Dada Mkubwa tunakupenda na tunakukubali, kama ni wewe, ni wewe tu, hakuna mwingine! Usiruhusu uhuni huu, fuata Katiba na the due process, utabarikiwa

Unamuona anaandika huku anaogopa na kutetemeka mikono. Kizazi hiki indeed inabidi kipite.

Anaogopa kumuambia Dada yake kwamba hajali misingi ya Demokrasia, katiba, kanuni, sheria na taratibu na chama au nchi.

Ndio maana ameuza bandari, misitu, kapora uchaguzi wa serikali ya mitaa, kumtimua Ndugai, timua Masai, Mpango, kumfunga mdomo Majaliwa, teuzi ya Dotto inayokiuka sheria, utekaji wa wapinzani na mengine mengi.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…