Dada yangu ananipa hasira, alikimbia ndoa baada ya mwaka sasa yupo kwa wazazi

Dada yangu ananipa hasira, alikimbia ndoa baada ya mwaka sasa yupo kwa wazazi

Mme wake hana tatizo anatuma pesa ya malezi kila mwezi, nyumbani karibia kila kitu kipo, Jitihada ziliwahi kufanyika kurejesha ndoa ila sista nikawa namuona kabisa kama haonyeshi ushirikiano wowote, Yani kawa
Jamaa atakua kashukuru kinyama kurudisha hilo gunia na misumari
 
Ni dada yangu wa tumbo moja.

Baada ya muda mrefu huku miaka ya kuplewa ikiwa ukingoni, alipata bahati ya kuolewa na kijana msataarabu kabisa, hakika ilikuwa kama muujiza ila dada akakimbia huku ndoa kwa sababu ambazo hadi leo zinaonyesha alimsingizia tu mme wake wazi wazi ilomradi aondoke.

Alipata mtoto akiwa kwenye ndoa , mtindo wa maisha yake tangu ana miaka 15 ulichangia sana kupata mimba kwa shida, wazazi waligharamika sana ili kutetea ndoa yake, Ilifanyika mipango daktari alikuwa anatoka Asia anakuja hapa bongo, gharama yake ya kumweka hapa bongo ilikuwa kama milioni 1 na nusu kila siku, Jumla ya gharama zake zilifika takriban milioni 60 na zaidi ili akamate mimba na isiharibike (Imebidi niweke kiasi ili mjue uchungu nilio nao), haya yalikuwa mapenzi ya wazazi kwa mtoto wakijua kabisa bila mtoto kwenye ndoa ni changamoto na ndoa inaweza kuvunjika. ilibidi Mashamba, viwanja, n.k viuzwe ili kugharamia.

Kapata mtoto wakiwa kwenye ndoa, baada ya miezi minne mtu karudi nyumbani kwa wazazi, kumuuliza vipi anasema ananyanyaswa, tulishangaa maana huyo mme wake ni mtu mstaarabu kabisa japo ninamjua dada yangu yeye ndie mwenye tatizo maana huwa ana kiburi flani hivi tangu namjua, ikawa wazi anamsingizia tu labda kachoka ndoa.

Sasa kuna wiki flani nlienda home nashangaa sista kajiachia kabisa, ka relax , Chakula anapika jumapili tu siku nyingine wanapika house girl, Nguo anazovaa akitoka hazina staha ni taiti nyepesi, jeans zinazombana utafkiri hana lengo hata tone la kurudisha ndoa, Mtoto kaletewa house girl mpya wa kumlea na gharama ni juu ya wazazi, kiukweli nilikuwa najisemea huyu kabla sijaondoka lazima nimtie mambata mazito,

Mme wake hana tatizo anatuma pesa ya malezi kila mwezi, nyumbani karibia kila kitu kipo, Jitihada ziliwahi kufanyika kurejesha ndoa ila sista nikawa namuona kabisa kama haonyeshi ushirikiano wowote, Yani kawa mzigo tu nyumbani nae ame relax kabisa
Wewe unaishi kwako au Bado upo kwa wazazi?
 
Wewe upo upande gan kwanza. 'SIMBA AU YANGA'
siwezi kuwa simba hata siku moja,nipo yanga. kiufupi, ukiona mwanamke mtu mzima aliyezaa watoto na jamaa ameamua kurudi home, jua kuna hatari kakimbia. acha kumaindi vitu vidogo huwezi jua yote.
 
Niliwahi kusuluhisha kesi moja hivi, mwanamke anasemekana hampi unyumba mwanaume, mara mwanamke akaamua kukimbilia home kwa wazazi wake. wana watoto wakubwa tu. niliamua kusikiliza upande mmojammoja, nikapata siri kubwa ambayo ilijificha. kumbe mwanaume alikuwa ameathirika na mwanamke alipopima akaona hajaathirika, Mungu mkubwa, akaanza kumnyima unyumba. awali mwanamke alikuwa hataki kutoa siri hiyo, nilivyoongea na mwanaume akaropoka kuwa "hata kwa condom hataki tufanye mapendi", nikaanzia hapo, why condom, akanambia bro, kiukweli yeye ameathirika", nikaona kumbe kulikuwa na justification mwanamke kukimbia. nani anaweza kuishi na mwenzake anajua ameathirika wawe wanatumia condom? hata kama kwa condom unaweza usiathirika lakini stim itakuja wapi yaani....ni mtihani.
 
Malezi ya dada yako yamechangia kuachika,atakuwa anamdharau mmewe kwa kuwa hayupo levo sawa na kwenu.
 
Ni dada yangu wa tumbo moja.

Baada ya muda mrefu huku miaka ya kuplewa ikiwa ukingoni, alipata bahati ya kuolewa na kijana msataarabu kabisa, hakika ilikuwa kama muujiza ila dada akakimbia huku ndoa kwa sababu ambazo hadi leo zinaonyesha alimsingizia tu mme wake wazi wazi ilomradi aondoke.

