Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Alipata mtoto akiwa kwenye ndoa , wazazi waligharamika sana ili kutetea ndoa yake, Ilifanyika mipango daktari alikuwa anatoka Asia anakuja hapa bongo, gharama yake ya kumweka hapa bongo ilikuwa kama milioni 1 na nusu kila siku, Jumla ya gharama zake zilifika takriban milioni 60 na zaidi ili akamate mimba na isiharibike (Imebidi niweke kiasi ili mjue uchungu nilio nao), haya yalikuwa mapenzi ya wazazi kwa mtoto wakijua kabisa bila mtoto kwenye ndoa ni changamoto na ndoa inaweza kuvunjika. ilibidi Mashamba, viwanja, n.k viuzwe ili kugharamia
Kifuniko cha asalihapo nahitaji ufafanuzi wa Bila ya ndani
Huyu dada yako ni mlevi? Wasiwasi wangu huyu anadanganywa na wahuni wake waliokuwa wanamgonga zamani.Dah yani acha tu, wazazi nao kama wanamwendekeza kwa kiasi fulani
Hakukuwa na haja ya kuandika hizo tarakimu za pesa sijaona kama mada yako ilihitaji kuweka hizo tarakimu
Niliwahi kuwa na demu kwao mboga nane ukimpigilia bao nyingi anaenda kusemelea kwa mamaake,nhhh nikaona hili jipu nikapiga chini,licha ya kuwa mifuko ilikuwa inatuna, haitobokiHizo tabia zake ni matokeo ya malezi bora kutoka kwa wazazi wake. Na mpaka sasa wanaendelea kumlea mtoto wao hivyo hivyo ...
Sijakuuliza juu ya utajiri wako Wala sihitaji kuujua,Umaskini ndo unakutesa
Hakukuwa na haja ya kuandika hizo tarakimu za pesa sijaona kama mada yako ilihitaji kuweka hizo tarakimu
Linapokujaga swala la 6 by 6 haijalishi ni mboga nane wale anaeshindia dona, kuna watoto wa kishua no geti kali ila kashazoea tangu ana 13 huko mashuleni kapata uzoefu mkubwa, mwengine yupo uswazi hafikii hata theluthi ua huyo wa kishuaNiliwahi kuwa na demu kwao mboga nane ukimpigilia bao nyingi anaenda kusemelea kwa mamaake,nhhh nikaona hili jipu nikapiga chini,licha ya kuwa mifuko ilikuwa inatuna, haitoboki
Si lazima wote waolewe, mpeni mtaji akaanze maisha yake mbele ya safari.
Dada ako yuo anasumbuliwa na "mapepo ya ulevi wa kudekezwa na wazazi"... Uo Dada ako bado anajiona ni katoto kilishohitimu shule.Ni dada yangu wa tumbo moja.
Baada ya muda mrefu huku miaka ya kuplewa ikiwa ukingoni, alipata bahati ya kuolewa na kijana msataarabu kabisa, hakika ilikuwa kama muujiza ila dada akakimbia huku ndoa kwa sababu ambazo hadi leo zinaonyesha alimsingizia tu mme wake wazi wazi ilomradi aondoke.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Huyo Mwanaume aliekua kamuoa.
Aliwapa ng'ombe na nyie mkaamua kumpa ng'ombe ..!