Cyprian Majura Musiba ni nani na anatumwa na nani?

CIA ni Shirika la kijasusi la marekan, na mara nyingi linafanya shughuli zake nje ya mipaka ya marekani kwa masirahi ya marekeni, Kisiasa, kiuchumi na kiutamaduni, na FBI ni shirika la upelelezi la marekani.
upelelezi maana yake ni nini ?

utakuwaje mpelelezi bila kuwa jasusi?
 
Huyu anapaswq kushitakiwa ili athibitishe huu upuuzi wake hapo mpema kesho
 
Mbona chama cha wasiojulika sjaona mtu wake apo au tuzid kuwaombea?
 
Ile kesi dhidi ya Lissu ameahirisha??
 
Comment yako imenifanya nami niifungue hiyo clip! Nikavutiwa zaidi na utangulizi wake:
"Napenda kuitangazaia dunia na Afrika watu hatari "
Ajabu anataja watu ambao hata afrika mashariki tu hawafahamiki..!
Anyway, sijui suala la diplomasia limekaaje!
 
Huyo MSIBA Kafanyeje?Naomba pia Kuuliza.Ndio Yule aliyekuaga MAGIC FM Michezo?Maana kuna Mijitu Inajitokeza Kipindi hiki kwa Kasi ya Hatari.Halafu Nyuma yana Makandokando Chungu Nzima
Huyo huyo!!
 
MTU hatari zaidi ni Musiba,
Huyu anahamasisha binadamu wenzake wang'olewe kucha ni kati ya wapuuzi wachache wanaofurahia wenzao wakipata matatizo,
Watu hawa Mungu huwageuzia kibao hapa hapa dunian.
 
Zee La Kujipendekeza Hilo, Bashite Usilipe Hata Mia Litaacha Lenyewe Kujikomba Komba
 
Kuchambua UEFA tu enzi zile Channel 10 ilikuwa kila kitu anasema 'kama alivyosema Dr'.

Kwani anaishi wapi maana njaa yake ni kali sana inaonekana.
 
Huyu jamaa kweli hamnazo...hivi Chadema wanapata wapi pesa ya kupeleka vijana 500 wakapate mafunzo Ujerumani!?

Halafu kwa jinsi lilivyo tahira zaidi eti Mange anatumiwa na FBI,hivi hajui kama FBI inadili na Mambo ya usalama ndani ya Marekani pekee,Bora hata angesema CIA.

Halafu unawatuhumu hivyo FBI je serikali yao ikiomba uwape evidence wa hizo tuhuma zako uchwara,hapa tulipo tayari tuna mavikwazo bado waramba miguu ya Bashite wanataka kutuletea balaa lingine
 
Watu kama hawa n wakuchuliwa hatua,pale serikali husika iliyotajwa kuchukua hatua wakongo usemaga utayamba mpepo
 
Ccm kweli wameishiwa!propaganda gani za kijinga namna hii!
 
Huyu mtu ukimuangalia vizuri ni kama katumwa...katumwa na nani sijui, kwanini nasema katumwa anavyoviongea hata ye mwenyewe anaonekana havijui kwasababu ama anavikosea ama anavichanganya, kutaja majina tu imekuwa tabu, chama cha CDU yeye anasema kirefu chake ni christian democraticy pary(uwongo mkubwa) jina la mange kimambi ndilo anaonekana ana hasila nalo kwasababu ndo kalitolea ufafanuzi mrefu kuliko majina yote, kashidwa kuwatofautisha kati ya john marwa na john heche...hapo hajajua yupi ni yupi..
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…