Ndo anauliza:, Mungu kashindwa kuzuia hiyo kitu kwa waje wake?.Wewe ni mwendawazimu..
Corona ni virus mungu anapenda viumbe wote
Tunamtaka ajibu kwa uzuri tu maana ya kuthibitisha ni nini?Jua kuangaza dunia ni kwa uwezo wa mungu
Watu kwenda vatican ni kwa uwezo wa mungu
Watu kwenda saudi arabia ni kwa uwezo wa mungu
Watu
unajua kiranga anafeli sana yaan anataka mtu uje na maandishi mengi ndio umethibitisha
Kafumba macho kaona giza
Kafumbua macho kaona nyota
Namuuliza kwanin lile giza aliloliona wakati kafumba macho hajaliona angani??
Anabaki anasema ni maswali ya kipuuzi
Yaan na maana kama hakuna mungu kwa uwezo wa binadamu unaweza kulizuia giza? Je uweza kuzivuta nyota angani??
Najua sana kuchukua tahadhari kwa ki binadamu sio vibayaNdo anauliza:, Mungu kashindwa kuzuia hiyo kitu kwa waje wake?.
hivi unajua uzito wa Sara kweli?.
kwanini Mungu asizuie ili waje wake wafanye Ibada?
Sent using Jamii Forums mobile app
Huyu Mungu unaemuaanisha katika huu uzi sio yule mwenye upendo wote na ujuzi wote.Sio alishindwa MUNGU HAJAWAHI KUSHINDWA mungu ni muweza wa kila kitu ndio maana hivyo virusi kaviumba na kavileta uwazacho wewe si SAWA na mawazo ya mungu wewe ni binadamu tu
Kwahiyo utajiuliza vitu ambavyo huwezi kujijibu
Mungu kaumba dunia sio kwamba ndio anakupenda laa
Suala la Kukupenda itabidi wewe umnyenyekee muda wote mungu ameumba vitu vingi sana na kadunia chetu ni kama mfano wa punje ya mchanga katika kifusi
Mungu anavitu vingi sana
Juhudi zako za kumuomba ndio zitafanya akupe baraka. Mfano saudi arabia wamezuia safari za umra wameonyesha kitu na mungu sio kukaa unasubiria mungu akutendee hiyo haipo... mungu haitaji chochote kwako ila wewe ndio unahitaji kitu kwa mungu..elewa bro ficha ujinga
Ulikuwa unashauri angeuzuia kwa namna ipi?Ndo anauliza:, Mungu kashindwa kuzuia hiyo kitu kwa waje wake?.
hivi unajua uzito wa Sala kweli?.
kwanini Mungu asizuie ili waja wake wafanye Ibada?
Sent using Jamii Forums mobile app
Kwani kilicho na faida kwa huyu ni lazima kiwe na faida kwa yule?Huyu Mungu unaemuaanisha katika huu uzi sio yule mwenye upendo wote na ujuzi wote.
Mungu anafaidika nini kuwaumbia viumbe wake Corona?.
Sent using Jamii Forums mobile app
Kwanza kabisa ulinassume nikiangakia juu nitaliona jua, wakati huku nilipo ni usiku.Jua kuangaza dunia ni kwa uwezo wa mungu
Watu kwenda vatican ni kwa uwezo wa mungu
Watu kwenda saudi arabia ni kwa uwezo wa mungu
Watu
unajua kiranga anafeli sana yaan anataka mtu uje na maandishi mengi ndio umethibitisha
Kafumba macho kaona giza
Kafumbua macho kaona nyota
Namuuliza kwanin lile giza aliloliona wakati kafumba macho hajaliona angani??
Anabaki anasema ni maswali ya kipuuzi
Yaan na maana kama hakuna mungu kwa uwezo wa binadamu unaweza kulizuia giza? Je unaweza kuzivuta nyota angani??
Kiswahili unakijua mkuuMungu sio mungu
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Hawa ndiyo wasomi/wataalam wanaotarajiwa kuja kupambana na Corona virus hapa Afrika!
Sijaona giza angani kwa sababu angani kuna nyota.Jua kuangaza dunia ni kwa uwezo wa mungu
Watu kwenda vatican ni kwa uwezo wa mungu
Watu kwenda saudi arabia ni kwa uwezo wa mungu
Watu
unajua kiranga anafeli sana yaan anataka mtu uje na maandishi mengi ndio umethibitisha
Kafumba macho kaona giza
Kafumbua macho kaona nyota
Namuuliza kwanin lile giza aliloliona wakati kafumba macho hajaliona angani??
Anabaki anasema ni maswali ya kipuuzi
Yaan na maana kama hakuna mungu kwa uwezo wa binadamu unaweza kulizuia giza? Je unaweza kuzivuta nyota angani??
Mkuu sijakuelewa mkuu:, nini unamaanisha?Najua sana kuchukua tahadhari kwa ki binadamu sio vibaya
Ni nini maana ya kuthibitisha?Kwanza kabisa ulinassume nikiangakia juu nitaliona jua, wakati huku nilipo ni usiku.
Mpaka hapo ushaonesha ujinga wako.
Pili, hujathibitisha jua linaangaza kwa uwezo wa Mungu, umesema tu.
Thibitisha Mungu yupo.
Sent using Jamii Forums mobile app
Kuonesha jambo kwa njia isiyoacha shaka yoyote.Ni nini maana ya kuthibitisha?
kwa namna yoyote ile, yeye ni muweza wa yote na ujuzi wote.Ulikuwa unashauri angeuzuia kwa namna ipi?
huko ulipo ni usiku na huku ni mchana ni kwa uwezo wa munguKwanza kabisa ulinassume nikiangakia juu nitaliona jua, wakati huku nilipo ni usiku.
Mpaka hapo ushaonesha ujinga wako.
Pili, hujathibitisha jua linaangaza kwa uwezo wa Mungu, umesema tu.
Thibitisha Mungu yupo.
Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu Hammaz ndo unataka kusema nini et?Kwani kilicho na faida kwa huyu ni lazima kiwe na faida kwa yule?
Logical non sequitur.huko ulipo ni usiku na huku ni mchana ni kwa uwezo wa mungu
Jua ni nyota kama nyot nyingine aliyezitengeneza ni mungu..
MUNGU NDIE ALIYEFANYA USIKU NA MCHANA ukawepo katika mahala pake huu pia utakua ni uthibitisho tosha
Kama unabisha zuia sehemu uliyopo iwe usiku tu milele kama unaweza
Kama hutaweza jua anaye vicontrol vitu hivi ni yeye MUNGU MMOJA