CV ya Kikeke ina Ukakasi hawezi kuajiriwa serikalini, alianza darasa la kwanza na miaka 4

Kwani aliwaambia kuwa amekuja kutafuta kupewa kazi/kuteuliwa serikalini??
 
BBC walikuwaje wakamchukua?

Watanzania mna ushubwada mwingi sana. Mavyeti vyeti ndo yametufikisha hapa kwemye mkwamo. Wenye akili wanaangalia uwezo na siyo mavyeti ambayo hata pets wanaweza kuwa nayo
 
BBC walikuwaje wakamchukua?

Watanzania mna ushubwada mwingi sana. Mavyeti vyeti ndo yametufikisha hapa kwemye mkwamo. Wenye akili wanaangalia uwezo na siyo mavyeti ambayo hata pets wanaweza kuwa nayo
Hayati JPM ndio alikazania sana mavyeti
 
 
Huna akili.
 
Miaka ya themanini kulikuwa hakuna limit ya kuanza shule, unakuta mwanafunzia ana miaka 15, 13 yuko darasa la kwanza. Humo humo darasani kuna wenye umri mdogo, watu walisoma na kaka zao, wadogo zao darasa moja. Ilikuwa ni changanyikeni kiumri mpaka sekondari wengine tayari walikuwa na familia nyumbani
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…