Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wewe unaongea kwa kujifurahisha, ama stori unayotulisha ni fake.Tupo hapa nyumbani mikocheni familia mzima tupo na kikao na dada yetu tumeshangaa kwanini amerudi kutoka utawani na wakati yeye mwenyewe ndiyo alisema anataka kuwa Sister halafu na leo amaerudi mwenyewe anasema wito wa Kanisa Katoliki umemshinda anataka kuolewa
Daaah familia mzima tumepigwa na butwaa kwanini anatuaibisha? Daaa haya mambo haya mbona magumu bora wale waislamu hawana haya mambo kabisa aisee! Mzee ame decide tumfukuze aende mbali huko asituabishe sisi.
Sio aibu, ila kwa status aliyo nayo ya utawa akawafikia nyumbani na ujauzito na kuwaambia ameacha utawa vile mjamzito.Kuwa na mimba ni aibu??
Muacheni aolewe aishi maisha yake anayoyataka.Tupo hapa nyumbani mikocheni familia mzima tupo na kikao na dada yetu tumeshangaa kwanini amerudi kutoka utawani na wakati yeye mwenyewe ndiyo alisema anataka kuwa Sister halafu na leo amaerudi mwenyewe anasema wito wa Kanisa Katoliki umemshinda anataka kuolewa
Daaah familia mzima tumepigwa na butwaa kwanini anatuaibisha? Daaa haya mambo haya mbona magumu bora wale waislamu hawana haya mambo kabisa aisee! Mzee ame decide tumfukuze aende mbali huko asituabishe sisi.
Ndo unachokiwaza tuUpwiru...🤣🤣🤣
Jamaa naona unatumia code Kali kabisa,hembu fafanua kidogo.Tupo hapa nyumbani mikocheni familia mzima tupo na kikao na dada yetu tumeshangaa kwanini amerudi kutoka utawani na wakati yeye mwenyewe ndiyo alisema anataka kuwa Sister halafu na leo amaerudi mwenyewe anasema wito wa Kanisa Katoliki umemshinda anataka kuolewa
Daaah familia mzima tumepigwa na butwaa kwanini anatuaibisha? Daaa haya mambo haya mbona magumu bora wale waislamu hawana haya mambo kabisa aisee! Mzee ame decide tumfukuze aende mbali huko asituabishe sisi.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Kuna wajanja wamemuonjesha dudu dunga huyo, katafakari akaona utamu wa bwana haumithiliki na utamu wa dudu.
Nikuulize wewe mtakatifu,unawaza niniNdo unachokiwaza tu
Mwacheni tu ukiona hivyo ma father wamesha mtongoza hadi kachoka kaona kuliko kutenda dhabi madhabauni bora aolewe tu akapigwe vizuri..!Tupo hapa nyumbani mikocheni familia mzima tupo na kikao na dada yetu tumeshangaa kwanini amerudi kutoka utawani na wakati yeye mwenyewe ndiyo alisema anataka kuwa Sister halafu na leo amaerudi mwenyewe anasema wito wa Kanisa Katoliki umemshinda anataka kuolewa
Daaah familia mzima tumepigwa na butwaa kwanini anatuaibisha? Daaa haya mambo haya mbona magumu bora wale waislamu hawana haya mambo kabisa aisee! Mzee ame decide tumfukuze aende mbali huko asituabishe sisi.
Anataka akaanzishe business ambazo akiwa Sister haitokaa freshNikuulize wewe mtakatifu,unawaza nini
Kondoo kama kondoo nakuona umechachama! Amka hamnaga Mungu binaadamu mfu
Mambo ya wito ni magumu sana kwa sababu nami nimeyapitia Kwa muda wa zaidi ya miaka 9. Unaweza A) ukajiona una wito, lakini walezi wako wa wito (formators) na taarifa wanazopokea kutoka sehemu mbalimbali ambako ulishakaa, wakaona huna. B) Unaweza kujiona huna wito, lakini walezi wako, na taarifa kutoka sehemu mbalimbali ambako ulishakaa zikaonyesha una wito, na wewe ni asset. Hivyo, kijana anayejiunga na malezi ya wito anaweza kujikuta yuko kundi A u B. Kijana ambaye yuko kundi A itabidi aonyeshe kwamba ana wito kupitia maisha yake, ufaulu katika masomo yake, etc ili ku'disapprove' ushahidi uliopo. Hii huwa ngumu sana. Kijana ambaye yuko kundi B anapata assurance ya walezi na watu wengine, na hata akiwa na weaknesses fulani anaweza kuwa tolerated (kupewa muda). Kijana anaporudi, ama mwenyewe ama Kwa kurudishwa na walezi, mara nyingi anaweza kuchanganyikiwa. Kwanza inakuwa si rahisi ku'cope' na maisha ya kawaida. Unakuta katika malezi aliamishwa ku'trust' watu, lakini uraiani anakutana pia na watu wadanganyifu wasiotakiwa kuwa trusted. Ni mbaya zaidi Kwa kijana wa kike kudanganywa na kudanganyika. Changamoto nyingine ni kupoteza imani, na kuishi as if hajawahi au hakuwahi kuwa kwenye malezi ya wito. Baadhi ya colleagues wamepoteza imani kabisa! Lakini kuna colleagues pia ambao, pamoja na kuachana na hayo maisha, Mungu amewabariki kuwa na mafanikio katika maisha yao, na wameendelea kushika imani yao. Huyo dada yako ingebidi apate mwongozo mzuri mwanzoni, otherwise anaweza kuharibikiwa katika maisha. Ila akiweza ku'cope' vizuri atashinda. Lakini ni lazima atapitia certain shocks.Tupo hapa nyumbani mikocheni familia mzima tupo na kikao na dada yetu tumeshangaa kwanini amerudi kutoka utawani na wakati yeye mwenyewe ndiyo alisema anataka kuwa Sister halafu na leo amaerudi mwenyewe anasema wito wa Kanisa Katoliki umemshinda anataka kuolewa
Daaah familia mzima tumepigwa na butwaa kwanini anatuaibisha? Daaa haya mambo haya mbona magumu bora wale waislamu hawana haya mambo kabisa aisee! Mzee ame decide tumfukuze aende mbali huko asituabishe sisi.