Kashishi yetu
JF-Expert Member
- Mar 22, 2014
- 3,509
- 3,741
Usihofu, Musiba anatafuta ajira ya ukuu Wa Wilaya ili nafasi ikitokea Rais asimsahau kwenye uteuzi wake.
Akishaupata atatulia tu, Kwa sasa mwache aendelee kuusaka ukuu Wa Wilaya kwa kujipendekeza na kuwazushia watu uongo na kuwachafulia watu sofa zao.
Usije shangaa SIKU akiamua kumtaja hata Mungu kuwa naye ni hatari kwa maisha ya Rais!!
Kwa mfano anaposema CDM imepeleka vijana 500 nje kujifunza namna ya kuisambaratisha serikali yeye alikuwa wapi hadi akawaona na bado hakutoa taarifa ili hao vijana wakamatwe kabla hawajafika popote?
Hao vijana walikodiwa ndege moja au waliondoka kwa magari?
Kwahiyo anataka kusema tangu uanze kuratibiwa mpango huo Wa kuwapeleka hao vijana, wakatafutiwa paspoti ,Viza, wakasafirishwa , bila Serikali wala usalama Wa Taifa kujua !! Kwa lojiki hii anamaanisha Serikali ni dhaifu kiasi hiki?Yaani mambo hayo yote yamefanyika bila Serikali kujua ila ni yeye pekee ndo mwenye Akili nyingi kuliko serikali aliyegundua mpango huo!!!!?
USHAURI, Ni vizuri atafute Namba nzuri ya kujikomba kwa Rais kuliko kuleta hoja za ukichaa kama hizi, Mfano hoja ya CDM amejikuta akiidharirisha Serikali badala ya kuisifia!! Maana ni sawa na kusema Usalama Wa Taifa umelala na haufanyi Kazi Yake vizuri kwanini kushindwa kwao kuwang'amua hao vijana 500 waliosafirishwa na CDM hadi yeye akawagundua badala ya usalama Wa Taifa anataka kusema yeye ndo bora zaidi kuliko usalama Wa Taifa?
apuuzwe tu kama tunavyowapuuzaga wapuuzi wengine.
Akishaupata atatulia tu, Kwa sasa mwache aendelee kuusaka ukuu Wa Wilaya kwa kujipendekeza na kuwazushia watu uongo na kuwachafulia watu sofa zao.
Usije shangaa SIKU akiamua kumtaja hata Mungu kuwa naye ni hatari kwa maisha ya Rais!!
Kwa mfano anaposema CDM imepeleka vijana 500 nje kujifunza namna ya kuisambaratisha serikali yeye alikuwa wapi hadi akawaona na bado hakutoa taarifa ili hao vijana wakamatwe kabla hawajafika popote?
Hao vijana walikodiwa ndege moja au waliondoka kwa magari?
Kwahiyo anataka kusema tangu uanze kuratibiwa mpango huo Wa kuwapeleka hao vijana, wakatafutiwa paspoti ,Viza, wakasafirishwa , bila Serikali wala usalama Wa Taifa kujua !! Kwa lojiki hii anamaanisha Serikali ni dhaifu kiasi hiki?Yaani mambo hayo yote yamefanyika bila Serikali kujua ila ni yeye pekee ndo mwenye Akili nyingi kuliko serikali aliyegundua mpango huo!!!!?
USHAURI, Ni vizuri atafute Namba nzuri ya kujikomba kwa Rais kuliko kuleta hoja za ukichaa kama hizi, Mfano hoja ya CDM amejikuta akiidharirisha Serikali badala ya kuisifia!! Maana ni sawa na kusema Usalama Wa Taifa umelala na haufanyi Kazi Yake vizuri kwanini kushindwa kwao kuwang'amua hao vijana 500 waliosafirishwa na CDM hadi yeye akawagundua badala ya usalama Wa Taifa anataka kusema yeye ndo bora zaidi kuliko usalama Wa Taifa?
apuuzwe tu kama tunavyowapuuzaga wapuuzi wengine.