewe inatumika sehemu ambazo hakuna maji, yenyewe ukiiweka kidogo kiganjani unafikicha mikono (angalau sekunde 20 ), na automatically utakuta imepotea yenyewe, tofauti na Dettol ukifikicha na maji itatengeneza kama povu.

Sasa zingatia:

1. DETTOL na SANITIZER zinafanyakazi sawasawa
2. Unaputumia Dettol kumbuka kutumia maji maana usipotumia maji inaweza kukuletea madhara ukila kwa mikono hiyo au inaweza kubabua mikono.
 
Hold JF wadau.

Tumevamiwa, narudia tumevamiwa na kirusi hatari kiitwacho corona. Naomba mlio karibu na duru za seikali au vyombo vya habari tujuzane vituo vya kutibu washukiwa au wagonjwa wa corona. Hii ni ktk ngazi ya mikoa na wilaya.

Pia tupia tetesi za maabara kwa mikoa na wilaya tofauti na sasa ambapo kipimo cha uhakika kipo Dar es salaam.

Ahsanteni.
 
Wakuu habari,

Nashauri serikali ione ulazima wa kuongeza vituo vya upimaji Corona katika mikoa niliyotaja tofauti na ilivyo sasa ambapo sample lazima ipelekwe Dar es Salaam.

Hii itasaidia sana jamii kupata majibu kwa wakati sahihi.

Ni hayo tu
 
Kwa huu ujinga unaoendelea hapa Tanzania wale wanafunzi wa China waliorudi kutoka China wanatamani warudi China maana hapa kwetu hakuna jitihada zozote zinazotolewa na serikali ikiwa ni pamoja na kuzuia safari safari safari zote za ndege.
 
Watanzania tusikae tunaskilizia tu nyumbani na kujifungia vyumbani tunatakiwa pia tumrudie Mungu tumuombe kwani kwa wote wenye imani tunajua Mungu hashindwi na kitu.

Tusikae tunaskilizia wazungu wapate Chanjo, wakishapata watatucheka. Kumbuken wao ni Wapagani, so watauliza Mungu wenu aliwasaidia nini.

Inatakiwa sisi tusali sana ili kupitia dua zetu wao wapate dawa.

Note hii ni kwa wenye kuamini Mungu tu.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Watatucheka na kuuliza mungu wenu aliwasaidia nini. (SAWA).

Wakati huohuo unataka tusali ili hao wapagani wapate chanjo kupitia maombi yetu.

Kwa mkanganyiko huu wa uandishi utaweza kuomba kweli ukaeleweka hata kwa Mungu?.
 
Kule iran wanalamba madhabahu na kuondoka na Chinese virus (Trump tuned name)
Huoni ibada nayo ni hatari tu!!?
 
Doctors choose who will die! This is only because of the silliness of the citizens at the beginning, who decided to continue their lives as usual, regardless of the new situation!

About 200 people die here every day, not because medicine in Milan is not good (it's one of the best in the world), but rather because there are no places for everyone!
pamenitish hapo.
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom