Dada yangu amerudi nyumbani amesema wito wa usister wa Kanisa Katoliki umemshinda na anataka kuolewa

Dada yangu amerudi nyumbani amesema wito wa usister wa Kanisa Katoliki umemshinda na anataka kuolewa

kwanini amerudi kutoka utawani na wakati yeye mwenyewe ndiyo alisema anataka kuwa Sister
Kwa kuwa alisema mwenyewe kuwa sister na sasa amesema mwenyewe kuwa utawa umemshinda anataka kuolewa hana kosa katika hilo ni uamzi wake.
 
Hana kosa lolote,. Kama mawazo yake yalivyomuongoza kwenda kusoma ndio yaliyomfanya akaacha kusoma. Furahi ndg huenda amepatikana shemeji
Tupo hapa nyumbani mikocheni familia mzima tupo na kikao na dada yetu tumeshangaa kwanini amerudi kutoka utawani na wakati yeye mwenyewe ndiyo alisema anataka kuwa Sister halafu na leo amaerudi mwenyewe anasema wito wa Kanisa Katoliki umemshinda anataka kuolewa

Daaah familia mzima tumepigwa na butwaa kwanini anatuaibisha? Daaa haya mambo haya mbona magumu bora wale waislamu hawana haya mambo kabisa aisee! Mzee ame decide tumfukuze aende mbali huko asituabishe sisi.
 
Kwa kuwa alisema mwenyewe kuwa sister na sasa amesema mwenyewe kuwa utawa umemshinda anataka kuolewa hana kosa katika hilo ni uamzi wake.
Kuna yege moja amelionja limemchanganya hatari ebwana hii miyege inachanganya Wanawake we acha tu
 
Usipende kutanguliza ngono kwenye Kila swala katika haya maisha..
Hao wanaojitoa kama mapadre, mabrothers na masista sio utaratibu ulioshushwa toka mbinguni, ni namna mtu binafsi anapo amua kuexpress imani yake Kwa matendo Kwa kuzidhibiti haja zake Ili apate nafasi ya kutosha kuwatumikia wengine Kwa uwezo wake kama ilivyokuwa Kwa baadhi ya mitume

Hao masista au mapadre utawakuta ni waalim, ma nurse, wakili etc wengine hadi jeshini wapo.. anaamua kutokua na familia lakini unakuta ni mlezi wa watoto yatima kanisani.. mshauri wa maswala ya ndoa etc

Unaenda msibani unakutana na habari kwamba marehemu hajazikwa sababu padre anasuluhisha ugomvi na mkewe nyumbani au mtoto wake ni mgonjwa yupo hospital ICU!! KAZI ya Mungu itafanyika vizuri Mkuu??
Umeeleza vizuri sana.
 
Mama yako ni sister!?
Kwani kakwambia ameandika hivi akiwa kwenye kituo cha kulelea watoto yatima?
Si kasema yupo nyumbani kwa baba na mama,sasa mama yake aliyemzaa yeye na dadaake,anakuaje sister?
Ila maswali mengine yanayotoka kwa watu wengine bhana.
 
Muda huo mimi ndoa imenishinda, nataka niwe Padre. Hawa Wanawake wa Kiswahili, hasa kutoka Mwananyamala, ni shiiida sana.
 
Tupo hapa nyumbani mikocheni familia mzima tupo na kikao na dada yetu tumeshangaa kwanini amerudi kutoka utawani na wakati yeye mwenyewe ndiyo alisema anataka kuwa Sister halafu na leo amaerudi mwenyewe anasema wito wa Kanisa Katoliki umemshinda anataka kuolewa

Daaah familia mzima tumepigwa na butwaa kwanini anatuaibisha? Daaa haya mambo haya mbona magumu bora wale waislamu hawana haya mambo kabisa aisee! Mzee ame decide tumfukuze aende mbali huko asituabishe sisi.
SAsa mwanamke kuolewa inakuaje aibu kwa familia.!
 
Badala ya kushukuru kuwa ameanza kutumia akili yake ipasavyo mnasema anawaletea aibu. Aibu ni yenu mliyemruhusu kusomea mambo yasiyoeleweka, huko kuna manyanyaso sana. Ni Mungu gani aliyesema usiolewe ili ufanye kazi yake? Ukae pale wakunyonye, hata kama unafanya kazi , mshahara unaingia kwa shirika!!! Unyonyaji uliokubuhu, hongera sister kwa kugundua hilo.
Ni kweli kabisa masister wananyonywa sana na hayo mashirika yao.
Wanafanya kila jitihada za kuwasomesha sana na kupata ajira kwenye serikali, ila mshahara wote anaupeleka kwa shirika!!

Hata ishu ya bima ya afya wazazi hawamo akiwa nayo!!
Ni sifa tu za kijinga tunatoa sisi tulio nje ila wao walioko ndani wengi wanashida sana.
Mwisho wanakuwa watumwa wa ngono kwa mapadre ili wapate cha kutuma nyumbani.
 
Ni kweli kabisa masister wananyonywa sana na hayo mashirika yao.
Wanafanya kila jitihada za kuwasomesha sana na kupata ajira kwenye serikali, ila mshahara wote anaupeleka kwa shirika!!

Hata ishu ya bima ya afya wazazi hawamo akiwa nayo!!
Ni sifa tu za kijinga tunatoa sisi tulio nje ila wao walioko ndani wengi wanashida sana.
Mwisho wanakuwa watumwa wa ngono kwa mapadre ili wapate cha kutuma nyumbani.
daa kama kweli tukifa kuna mbingu na moto wake upo kuna watu watakuwa kuni kabisa aisee. ila iyo ya kuacha usista sio kesi kabisa maana lile ni chaguo mtu anafanya mwenyewe bila kulazimishwa ndomaana kila mwaka lazma wanatakiwa kusema km bado ana nia ya kuwa sista au la. maanaake akibadili mawazo ni ruksa kuacha usista. sio kesi kabisa.
 
Back
Top Bottom