Alipata mtoto akiwa kwenye ndoa , mtindo wa maisha yake tangu ana miaka 15 ulichangia sana kupata mimba kwa shida, wazazi waligharamika sana ili kutetea ndoa yake, Ilifanyika mipango daktari alikuwa anatoka Asia anakuja hapa bongo, gharama yake ya kumweka hapa bongo ilikuwa kama milioni 1 na nusu kila siku, Jumla ya gharama zake zilifika takriban milioni 60 na zaidi ili akamate mimba na isiharibike (Imebidi niweke kiasi ili mjue uchungu nilio nao), haya yalikuwa mapenzi ya wazazi kwa mtoto wakijua kabisa bila mtoto kwenye ndoa ni changamoto na ndoa inaweza kuvunjika. ilibidi Mashamba, viwanja, n.k viuzwe ili kugharamia.

Kapata mtoto wakiwa kwenye ndoa, baada ya miezi minne mtu karudi nyumbani kwa wazazi, kumuuliza vipi anasema ananyanyaswa, tulishangaa maana huyo mme wake ni mtu mstaarabu kabisa japo ninamjua dada yangu yeye ndie mwenye tatizo maana huwa ana kiburi flani hivi tangu namjua, ikawa wazi anamsingizia tu labda kachoka ndoa.

Sasa kuna wiki flani nlienda home nashangaa sista kajiachia kabisa, ka relax , Chakula anapika jumapili tu siku nyingine wanapika house girl, Nguo anazovaa akitoka hazina staha ni taiti nyepesi, jeans zinazombana utafkiri hana lengo hata tone la kurudisha ndoa, Mtoto kaletewa house girl mpya wa kumlea na gharama ni juu ya wazazi, kiukweli nilikuwa najisemea huyu kabla sijaondoka lazima nimtie mambata mazito,

Mme wake hana tatizo anatuma pesa ya malezi kila mwezi, nyumbani karibia kila kitu kipo, Jitihada ziliwahi kufanyika kurejesha ndoa ila sista nikawa namuona kabisa kama haonyeshi ushirikiano wowote, Yani kawa mzigo tu nyumbani nae ame relax kabisa
Wazazi wanazo!
 
Ni dada yangu wa tumbo moja.

Baada ya muda mrefu huku miaka ya kuplewa ikiwa ukingoni, alipata bahati ya kuolewa na kijana msataarabu kabisa, hakika ilikuwa kama muujiza ila dada akakimbia huku ndoa kwa sababu ambazo hadi leo zinaonyesha alimsingizia tu mme wake wazi wazi ilomradi aondoke.

Alipata mtoto akiwa kwenye ndoa , mtindo wa maisha yake tangu ana miaka 15 ulichangia sana kupata mimba kwa shida, wazazi waligharamika sana ili kutetea ndoa yake, Ilifanyika mipango daktari alikuwa anatoka Asia anakuja hapa bongo, gharama yake ya kumweka hapa bongo ilikuwa kama milioni 1 na nusu kila siku, Jumla ya gharama zake zilifika takriban milioni 60 na zaidi ili akamate mimba na isiharibike (Imebidi niweke kiasi ili mjue uchungu nilio nao), haya yalikuwa mapenzi ya wazazi kwa mtoto wakijua kabisa bila mtoto kwenye ndoa ni changamoto na ndoa inaweza kuvunjika. ilibidi Mashamba, viwanja, n.k viuzwe ili kugharamia.

Kapata mtoto wakiwa kwenye ndoa, baada ya miezi minne mtu karudi nyumbani kwa wazazi, kumuuliza vipi anasema ananyanyaswa, tulishangaa maana huyo mme wake ni mtu mstaarabu kabisa japo ninamjua dada yangu yeye ndie mwenye tatizo maana huwa ana kiburi flani hivi tangu namjua, ikawa wazi anamsingizia tu labda kachoka ndoa.

Sasa kuna wiki flani nlienda home nashangaa sista kajiachia kabisa, ka relax , Chakula anapika jumapili tu siku nyingine wanapika house girl, Nguo anazovaa akitoka hazina staha ni taiti nyepesi, jeans zinazombana utafkiri hana lengo hata tone la kurudisha ndoa, Mtoto kaletewa house girl mpya wa kumlea na gharama ni juu ya wazazi, kiukweli nilikuwa najisemea huyu kabla sijaondoka lazima nimtie mambata mazito,

Mme wake hana tatizo anatuma pesa ya malezi kila mwezi, nyumbani karibia kila kitu kipo, Jitihada ziliwahi kufanyika kurejesha ndoa ila sista nikawa namuona kabisa kama haonyeshi ushirikiano wowote, Yani kawa mzigo tu nyumbani nae ame relax kabisa
Sasa labda jamaa anampelekea moto mwingi kamsaidie.
Mi fukara tu ila mdogo wangu wa kike single maza wa watoto wa5 na nalea familia yote kuunga na maza na yeye na kakaake na mumewe silalamiki
 
.........mwsho napenda kusema kitanda uscho kilalia huwez jua kunguni wake, ukweli wa mambo aujuaye n mume na mke.



