komasalonde
JF-Expert Member
- Sep 9, 2024
- 1,783
- 2,479
Ni story ya kutunga. Kwa uandishi ulivyo mara awatetee waislam, Nina hofu mtoa mada ana ugomvi na wakatoliki kuwapaka kinyesi tu.Msimfukuze, naombeni mnipe mimi huyo sister ako nitamlea
Msimfukuze, naombeni mnipe mimi huyo sister ako nitamlea
Nampongeza sana Dada kwa kushtuka mapema. Mzee wako akimfukuza atakuwa mpuuzi.Tupo hapa nyumbani mikocheni familia mzima tupo na kikao na dada yetu tumeshangaa kwanini amerudi kutoka utawani na wakati yeye mwenyewe ndiyo alisema anataka kuwa Sister halafu na leo amaerudi mwenyewe anasema wito wa Kanisa Katoliki umemshinda anataka kuolewa
Daaah familia mzima tumepigwa na butwaa kwanini anatuaibisha? Daaa haya mambo haya mbona magumu bora wale waislamu hawana haya mambo kabisa aisee! Mzee ame decide tumfukuze aende mbali huko asituabishe sisi.
Huyo kalamba dushe somewhere, inawezekana hapohapo utawani.Tupo hapa nyumbani mikocheni familia mzima tupo na kikao na dada yetu tumeshangaa kwanini amerudi kutoka utawani na wakati yeye mwenyewe ndiyo alisema anataka kuwa Sister halafu na leo amaerudi mwenyewe anasema wito wa Kanisa Katoliki umemshinda anataka kuolewa
Daaah familia mzima tumepigwa na butwaa kwanini anatuaibisha? Daaa haya mambo haya mbona magumu bora wale waislamu hawana haya mambo kabisa aisee! Mzee ame decide tumfukuze aende mbali huko asituabishe sisi.
Aisee..💯Ukristo sio dini ya kweli.
Mungu ameagiza wanadamu wazaane waongezeke waijaze dunia , wao wanaenda kinyume na haya maamrisho, mfano hao masister.
Alienda utawani kwa maslahi ya familia au ya nani?Tupo hapa nyumbani mikocheni familia mzima tupo na kikao na dada yetu tumeshangaa kwanini amerudi kutoka utawani na wakati yeye mwenyewe ndiyo alisema anataka kuwa Sister halafu na leo amaerudi mwenyewe anasema wito wa Kanisa Katoliki umemshinda anataka kuolewa
Daaah familia mzima tumepigwa na butwaa kwanini anatuaibisha? Daaa haya mambo haya mbona magumu bora wale waislamu hawana haya mambo kabisa aisee! Mzee ame decide tumfukuze aende mbali huko asituabishe sisi.
Kuwa na mimba ni aibu??Alichagua mwenyewe awe mtawa na kachagua mwenyewe aolewe. Sasa mbona mnalazimisha.
Mwacheni afanye anachotaka. Ameona hakulipi huko. Mnajali furaha yenu hamtaki yake, sasa lazimisheni s8ku aje akiwa mtawa na mimba juu. Kaamua kuwatunzia heshima mnasema anawaaibisha
Anataka kupigwa miti , au siyo 😃Tupo hapa nyumbani mikocheni familia mzima tupo na kikao na dada yetu tumeshangaa kwanini amerudi kutoka utawani na wakati yeye mwenyewe ndiyo alisema anataka kuwa Sister halafu na leo amaerudi mwenyewe anasema wito wa Kanisa Katoliki umemshinda anataka kuolewa
Daaah familia mzima tumepigwa na butwaa kwanini anatuaibisha? Daaa haya mambo haya mbona magumu bora wale waislamu hawana haya mambo kabisa aisee! Mzee ame decide tumfukuze aende mbali huko asituabishe sisi.
Je ni mzuri? Nisije kuendelea na comment kabla ya kujua hali halisiTupo hapa nyumbani mikocheni familia mzima tupo na kikao na dada yetu tumeshangaa kwanini amerudi kutoka utawani na wakati yeye mwenyewe ndiyo alisema anataka kuwa Sister halafu na leo amaerudi mwenyewe anasema wito wa Kanisa Katoliki umemshinda anataka kuolewa
Daaah familia mzima tumepigwa na butwaa kwanini anatuaibisha? Daaa haya mambo haya mbona magumu bora wale waislamu hawana haya mambo kabisa aisee! Mzee ame decide tumfukuze aende mbali huko asituabishe sisi.
