Dada yangu ananipa hasira, alikimbia ndoa baada ya mwaka sasa yupo kwa wazazi

Dada yangu ananipa hasira, alikimbia ndoa baada ya mwaka sasa yupo kwa wazazi

Hakukuwa na haja ya kuandika hizo tarakimu za pesa sijaona kama mada yako ilihitaji kuweka hizo tarakimu
Si kuonyesha jinsi huyu bi Mama alivyochakaza mafao ya wazazi halafu akakimbia ndoa mchana kweupe.
 
Hivi unakumbuka zamani kuzalia nyumbani binti ilikua aibu ya Ukoo? Lakini taratibu naona jamii ya kitanzania imezoea maana imekua kawaida hata kuolewa ama kuoa itakuja itazoeleka kua sio lazima kwa sababu mapenzi hayalazimishwi ni hisia huyu kaka kumtetea shemeji yake kua ni mpole sijui ana maana gani wakati anayeishi nae ni Dada yake, na je vipi siku Dada yake akieleza yote kua miaka yote shemeji anataka tigo hivo kakimbia hilo ataendelea kumtetea? Keshasema ananyanyaswa basi wakubali wamwandalie maisha mengine kama anapenda tv wamwache aangalie kwenye ndoa kuna kila style na kila ndoa ina style zake.
You are right... Ilishawahi tokea huko Mombasa.. from day one bw. Harusi alianza uchafu huo wa tigo.,. (Aisaee Story ndefu) tu
 
Ni dada yangu wa tumbo moja.

Baada ya muda mrefu huku miaka ya kuplewa ikiwa ukingoni, alipata bahati ya kuolewa na kijana msataarabu kabisa, hakika ilikuwa kama muujiza ila dada akakimbia huku ndoa kwa sababu ambazo hadi leo zinaonyesha alimsingizia tu mme wake wazi wazi ilomradi aondoke.

Alipata mtoto akiwa kwenye ndoa , mtindo wa maisha yake tangu ana miaka 15 ulichangia sana kupata mimba kwa shida, wazazi waligharamika sana ili kutetea ndoa yake, Ilifanyika mipango daktari alikuwa anatoka Asia anakuja hapa bongo, gharama yake ya kumweka hapa bongo ilikuwa kama milioni 1 na nusu kila siku, Jumla ya gharama zake zilifika takriban milioni 60 na zaidi ili akamate mimba na isiharibike (Imebidi niweke kiasi ili mjue uchungu nilio nao), haya yalikuwa mapenzi ya wazazi kwa mtoto wakijua kabisa bila mtoto kwenye ndoa ni changamoto na ndoa inaweza kuvunjika. ilibidi Mashamba, viwanja, n.k viuzwe ili kugharamia.

Kapata mtoto wakiwa kwenye ndoa, baada ya miezi minne mtu karudi nyumbani kwa wazazi, kumuuliza vipi anasema ananyanyaswa, tulishangaa maana huyo mme wake ni mtu mstaarabu kabisa japo ninamjua dada yangu yeye ndie mwenye tatizo maana huwa ana kiburi flani hivi tangu namjua, ikawa wazi anamsingizia tu labda kachoka ndoa.

Sasa kuna wiki flani nlienda home nashangaa sista kajiachia kabisa, ka relax , Chakula anapika jumapili tu siku nyingine wanapika house girl, Nguo anazovaa akitoka hazina staha ni taiti nyepesi, jeans zinazombana utafkiri hana lengo hata tone la kurudisha ndoa, Mtoto kaletewa house girl mpya wa kumlea na gharama ni juu ya wazazi, kiukweli nilikuwa najisemea huyu kabla sijaondoka lazima nimtie mambata mazito,

Mme wake hana tatizo anatuma pesa ya malezi kila mwezi, nyumbani karibia kila kitu kipo, Jitihada ziliwahi kufanyika kurejesha ndoa ila sista nikawa namuona kabisa kama haonyeshi ushirikiano wowote, Yani kawa mzigo tu nyumbani nae ame relax kabisa
Kwanza wewe mwenyewe umeoa? Mambo ya ndoa ni mengi na ni zaidi ya yanayoonekana kwa watu waliopo nje ya ndoa husika.
Pili unamkingiaje kifua shemeji yako kwamba ni mtu mwema wakati huishi nae? Huenda dada yako anapitia
mateso ya kisaikolojia ndiyo maana anasema ananyanyaswa.
Huenda kweli dada yako ameamua hana mpango tena wa kurudi kwenye hiyo ndoa na kama huo ndiyo uamuzi wake waachie wazazi watumie busara zao kujadiliana nae.
 