Kuna watu nje n kama kondooo, lkn ndan n zaid ya mbwa mwitu. Sasa bas tusmuhukumu huyo mwanamama bila kujua chanzo, kila jambo huwa na chanzo.
 
Mkuu, dada yako possibly kurukaruka kwake kumeanza siku nyingi, inaonekana hakuwa amejiandaa kuolewa kabisa ndio maana akachelewa kupata mwenza.

Na huko kutokushika mimba haujatuambia tatizo ni la upande wake ama mwanaume? Kama ni mwanaume may be jamaa hawezi peleka moto vzr, na unavyosema ni mpole kuna uwezekano mkubwa akawa poporipo.
Kushindwa kupeleka moto vizuri hakujawahi kuwa chanzo cha infertility kwa mwanaume..hata asipopeleka moto vizuri si anakojoa?..infertility kwa mwanaume inasababishwa na

✓Low sperm count(Oligospermia) yaani ml of semen.

✓Inmature sperms

✓Na uzalishaji wa sperms wasio na mikia ya kuogelea.

Kupeleka moto vizuri has got nothing to do na kumpa mimba mwanamke.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ni dada yangu wa tumbo moja.

Baada ya muda mrefu huku miaka ya kuplewa ikiwa ukingoni, alipata bahati ya kuolewa na kijana msataarabu kabisa, hakika ilikuwa kama muujiza ila dada akakimbia huku ndoa kwa sababu ambazo hadi leo zinaonyesha alimsingizia tu mme wake wazi wazi ilomradi aondoke.

Alipata mtoto akiwa kwenye ndoa , mtindo wa maisha yake tangu ana miaka 15 ulichangia sana kupata mimba kwa shida, wazazi waligharamika sana ili kutetea ndoa yake, Ilifanyika mipango daktari alikuwa anatoka Asia anakuja hapa bongo, gharama yake ya kumweka hapa bongo ilikuwa kama milioni 1 na nusu kila siku, Jumla ya gharama zake zilifika takriban milioni 60 na zaidi ili akamate mimba na isiharibike (Imebidi niweke kiasi ili mjue uchungu nilio nao), haya yalikuwa mapenzi ya wazazi kwa mtoto wakijua kabisa bila mtoto kwenye ndoa ni changamoto na ndoa inaweza kuvunjika. ilibidi Mashamba, viwanja, n.k viuzwe ili kugharamia.

Kapata mtoto wakiwa kwenye ndoa, baada ya miezi minne mtu karudi nyumbani kwa wazazi, kumuuliza vipi anasema ananyanyaswa, tulishangaa maana huyo mme wake ni mtu mstaarabu kabisa japo ninamjua dada yangu yeye ndie mwenye tatizo maana huwa ana kiburi flani hivi tangu namjua, ikawa wazi anamsingizia tu labda kachoka ndoa.

Sasa kuna wiki flani nlienda home nashangaa sista kajiachia kabisa, ka relax , Chakula anapika jumapili tu siku nyingine wanapika house girl, Nguo anazovaa akitoka hazina staha ni taiti nyepesi, jeans zinazombana utafkiri hana lengo hata tone la kurudisha ndoa, Mtoto kaletewa house girl mpya wa kumlea na gharama ni juu ya wazazi, kiukweli nilikuwa najisemea huyu kabla sijaondoka lazima nimtie mambata mazito,

Mme wake hana tatizo anatuma pesa ya malezi kila mwezi, nyumbani karibia kila kitu kipo, Jitihada ziliwahi kufanyika kurejesha ndoa ila sista nikawa namuona kabisa kama haonyeshi ushirikiano wowote, Yani kawa mzigo tu nyumbani nae ame relax kabisa
Pole Kwa maoni na kashfa na rai mbalimbali!!!
IPO njia ya kutatuta zogo na tafrani hili:-

Tunaomba tusikie upande wa sista na madai ya Shemeji

Ili kesi hii ipate suluhu na Amani na maisha yarejee comfortable... God bless you all..
 
Malezi,malezi malezi!hapo baba na mama walikua wanamdekeza na mpk kesho anadeka ndo maana!
Muache adange hajakua bado,akikua ataacha!
 
Kuna mzee mtaani kwetu alikuwa na binti mwenye akili mshindo kama huyo dadaako..
Maisha ya huyo binti yalikuwa yanamkera mzee wa watu mpaka basi.
Ukimkuta kwenye bao analalamika mwishoni anasema "dah huyu malaya dawa yake wapatikane wanaume wawili na mi mwenyewe (baba mtu) nikiwepo tumgonge mande mpaka akome
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] manina nimecheka
 
Pole!!, Ila ndo zao la watoto wa kidigitali, ukute hata kufua chupi zake hawezi, ndo karudi nyumbani mama na housegirl wamsaidie
Jina lako litakuwa limetokana na neno cryotocurrency aiseeee! Nimekumbka investment
 
Back
Top Bottom