Huyo anasiri kubwa tumboni mwake, mjamzito. Dada yako hataki aibu ya mimba kuonekana utawani anataka iwe ni siri na heshima kwenye familia, mkaribisheni kwani kumfukuza hamtamtendea haki kwenye maamuzi yake binafsi, na utawa siyo gereza ambalo watu huishi kwa shinikizo.Tupo hapa nyumbani mikocheni familia mzima tupo na kikao na dada yetu tumeshangaa kwanini amerudi kutoka utawani na wakati yeye mwenyewe ndiyo alisema anataka kuwa Sister halafu na leo amaerudi mwenyewe anasema wito wa Kanisa Katoliki umemshinda anataka kuolewa
Daaah familia mzima tumepigwa na butwaa kwanini anatuaibisha? Daaa haya mambo haya mbona magumu bora wale waislamu hawana haya mambo kabisa aisee! Mzee ame decide tumfukuze aende mbali huko asituabishe sisi.
Mkishamfukuza mtaolewa nyie?Tupo hapa nyumbani mikocheni familia mzima tupo na kikao na dada yetu tumeshangaa kwanini amerudi kutoka utawani na wakati yeye mwenyewe ndiyo alisema anataka kuwa Sister halafu na leo amaerudi mwenyewe anasema wito wa Kanisa Katoliki umemshinda anataka kuolewa
Daaah familia mzima tumepigwa na butwaa kwanini anatuaibisha? Daaa haya mambo haya mbona magumu bora wale waislamu hawana haya mambo kabisa aisee! Mzee ame decide tumfukuze aende mbali huko asituabishe sisi.
[emoji23][emoji23][emoji23]Upwiru...[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Akipigwa mtulingo na mimba uje umuanzishie thread!Tupo hapa nyumbani mikocheni familia mzima tupo na kikao na dada yetu tumeshangaa kwanini amerudi kutoka utawani na wakati yeye mwenyewe ndiyo alisema anataka kuwa Sister halafu na leo amaerudi mwenyewe anasema wito wa Kanisa Katoliki umemshinda anataka kuolewa
Daaah familia mzima tumepigwa na butwaa kwanini anatuaibisha? Daaa haya mambo haya mbona magumu bora wale waislamu hawana haya mambo kabisa aisee! Mzee ame decide tumfukuze aende mbali huko asituabishe sisi.
Hapana msimfukuze,nishaona mwingine pia shinyanga aliamua hivyo na kilichomshinda ni kwamba kuna ngono sana huko utawani,sasa akaona ni bora aje aifanye kwa halali kuliko ya kuibiaibiaTupo hapa nyumbani mikocheni familia mzima tupo na kikao na dada yetu tumeshangaa kwanini amerudi kutoka utawani na wakati yeye mwenyewe ndiyo alisema anataka kuwa Sister halafu na leo amaerudi mwenyewe anasema wito wa Kanisa Katoliki umemshinda anataka kuolewa
Daaah familia mzima tumepigwa na butwaa kwanini anatuaibisha? Daaa haya mambo haya mbona magumu bora wale waislamu hawana haya mambo kabisa aisee! Mzee ame decide tumfukuze aende mbali huko asituabishe sisi.
Unaona sasa hilo kosa jengine munafanya, sijui wakristo mukoje pengine mzee alikuwa amejilabu huko nje kwa washikaji wake kwamba amepeleka mwanawe kuwa sister (Nun)Lakini mambo yamekwenda kombo ,huko kanisani wale mapadri huwa wanawaingilia ikifika usiku mpaka filamu wameigiza marekani .Kwa nini munamfukuza hamjui kafanyiwa vitendo gani huko church iwish nimuone nimpatie mawaidha maana mara atajiua. Bro msave dada ako.Tupo hapa nyumbani mikocheni familia mzima tupo na kikao na dada yetu tumeshangaa kwanini amerudi kutoka utawani na wakati yeye mwenyewe ndiyo alisema anataka kuwa Sister halafu na leo amaerudi mwenyewe anasema wito wa Kanisa Katoliki umemshinda anataka kuolewa
Daaah familia mzima tumepigwa na butwaa kwanini anatuaibisha? Daaa haya mambo haya mbona magumu bora wale waislamu hawana haya mambo kabisa aisee! Mzee ame decide tumfukuze aende mbali huko asituabishe sisi.