upelelezi maana yake ni nini ?CIA ni Shirika la kijasusi la marekan, na mara nyingi linafanya shughuli zake nje ya mipaka ya marekani kwa masirahi ya marekeni, Kisiasa, kiuchumi na kiutamaduni, na FBI ni shirika la upelelezi la marekani.
Huyu anapaswq kushitakiwa ili athibitishe huu upuuzi wake hapo mpema keshoWATU 10 AKIWEMO MANGE KIMAMBI WANAOTAJWA KUWA HATARI KWA USALAMA WA TAIFA
MTILAH BLOG / 42 minutes ago
MANGE KIMAMBI
Mkurugenzi wa Kampuni ya CZI, Cyprian Musiba leo Februari 25, 2018 amezungumza na waandishi wa habarina na kuwataja watu 10 hatari kwa usalama wa Taifa.
Musiba amesema serikali inatakiwa kuwa makini na watu wao kwani wanaweza kusababisha machafuko nchini .Musiba amewataja watu hao ni.
1.Mange Kimambi-Musiba amesema mange kimambi anatumiwa na FBI(Shirika la kijesusi la marekani)
2.Freeman Mbowe-Musiba amesema CHADEMA imepeleka vijan 500 ujerumani kwa ajiri ya kuratibu ajenda za kiarifu katika Taifa
3.Mari Sarungi-Musiba amesema maria sarungi kazi yake ni kuongea negative juu ya serikali
4.Zitto kabwe-Musiba amesema Zitto anahamasisha vyama vya siasa viungane viandamane tyarehe 26/04/2018 ili walete vurugu.
5.Lissu
6.John Heche
7.John Marwa (Alikuwa mlinzi wa Salum mwalim wakati wa kampeni Kinondoni)
8.Evarist Chahari-Mtanzania anaishiu Uingereza
9.Julius Mtatiro
10.Janja wind-Kikundi cha wafuasi wa CUF
>>>BOFYA HAPA ILI KUWA WA KWANZA KUPATA HABARI ZETU
Cyprian Musiba ameiomba serikali na vyombo vya ulinzi kuwafuatilia watu hao
Zaidi msikilize kwenye video hii hapa chini
Visit website
Anaitishia usalama wa nchi hii ni CCMlisemwalo mafii yako?
Mbusi weweee!
Jamaa flan hivi alwahi kuwa pale chanel 10,aldondoshwa na kangi lugola kwenye kura za ccm ( mwibara)Musiba ndo nani, wekeni hata picha yake tumjue basi
Comment yako imenifanya nami niifungue hiyo clip! Nikavutiwa zaidi na utangulizi wake:Nimelazimika kuangalia hii video.
Kwanza nimecheka sana. Siwezi kumbishia Bwana Msiba maana anaweza kua na sababu zake hata kama ni za kipumbavu ila bado anaziamini kua ni sababu.
Nilichogundua elimu ndogo na uelewa mdogo bado ni changamoto katika jamii yetu, kama huyu alikua mtangazaji na mwandishi wa ha ari basi hii nchi ina matatizo makubwa.
Kwanza Musiba anaonekana hajui au hana ufaham kabisa tofauti kati ya FBI na CIA. Anaituhumu FBI lakini kimantini ni CIA kama kweli anachokisema kiko hivyo, FBI haifanyi kazi za ujasusi na haivuki mipaka ya Marekani, hawa ni polisi wa Marekani na sio taasisi ya kijajusi nje ya Marekani.
Pili, Musiba hata maneno ya kawaida tu yanamshida kuyasarufisha, Uasi yeye anasema ni Uhasi.
Little learning is very hazardous. Stupidity is still common among Tanzanias.
Huyo huyo!!Huyo MSIBA Kafanyeje?Naomba pia Kuuliza.Ndio Yule aliyekuaga MAGIC FM Michezo?Maana kuna Mijitu Inajitokeza Kipindi hiki kwa Kasi ya Hatari.Halafu Nyuma yana Makandokando Chungu Nzima
Kuwa mauaji yote yanayoendelea Tanzania against upinzani yana mkono wa Bashite na baba yake! Lisemwalo lipo si ndiyo? Think twice before you leap!lisemwalo lipo