Sio kila mwanamke / mwanaume anaweza kumudu kuivumilia ndoa.

Uvumilivu kwenye ndoa kwa % zaidi ya 90 hutegemea malezi na makuzi ya mtu tangu utoto.

Hakuna mwanaume anayeweza kumvumulia mwanamke mjeuri, kiburi, dharau, mchafu, mvivu, na mwenye mdomo kama chuchunge katika ndoa.

Wanawake wengi hushindwa kuivumilia ndoa hasa kwa changamoto ya mume kutowajibika kwaajili ya kuihudumia familia yake aliyoianzisha na mkewe.

Chukulia mfano wale majaji wa shindano la bongo star search wanaweza kweli kuwa kwenye ndoa? kwa aina ya lugha wanayoitumia mbele ya vyombo vya habari!! Vipi wakiwa huru bila ya kuwa mbele ya kamera?
 
60 mil kwa ajil ya kupata mjukuu,kwel wazazi wetu wanaupendo sana,mungu awajalie maisha marefu
 
Ulichokosea ni kuweka hiyo mil 60

Ngoja jobless waje [emoji3][emoji3][emoji3]

Ila ndoa ina mambo mengi, na pengine sababu za wao kushindana kamwe hutozijua, na pengine hazikuhusu.

Huyo dada mtafutieni tu namna ya kujitegemea ili maisha yaendelee.
 
Mpaka sasa sijaona tatizo lake ila naona tatizo kwa wazee wako
Wamekaa na mke wa mtu na hawajitikisi kuuliza anarudi lini kwake zaidi wanamtafutia na dada wa kazi
 
Ni dada yangu wa tumbo moja.

Baada ya muda mrefu huku miaka ya kuplewa ikiwa ukingoni, alipata bahati ya kuolewa na kijana msataarabu kabisa, hakika ilikuwa kama muujiza ila dada akakimbia huku ndoa kwa sababu ambazo hadi leo zinaonyesha alimsingizia tu mme wake wazi wazi ilomradi aondoke.

Alipata mtoto akiwa kwenye ndoa , mtindo wa maisha yake tangu ana miaka 15 ulichangia sana kupata mimba kwa shida, wazazi waligharamika sana ili kutetea ndoa yake, Ilifanyika mipango daktari alikuwa anatoka Asia anakuja hapa bongo, gharama yake ya kumweka hapa bongo ilikuwa kama milioni 1 na nusu kila siku, Jumla ya gharama zake zilifika takriban milioni 60 na zaidi ili akamate mimba na isiharibike (Imebidi niweke kiasi ili mjue uchungu nilio nao), haya yalikuwa mapenzi ya wazazi kwa mtoto wakijua kabisa bila mtoto kwenye ndoa ni changamoto na ndoa inaweza kuvunjika. ilibidi Mashamba, viwanja, n.k viuzwe ili kugharamia.

Kapata mtoto wakiwa kwenye ndoa, baada ya miezi minne mtu karudi nyumbani kwa wazazi, kumuuliza vipi anasema ananyanyaswa, tulishangaa maana huyo mme wake ni mtu mstaarabu kabisa japo ninamjua dada yangu yeye ndie mwenye tatizo maana huwa ana kiburi flani hivi tangu namjua, ikawa wazi anamsingizia tu labda kachoka ndoa.

Sasa kuna wiki flani nlienda home nashangaa sista kajiachia kabisa, ka relax , Chakula anapika jumapili tu siku nyingine wanapika house girl, Nguo anazovaa akitoka hazina staha ni taiti nyepesi, jeans zinazombana utafkiri hana lengo hata tone la kurudisha ndoa, Mtoto kaletewa house girl mpya wa kumlea na gharama ni juu ya wazazi, kiukweli nilikuwa najisemea huyu kabla sijaondoka lazima nimtie mambata mazito,

Mme wake hana tatizo anatuma pesa ya malezi kila mwezi, nyumbani karibia kila kitu kipo, Jitihada ziliwahi kufanyika kurejesha ndoa ila sista nikawa namuona kabisa kama haonyeshi ushirikiano wowote, Yani kawa mzigo tu nyumbani nae ame relax kabisa

Pole sana ila huyo ni damu yako na watoto wako watamuita shangazi. Usishangae wana rithi hizo tabia. Wewe jinyamazie ombea watoto wako wasiwe hivyo tu.
 
Back
Top Bottom